Njowepo
JF-Expert Member
- Feb 26, 2008
- 9,711
- 2,226
Demokrasi imechukua nafasi yake kyela Dr amepita kwa 88% Mwakalinga asubili next time na aendelee kuwekeza Kyela bila mbwembwe za apa na pale.Kama watu wanambeza Dr kwa ushindi huo wa kura zaidi ya 7000 kura nyingi kuliko wagombea wote apo Mbeya atakuwa ana yake.
Ila CCM ninayoijua mimi huchelewi kukuta Mwakalinga ndo akapitishwa uko NEC iyo August 14?
Kikwete kama anaitakia mema Kyela amtoe mwakipesile Kyela isonge mbele na aache fitina na roho ya korosho ya kikwele ya maadui kuwaweka eneo moja.
Long live Dr na Mwakalinga subiri 2015 bse Mwakyembe hatokuwa mbunge milele.Chonde chonde endelea kuifadhili radio kyela inasaidia sana.
Ila CCM ninayoijua mimi huchelewi kukuta Mwakalinga ndo akapitishwa uko NEC iyo August 14?
Kikwete kama anaitakia mema Kyela amtoe mwakipesile Kyela isonge mbele na aache fitina na roho ya korosho ya kikwele ya maadui kuwaweka eneo moja.
Long live Dr na Mwakalinga subiri 2015 bse Mwakyembe hatokuwa mbunge milele.Chonde chonde endelea kuifadhili radio kyela inasaidia sana.