Mzee Mwanakijiji
Platinum Member
- Mar 10, 2006
- 33,478
- 39,998
- Thread starter
- #121
Aajhajhajhajhajhajhajhaaaaaaa........haya sasa. Mwenyewe hatimaye kasema.
Watu mlienda mbaaali na mawazo yenu ya ngono kumbe mwenzenu anazungumzia chores za nyumbani. Walimwengu bana….yaani fikra zao ziko kwenye mambo machafu machafu tu. Teh teh teh
kuna mahali imewahi kusemwa kuwa wanaume hufikiria mambo ya ngono kila baada ya sekunde tisa/kumi; sasa kwa Watanzania kwa ujumla kuna uwezekano kuwa tunafanya hivyo chini ya muda huo. Mti akisema "siagi" mtu anafikiria ngono, mtu akisema "dodoki" mtu anafikiria ngongo, tukisema "samli" basi ni yale yale.. utadhani tunaishi katika ulimwengu wa mafumbo ambapo jukumu letu ni kuyafumbua kila tunaposikia.