Kufuatia LATRA kutangaza bei mpya za nauli za vyombo vya usafirishaji nchini, baadhi ya wananchi wamehoji iweje nauli kutoka Singida to Dodoma kwa basi la daraja la kati iwe shilingi 86,000? Huku umbali wake ni takribani kilometer 1,208 hivi.

Ukiendelea kuichambua takwimu hizo Kuna makosa mengi ambayo inaonesha LATRA hawakuipitia takwimu hizo baada ya kuandaliwa labda na wanafunzi wa Field works.
 
1. Nauli zimepandishwa kwa makusudi ili kuendelea kumchongea kwa wananchi na kumuharibia zaidi japo yeye anaona anafanya vyema

au

2. Nauli zimepandishwa kimkakati ili kuamsha hisia za Watanzania kutoka kila pembe na zikikataliwa na wananchi basi haraka sana Rais Samia na Chama chake cha CCM atajitokeza na kuamuru ibakie ile ile kisha vyombo vya habari vitampamba kuwa ni Rais msikivu na mpenda Watanzania hivyo kuendelea kumjenga zaidi kiumaarifu masikioni mwa watanzania.
 
Kila sehemu anatafuta pesa tu
1.nauli juu
2.anatoza mpaka mabango hata biashara changa ili hali ukiweka bango ana wewe
3.Mikopo toka nje ndio yeye
Hivi hagundui anapigwa kila sehemu
Picha unazoziona hapona bus kampuni ya HAPPY NATION (TAIFA LENYE FURAHA)
T 508 EBS
Kampuni hili ni waswahili na walaghai
Kwanini Mnamo tarehe 30.10.2023 nimekata tiketi ya kutoka MOROGORO kwenda MUSOMA na wakakiri ya kwamba ndio mwisho wa Bus lao cha Ajabu nafika MWANZA mjini wanapaki bus lao NATA na kunijibu ya kwamba hawaendi tena MUSOMA
UJUMBE wangu kwa wasafiri wenzangu
Usiwape pesa ya MUSOMA kampuni hili kwani hawa nao ni wezi kama wezi wengine tu tunaowajua
KONDAKTA amekana hata kunirudishia pesa yangu
Kwani nilimwambia nipe nauli yangu ili niendelee na safari
KANIJIBU KWA MAJIVUNO
sikupi chochote wewe potea hapa
Kwani ulilazimishwa kupanda bus hili

NINA mengi juu ya wizi wa kampuni hili juu ya kuwaharibia watu bajeti zao

SASA ni makampuni mawili wezi hasaaa
1.HAPPY NATION
2.SUPER NAJIMUNISA
ila Happy Nation ni mpaka na bus namba hiyo hapo .
Picha nezihifadhi
 
Kufuatia latra kutangaza bei mpya za nauli za vyombo vya usafirishaji nchini, baadhi ya wananchi wamehoji iweje nauli kutoka singida to dodoma Kwa basi la daraja la kati iwe shilingi 86,000? Huku umbali wake ni takribani kilometer 1,208 hivi.

Ukiendelea kuichambua takwimu hizo Kuna makosa mengi ambayo inaonesha lATRA hawakuipitia takwimu hizo baada ya kuandaliwa labda na wanafunzi wa Field works.
Hivi kumbe Singida Dodoma ni mbali hivyo. Nilidhani ni km 240; au Kuna Singida nyingine ndugu mwandushi
 
Huyu mama hi nchi imeshamshinda ili apate heshima inatakiwa asigombee tena
Aisee kama wahuni watatimiza ndoto zao za kumbakisha madarakani mpaka hiyo 2030, wananchi walio wengi watakuwa wamechakaa kwa umasikini.

Maana wamiliki wengi wa hivyo vyombo vya moto, vituo vya mafuta, nk. Ni hao ho wapambe wake. Kwa hiyo hawawezi kamwe kuwa na huruma na wananchi wa kawaida, na ambao ndiyo waathirika namba moja.
 
Wakati anaingia madarakani mlisema anaupiga Mwingi na kumpa sifa kibao badala ya kumwandaa ajue wajibu wake kwa watanzania waliochagua chama chake mana huyu mama hajachaguliwa.

Na yeye akajaa kiburi sasa anafanya anavyotaka huku akimalizia Royal tour yake season2 itakayogharimu tirion2 za kitanzania.
 
Back
Top Bottom