Next Level
JF-Expert Member
- Nov 17, 2008
- 3,153
- 176
Hivi huyo JOJI ataendeleza ule mpango wake wakuleta LAPTOP na kuwagawia wanakyela wote kama wapambe wake kina Sikonge, Kanda2 etc mlivyokuwa mnamnadi mwaka jana?
.
Mbona unaongelea yaleyale yaliyosemwa na wenzio?.Hakukuwa na lingine uko kyela?
Mkuu,
Tatizo lako unamentality ya Wanyamwezi ya kuwa nyoronyoro/upole usio na tija ambao umefanya RA ameweza kuwarubuni kwa pesa hadi wakamuangusha mpambanaji Selelii badala ya Wanyamwezi hao kuona fahari ya kuwa na Mnyamwezi kama huyo shujaa aliyetetea maslahi ya Taifa wakati wa sakata la Richmonduli! Wanyakyusa hawako hivyo, wakishakudharau basi hata uje na majisenti huambulii kitu midhali wao wameishaamua wanachokitaka. Hili liwe fundisho kwa hata wanasiasa wanaowania urais.
Pia hata kama Mwakalinga atahamia CHADEMA haitamsaidia Dr. Slaa kwa sababu Mwakalinga atakosa. Wanyakyusa walishaamua Mwakyembe wao apite atapita tu.
Hivi huyo JOJI ataendeleza ule mpango wake wakuleta LAPTOP na kuwagawia wanakyela wote kama wapambe wake kina Sikonge, Kanda2 etc mlivyokuwa mnamnadi mwaka jana?
Hahahaaaa, yaani sisi na nyie hamna tofauti kabisa. Pamoja na Mwakyembe mwenyewe kukiri kuwa George ni Mkali katika vision ila amwache amalize na Kikwete (sijui ana uhakika gani Kikwete atamaliza mwaka 2015?) lakini nyie bado mnaona kuwa anafaa kwa sababu kawafanya muwe maarufu. Haya bwana, hiyo ni juu yenu. Nilijitahidi niwafunguwe macho ili MFUNULIWE, ila naona ndiyo kwanza blanketi zinazidi.
Mwakalinga hajaanza kusaidia leo Kyela. Kaanza kutoa misaada tangu akiwa Secondary School. Watu wanafahamu hilo na hiyo Kyela FM kwa sasa nusu iko chini ya Halmashauri ya Wilaya ya Kyela (Yeye alijitoa. Kama huamini basi nenda halmashauri ya Kyela watakuambia). Ukiona anaandika KBS ujuwe ni yeye ila mengine yote ni kuwa anayafanya kuwa ya Wilaya na yeye anaisaidia tu. Sasa hiyo Redio kafanya kazi zoote na nyie hata kulipa mishahara ya wafanyakazi hamuwezi. Hata huyo Mwakyembe wenu hawezi kusaidia kwa kitu kidogo kama hicho, looo Aibu aibu hiyoo. Na huyo ndiyo kipenzi chenu.
Sisi huku Wanyamwezi tunakula tu Hiari ya Moyo wala hatuna hiyana. Ukija wewe kama si wa kuzaliwa pale na huna pesa, itakula kwako kama Mrema. Huku mambo ni kuwa ikifika weekend ni kujirusha kwa taputapu, wanzuki na watoto wanapata Togwa la nguvu huku tukitesa na ngoma zetu za asili: Babu yake Katalambula wa pale Igalula ndiye bingwa hasa maana anaimba kwa mdomo na kupiga gitaa na huku akifunga breki. Na usiku ukifika, kapenzi kanaanguruma hahahahahaa Sikonge raha sana.
YouTube - Nyamwezi-Uwi, mamsanga makumbulage wagela mnyabo
Mkuu, hayo nilishaandika na kutoa PONGEZI kwa Mwakyembe kushinda. Niliandika siku ya kwanza kabisa. Sasa wewe ukirudia tena hayohayo huoni kuwa UNADANDIA train kwenye mbele? Ukifika kwenye sherehe kaa viti vya nyuma ili wakuopoe na wakurushe mbele. Wee unarukia mbele na unakuja kurushwa nyuma, aibu aibu hiyo. Acha kiherehere kama msichana anayebarehe.Asiyekubali kushindwa si mshindani. Get a life dude!
Mkuu, jamaa kachuma kwa mkono wake bila kuiba hela ya mlipa kodi wa Tanzania. Kama unafikri kugombea ubunge kutamfanya aterereke basi pole sana. Kama aliweza kupata Milioni yake ya kwanza bila kuiba basi nyingine zitakuja pia bila kuiba. najua utakuwa na hamu sana kuona anafilisika. Fisi weee, subiri sana mkono wa binadamu UKATIKE.lakini Mwakalinga anachangia bila kutegemea kurudisha ? nothing for free, sasa anataka kurudisha tumichango twake, anataka wampe Ubunge.
Mkuu, jamaa kachuma kwa mkono wake bila kuiba hela ya mlipa kodi wa Tanzania. Kama unafikri kugombea ubunge kutamfanya aterereke basi pole sana. Kama aliweza kupata Milioni yake ya kwanza bila kuiba basi nyingine zitakuja pia bila kuiba. najua utakuwa na hamu sana kuona anafilisika. Fisi weee, subiri sana mkono wa binadamu UKATIKE.
Nani aliyekwambia kuwa ukiwa na halmashauri maana yake mmeendelea? Inawezekana Mwakalinga akawa anachangia mapato ya halmashauri kiasi kikubwa sana kuiwezesha ku-qualify kuwa halmashauri huku wengine mkiwa choka mbaya kama hali halisi ilivyo! Ukinisoma vema, nina maana ni muda muafaka kwa wana Kyela sasa kuanza kufikiria maendeleo yenu kama wananchi na si kukimbilia kujenga Mbeya na Dar na mikoa mingine.
Chagueni mada za kuendeleza Kyela na si ubishi wa Mwakalinga, Mwakyembe na wengine....
Mwingine anaongelea mchele,,, du! Hiyo nayo kali zaidi.
Hivi huyo JOJI ataendeleza ule mpango wake wakuleta LAPTOP na kuwagawia wanakyela wote kama wapambe wake kina Sikonge, Kanda2 etc mlivyokuwa mnamnadi mwaka jana?
sioni mantiki yako, katika maneno yako,
Si vibaya kuchangia maendeleo ya kule utokako, si vibaya hasirani.
Kinachokera ni kule kuitumia turufu ya misaada katika miradi aliyowahi kuchangia kama agenda ya kusaidia uteuzi wake katika nafasi hiyo.
mimi nakosoa mtazamo huo, kazi ya Mbunge kwa mujibu wa sheria si kutoa chochote mfukoni mwako kusaidia wapiga kura, nieleze thamani ya Mwakalinga ilipo kama akipata uwakilishi wa UMMA ? kama unahusisha tule tu misaada twake kama sifa ya kuchaguliwa , Je alitutoa aliapate kuchaguliwa ama ?
Umeanza kuishiwa , maana unaanza kutoa lugha za kejeli, hahaaah Great Thinker Sikonge.
Ujumbe umekufikia. Fisi asubiri tu mkono wa mtu ukatike. Wengine usiwasubiri chini, wafuate juu......
hahaaaah , Mwakyembe atakua Mbunge wa Kyela hata Roho ya majungu ikikuuma kwa jina la unafiki, pole mkuu.
labda afe, akiwa hai, atashinda kama unabisha endelea na matanga ya Mwakalinga maana hata fufuka tena, Mwakyembe kwako ni Jinamizi baya, jina lake likitajwa unazimia roho.
..... Naanza kuona mwisho wangu utakavyokuwa maana yakiendela basi sintakuwa na jinsi zaidi ya kuanza kujibu mapigo na mwisho nile KIFUNGO CHA IP milele. Max Mello, anza kujiandaa kunifungia.
Mlio na ugomvi wa moja kwa moja na Mwakalinga basi MSUBIRINI arudi hapa. Msinihusishe kwenye GOMVI zenu na Mwakalinga. Mnikome kama mlivyokoma ziwa la mama zenu. Kama hili halikuhusu basi usijibu maana utakuwa IDIOT.
I am no longer convinced that Mwakyembe is as clean as he would want us to beleive. Haniingi akilini jinsi gani mwanasheria aliyebobea anayeshindwa ku-declare conflict of interest wakati anshikilia nafasi nyeti na kubeba jukummu zito la kitaifa. Nadhani wanaJF wanakumbuka sakata la kampuni yake ya energy, wakati akiwa m'kiti wa kamati ya Bunge for the same. Kwa kweli niekuwa na moyo mzito tangu nigundue ukweli wa jambo hili. Ninampongeza kwa kushinda, na kuwashinda wale waliyotaka kumnyima haki yake...lakini ninakaa chonjo nikisubiria siku Mwakyembe wa kweli anajitokeza. And I would be pleasantly suprised if that doesn't happen. But until them machale yananicheza na kuniambia WATCH THIS SPACE!!!
.Asante mkubwa! Nimejifunza kitu JF hizi Ghost name tuna ziabuse sana! Sijibu PM wala mtu akitaka nijua zaidi ya Masa Kugema.....maana baadaye jamaa huja na ID mpya akamwaga upupu na wewe ulimwamini na kumwambia mimi kwa Jina ni John Shibuda na ninatokea Buchosa. hahahaha
Tuache hayo! bila shak umefurahia Mwakyembe kushinda mchakato maana huyu atamsaidia raisi wetu Dr Slaa kujenga heshima na mendeleo maana wote wanapinga Ufisadi
I am no longer convinced that Mwakyembe is as clean as he would want us to beleive. Haniingi akilini jinsi gani mwanasheria aliyebobea anayeshindwa ku-declare conflict of interest wakati anshikilia nafasi nyeti na kubeba jukummu zito la kitaifa. Nadhani wanaJF wanakumbuka sakata la kampuni yake ya energy, wakati akiwa m'kiti wa kamati ya Bunge for the same. Kwa kweli niekuwa na moyo mzito tangu nigundue ukweli wa jambo hili. Ninampongeza kwa kushinda, na kuwashinda wale waliyotaka kumnyima haki yake...lakini ninakaa chonjo nikisubiria siku Mwakyembe wa kweli anajitokeza. And I would be pleasantly suprised if that doesn't happen. But until them machale yananicheza na kuniambia WATCH THIS SPACE!!!
nakubaliana nawe , uko sahihi . WAKATI WAKUFURAHI NA KUFURAHI, wakati wakugonga glass na kusubiri NEC ya CCM tuone itaingia kwene mtego wa kina Lowassa na Mafisadi papa nchini.ize ize ize ize Sikonge,
Kumbuka pia kuna watu walichukizwa sana na tambo za timu Mwakalinga hapa JF. Kuna watu walichukizwa sana na matusi ya timu Mwakalinga hapa. Hii kwa sasa ni pay back time mkuu. Elewa tu kuwa kushangilia ushindi ni part ya mashindano.
Usifikie kwenye kujishusha chini kiasi hicho.