Wacha1
JF-Expert Member
- Dec 21, 2009
- 16,681
- 8,233
Mwanakijiji
Wacha ubahili kanunue mashine ya kuosha vyombo.
BTW hivi serikali zetu bado zinaajiri wafanyakazi wa kufagia ofisi, kupika chai, madereva nk. kazi nyingine bana ndio sababu wafanyakazi wanadumaa, kazi za kupika chai maofisini sio za kuajiri mtu au kila boss kuwa na dereva wake tufike mahali tubadilike na kuondoa adha ya kutegemea shughuli kama hizi kufanywa na mtu mwingine. How do they do it in Europe? Hili ni zigo jingine kwa walipa kodi.
Wacha ubahili kanunue mashine ya kuosha vyombo.
BTW hivi serikali zetu bado zinaajiri wafanyakazi wa kufagia ofisi, kupika chai, madereva nk. kazi nyingine bana ndio sababu wafanyakazi wanadumaa, kazi za kupika chai maofisini sio za kuajiri mtu au kila boss kuwa na dereva wake tufike mahali tubadilike na kuondoa adha ya kutegemea shughuli kama hizi kufanywa na mtu mwingine. How do they do it in Europe? Hili ni zigo jingine kwa walipa kodi.