Kuosha Vyombo

Mzee mzima yuko deep kinomanoma. Na kweli ukisoma kijuu juu hitimisho litakuwa anazungumzia mambo yale ya kufanya matusi. Lakini kwa jinsi nimjuavyyo jamaa, huenda ikawa hata hazungumzii hayo mambo ya matusi.

It's really sad when prurience the first thing that comes to people's minds. Get your minds out of the gutter people. Geeeez

Aliwahi kushusha shairi hapa jamvini la kuosha vyombo, mpaka nalimaliza kulisoma ndio nikagundua kwamba vyombo vile si vyombo kama vinavyojulikana na wengi, bali kama vinavyojulikana na Mkjj, si ajabu na hii thread anamaanisha vyombo hivyo hivyo! Hahahahah lol! Mkjj noma sana.
 
Aliwahi kushusha shairi hapa jamvini la kuosha vyombo, mpaka nalimaliza kulisoma ndio nikagundua kwamba vyombo vile si vyombo kama vinavyojulikana na wengi, bali kama vinavyojulikana na Mkjj, si ajabu na hii thread anamaanisha vyombo hivyo hivyo! Hahahahah lol! Mkjj noma sana.

Enheee wewe sasa unamjua Mzee Mwanakijiji.
 
Aliwahi kushusha shairi hapa jamvini la kuosha vyombo, mpaka nalimaliza kulisoma ndio nikagundua kwamba vyombo vile si vyombo kama vinavyojulikana na wengi, bali kama vinavyojulikana na Mkjj, si ajabu na hii thread anamaanisha vyombo hivyo hivyo! Hahahahah lol! Mkjj noma sana.
Hahahaha!!! Mkjj noma sana banaaa
 
lazima mgawanyo wa majukumu uwepo aisee hata kama baadhi ya sehemu mnashirikiana. mwanaume anabase kwenye kutafuta pesa na mwanamke kwenye vyombo, kufua, kupiga deki na kadharika.
 
vyombo!!!!! Ahaaaa!!! Basi kama ni house wife basi kazi za ndani zinamhusu. Au ni vyombo gani?
 
Kuosha vyombo na kuoshana vyombo ni muhimu na inapendeza sana mkiosha vyombo kwa pamoja...! Kwanza ndio vyombo vinatakata vizuri, uku mkipakana mapovu ya kwenye vyombo, mkikumbushana ili na lile... au sio!?
 

hebu msivikoshe vyombo, mlisikie shombo na uvundo wake.
Kutegeana nani akoshe pia ni kubaya,

...na nyie mnaojifanya hamuelewi, mwajifanya kujitoa fahamu si ndio?
kwakuwa mmeambiwa hapa mtumie 'lugha nyepesi na laini' ndio leo hamjui chombo?
 

hebu msivikoshe vyombo, mlisikie shombo na uvundo wake.
Kutegeana nani akoshe pia ni kubaya,

...na nyie mnaojifanya hamuelewi, mwajifanya kujitoa fahamu si ndio?
kwakuwa mmeambiwa hapa mtumie 'lugha nyepesi na laini' ndio leo hamjui chombo?
Hahahaha!!! Mimi sina vyombo vya kuosha
 
Sijui kama ni swali la kizushi au uchokozi: Wote mlikuwa na njaa, mkaenda jikoni na mkapika kwa kushirikiana vilivyo na mkakipenda chakula. Mkakaa chini mkala kwa furaha zote na kuteremshia na mvinyo kidogo. Baadaye mmoja ndiye anatoka na kuanza kuosha vyombo. Hii kweli ni sahihi? Ni lazima wakati wote mshirikiane na kuosha vyombo kama mlivyoshirikiana kupika na kula? Ni swali tu.

........Naomba kwanza nifafanuliwe....ni kuosha vyombo vya kawaida au? ................Mwanakijiji, Mwanajamii mie naomba mwongozo!!!
 
hebu msivikoshe vyombo, mlisikie shombo na uvundo wake.
Kutegeana nani akoshe pia ni kubaya,

...na nyie mnaojifanya hamuelewi, mwajifanya kujitoa fahamu si ndio?
kwakuwa mmeambiwa hapa mtumie 'lugha nyepesi na laini' ndio leo hamjui chombo?


Mbu kama ninakutaka kukuelewa vile?! sijui lakini but kama ni chombo kile mie ningeomba kila siku nipangiwe mie zamu ya kuosha....infact niwe na zamu ya daima kwani kuna raha na faida zake wajameni.
 
  • Thanks
Reactions: Mbu
Namwona Mzee mwenyewe yuko hapo chini. Ngoja tusubiri labda atakuja kutufumbulia wenzangu na sie tulio wagumu wa kuelewa.
 
Vyombo hivi siyo vile
Vya huku siyo kule
Vya jikoni siyo pale
Vyomo vile vya kulia!

Vyombo siyo vya sirini
Vyombo vile vya mezani
Siyo vya kule chumbani
vyombo vile vya jikoni!

Siyo vyombo vya gizani
Vilivyong'ang'ana mwilini
Vya vyakula vya gizani
Vyenye kuliwa shukani

Vyombo hivi ni sahani,
Na vijiko vya mezani
Sufuria za jikoni
Bakuli za kabatini!

Mlivyonavyo mawazoni
Silo niwaulizeni
Sijui tatizo nini
Mmewaza ya chumbani!

Mkisha kula pamoja
Vitamu tena vya haja
Mtaosha kwa pamoja
Au aoshe mmoja?

Swali nawaulizeni.

M. M. Mwanakijiji (Sauti ya Kijiji)
 
Aajhajhajhajhajhajhajhaaaaaaa........haya sasa. Mwenyewe hatimaye kasema.

Watu mlienda mbaaali na mawazo yenu ya ngono kumbe mwenzenu anazungumzia chores za nyumbani. Walimwengu bana….yaani fikra zao ziko kwenye mambo machafu machafu tu. Teh teh teh
 
Vyombo siyo vya sirini
Vyombo vile vya mezani
Siyo vya kule chumbani
vyombo vile vya jikoni!


he he..majibu yameshapatikana..yuuu mzee umemix watu sana leo!!..
 
Vyombo siyo vya sirini
Vyombo vile vya mezani
Siyo vya kule chumbani
vyombo vile vya jikoni!


he he..majibu yameshapatikana..yuuu mzee umemix watu sana leo!!..

Hahahaaa wee acha tu manake watu walikuwa wanakuja renditions zao chafu chafu na za ajabu ajabu sijui hata kwa nini wakati wangeweza kumuuliza Mzee mwenyewe kama tulivyofanya wengine. Lol
 
Aka babu, sie waume zetu ruksa kuoa mpaka wanne, sasa akiwa na hamu si anaongeza mwingine tu kihalali, na hao wanne wakimchosha anaacha na kuoa wengine kihalaaali, labda awe hafati maamrisho na anafanya dhulma. Maana hamna dhulma na ufisadi kama kutembea na mwanamke mwingine kiharaam wakati unae wa halali, kama Slaa PhD wa kanoni bila degree hata moja, hali kadhalika mwanamke kutembea nje ya ndoa, hususan ikifikia kuwa unautangazamia umma unaokutazama kama kioo cha maadili katika jamii kuwa unataka kuzaa nje ya ndoa kama alivyofanya Halima Mdee. Looooo!


Mada inasema kuosha vyombo.... hapo pekundu hapo...naona pako nje ya mada kabisa.....kuhukumu wasiohusika na mazungumzo haya inaruhusiwa?Dr Slaa na ndoa yake au Halima Mdee kuzaa bila ndoa ndio kuosha vyombo jamani?
 
3 Reactions
Reply
Back
Top Bottom