Nauli mpya za Mabasi zimeanza kutumika, vipi Mdau ulishirikishwa kupanga nauli hizo?

BARD AI

JF-Expert Member
Jul 24, 2018
3,377
8,121
USAFIRISHAJI: Leo Desemba 8, 2023 Watumiaji wa huduma za Usafiri za Mabasi ya Masafa Marefu (Mabasi ya Mikoni) na Mafupi (Daladala) wanakutana na gharama mpya za Nauli.

Kwa mujibu wa Mamlaka ya Udhibiti Usafiri Ardhini (LATRA), nauli za Mabasi yote zimepanda baada ya makubaliano yaliyofikiwa kati ya Watoa Huduma na Wadau wa Usafiri (Wananchi).
 
USAFIRISHAJI: Leo Desemba 8, 2023 Watumiaji wa huduma za Usafiri za Mabasi ya Masafa Marefu (Mabasi ya Mikoni) na Mafupi (Daladala) wanakutana na gharama mpya za Nauli.

Kwa mujibu wa Mamlaka ya Udhibiti Usafiri Ardhini (LATRA), nauli za Mabasi yote zimepanda baada ya makubaliano yaliyofikiwa kati ya Watoa Huduma na Wadau wa Usafiri (Wananchi).
Unaufahamu utaratibu uliopo kisheria unaohusu ushirikishwaji wa wadau wa usafiri? Ni wazi utaratibu huo ulifuatwa na hivyo hakuna namna inabidi tukubaliane na hizo nauli mpya.
 
USAFIRISHAJI: Leo Desemba 8, 2023 Watumiaji wa huduma za Usafiri za Mabasi ya Masafa Marefu (Mabasi ya Mikoni) na Mafupi (Daladala) wanakutana na gharama mpya za Nauli.

Kwa mujibu wa Mamlaka ya Udhibiti Usafiri Ardhini (LATRA), nauli za Mabasi yote zimepanda baada ya makubaliano yaliyofikiwa kati ya Watoa Huduma na Wadau wa Usafiri (Wananchi).
Mbona hao kenge wa LATRA hawajaweka nauli halisi Kwa Kila Mkoa kwenye website Yao?

Kwani walikuwa na haraka ya nini kama hawaja andaa nauli za Kila Mkoa?
 
Tushirikishwe sie kama nani, sisi ni VIZALALA tu nchi hii, wenye nchi wameamua, mtu asiyetaka twende burundi.

Huu ujinga watz ndio tunautaka.. Kadri siku zinavyokwenda hali inakuwa tete.
Ni kama vile unavyotaniana na mtoto, akakushika ndevu, atakupiga kibao unamchekea, atakuti kidole cha jicho unamchekea, ipo siku atakushika kalio mbele za wageni.
 
Jina jipya la nauli mpya ni kwamba ni nauli za Samia, wanadau tulimchsgua wenyewe, i ngawa ukweli ni kwamba kadondokewa na bahati. Ila ukweli kipindi cha Samia wamepandisha nauli mara 2 au 3 hivi, na wanatarajia mwakani wqpandishe muda kama huu tena hii ndio makubaliano yao na Latra.

Nauli kupanda sio tatizo ila tatizo ni kuoanda kwa gharama za maisha, na hawana mpango wa kushusha hizi gharama zaidi ya wao wenyewe kuneemeka. Raia nao wanangoja labda Mbowe na familia yake waandamane kuwatetea wa wakiwa wamelala.

Endeleeni kufaidi nauli za Samia.
 
Nauli ni rafiki sana hasa ukizingatia tumepandishiwa mshahara, hakuna mtanzania aneishi kwa chini ya milioni moja kwa mwezi, hakika serikali ya mama inaupiga mwingi tuwape maua yao. Chaajabu Bei ya Mafuta imeshukaa.
 
Back
Top Bottom