Ni sahihi mke wako kushirikiana na mpangaji mwenzake kupika kila siku?

ndege JOHN

JF-Expert Member
Aug 5, 2015
19,573
44,803
Assume una mke mdogomdogo mama wa nyumbani na bado hamjapata mtoto, sasa mnaishi kwenye nyumba moja mko wapangaji wawili tu; yaani mtu na mkewe ambao hawana pia mtoto ila wenyewe hawana kazi ya kipato cha kati, wanaunga unga maisha yaendelee.

Mara nyingi mume wake anatoka asubuhi anarudi usiku leo kapata kidogo kesho kakosa nyakati nyingi hamuachii mkewe hela yoyote ya mezani.

Sasa wewe kipato chako sio haba sana unapata salary mpaka ya kuwa na na uwezo wa kununua vitu vya jumla ukaweka ndani mchele, mafuta, unga, gas,nyanya,vitunguu na kadhalika.

Sasa inaibuka tabia ya mkeo kuanza ku share kupika na yule mdada mpangaji..na mke anakutamkia wazi kabisa kwamba wanashirikiana kupika jirani yake huyo ananunua mboga na viungo vya mchana halafu mimi tanunua mboga za usiku.

Anadai kwamba hata kwao kijijini ulimpomtoa huwa wanapika na wifi yake wanakula pamoja na kwamba hajazoea maisha ya choyo. Anadai niwaache waendelee kushirikiana kwa sababu chakula cha kula mwenyewe hakimnogei ikumbukwe me huwa natoka asubuhi na mchana nakula kazini narudi usiku tu.

swali langu wakuu wenye uzoefu mnaonaje je hapo hakuna kuhujumiana kweli maana me nahisi kwa uwezo wangu ndo natoa mchango mkubwa sijawahi kuona wao wanunue vitu kwa jumla.

Je, nimkubalie mke wangu tu alivyozoea kumsaidia jirani yake? Maana kweli kuna siku za kuishiwa pengine jirani yake atamsaidia pia chakula alichonach,o ila sasa roho inauma maana nahisi kama mke wangu hana uchungu na maisha yalivyo magumu; anahisi me napata hela nyingi huku kazini.

Hali hio ni ya kawaida kweli kwa mke kusaidiana kupika na kuosha vyombo na mpangaji mwenzake wa pekee na umri wa mke ni miaka 18.
 
Ukitaka wanawake wagombane washee jiko
Hao imetokea wamewezana sijui kamshikaje masikio nikimwambia haelewi sasa mimi nifanyaje nimkubali tu aendelee kula na hio nyumba nishatoa kodi ya miezi sita
 
Wewe umeshindwa kusimama Kama mwanaume Kwenye nyumba yako, mke wako ndo anayefanya maamuzi Kwenye nyumba yenu na wewe umekubali kuendeshwa.

Eeh bana zinduka haraka kabla hujapigwa na kitu kizito kichwani, unatakiwa usimame Kama mwanaume Tena kichwa Cha nyumba yako.
 
Assume una mke mdogomdogo mama wa nyumbani na bado hamjapata mtoto, sasa mnaishi kwenye nyumba moja mko wapangaji wawili tu; yaani mtu na mkewe ambao hawana pia mtoto ila wenyewe hawana kazi ya kipato cha kati, wanaunga unga maisha yaendelee.

Mara nyingi mume wake anatoka asubuhi anarudi usiku leo kapata kidogo kesho kakosa nyakati nyingi hamuachii mkewe hela yoyote ya mezani.

sasa wewe kipato chako sio haba sana unapata salary mpaka ya kuwa na na uwezo wa kununua vitu vya jumla ukaweka ndani mchele, mafuta, unga, gas,nyanya,vitunguu na kadhalika.

Sasa inaibuka tabia ya mkeo kuanza ku share kupika na yule mdada mpangaji..na mke anakutamkia wazi kabisa kwamba wanashirikiana kupika jirani yake huyo ananunua mboga na viungo vya mchana halafu mimi tanunua mboga za usiku.

Anadai kwamba hata kwao kijijini ulimpomtoa huwa wanapika na wifi yake wanakula pamoja na kwamba hajazoea maisha ya choyo. Anadai niwaache waendelee kushirikiana kwa sababu chakula cha kula mwenyewe hakimnogei ikumbukwe me huwa natoka asubuhi na mchana nakula kazini narudi usiku tu.

swali langu wakuu wenye uzoefu mnaonaje je hapo hakuna kuhujumiana kweli maana me nahisi kwa uwezo wangu ndo natoa mchango mkubwa sijawahi kuona wao wanunue vitu kwa jumla.

Je, nimkubalie mke wangu tu alivyozoea kumsaidia jirani yake? Maana kweli kuna siku za kuishiwa pengine jirani yake atamsaidia pia chakula alichonach,o ila sasa roho inauma maana nahisi kama mke wangu hana uchungu na maisha yalivyo magumu; anahisi me napata hela nyingi huku kazini.

Hali hio ni ya kawaida kweli kwa mke kusaidiana kupika na kuosha vyombo na mpangaji mwenzake wa pekee na umri wa mke ni miaka 18.
Si sahihi kuoa mwanamke ambaye hujamjua vizuri, si sahihi zaidi kuoa mwanamke ambaye hujamjua vizuri halafu ukaishi naye nyumba ya kupanga.

Yani hata ile process ya kumjua vizuri inazongwazongwa na vijimambo kibao vya nyumba za kupanga.
 
Hao watagombana muda si mrefu, usishangae huyo jamaa mwingine nae anakula vyakula unavyonunua wewe. Ukiangalia kwa picha ndogo utaona mkeo anafanya act of kindness. Lakini ukiangalia picha kubwa mkeo anakosea sana, anatakiwa kuweka mipaka kati yako na huyo mwenzie, anaweza kupika chakula mkeo alafu akamkaribisha wakala wote. SIO KUSHEA JIKO.
 
Wewe umeshindwa kusimama Kama mwanaume Kwenye nyumba yako, mke wako ndo anayefanya maamuzi Kwenye nyumba yenu na wewe umekubali kuendeshwa.

Eeh bana zinduka haraka kabla hujapigwa na kitu kizito kichwani, unatakiwa usimame Kama mwanaume Tena kichwa Cha nyumba yako.
Mkuu sasa mimi nifanyeje maana nikishanunua vitu labda vya 150000 nabaki na kaakiba changu na vile vile hapa kati nasafiri sana kwenda field inaweza ikatokea week mbili haupo sasa yale manyanya uliyonunua yanaweza kuoza ndo maana ili ku ya rescue mke anaona wapike na mwenzake
 
Mkuu sasa mimi nifanyeje maana nikishanunua vitu labda vya 150000 nabaki na kaakiba changu na vile vile hapa kati nasafiri sana kwenda field inaweza ikatokea week mbili haupo sasa yale manyanya uliyonunua yanaweza kuoza ndo maana ili ku ya rescue mke anaona wapike na mwenzake

Wewe huna akili tena bwabwa bwabwa kwasababu kama umekubalina na hali yanini kuja hapa kulalamika na kuomba ushauri unatak ushauri gan?
 
Assume una mke mdogomdogo mama wa nyumbani na bado hamjapata mtoto, sasa mnaishi kwenye nyumba moja mko wapangaji wawili tu; yaani mtu na mkewe ambao hawana pia mtoto ila wenyewe hawana kazi ya kipato cha kati, wanaunga unga maisha yaendelee.

Mara nyingi mume wake anatoka asubuhi anarudi usiku leo kapata kidogo kesho kakosa nyakati nyingi hamuachii mkewe hela yoyote ya mezani.

sasa wewe kipato chako sio haba sana unapata salary mpaka ya kuwa na na uwezo wa kununua vitu vya jumla ukaweka ndani mchele, mafuta, unga, gas,nyanya,vitunguu na kadhalika.

Sasa inaibuka tabia ya mkeo kuanza ku share kupika na yule mdada mpangaji..na mke anakutamkia wazi kabisa kwamba wanashirikiana kupika jirani yake huyo ananunua mboga na viungo vya mchana halafu mimi tanunua mboga za usiku.

Anadai kwamba hata kwao kijijini ulimpomtoa huwa wanapika na wifi yake wanakula pamoja na kwamba hajazoea maisha ya choyo. Anadai niwaache waendelee kushirikiana kwa sababu chakula cha kula mwenyewe hakimnogei ikumbukwe me huwa natoka asubuhi na mchana nakula kazini narudi usiku tu.

swali langu wakuu wenye uzoefu mnaonaje je hapo hakuna kuhujumiana kweli maana me nahisi kwa uwezo wangu ndo natoa mchango mkubwa sijawahi kuona wao wanunue vitu kwa jumla.

Je, nimkubalie mke wangu tu alivyozoea kumsaidia jirani yake? Maana kweli kuna siku za kuishiwa pengine jirani yake atamsaidia pia chakula alichonach,o ila sasa roho inauma maana nahisi kama mke wangu hana uchungu na maisha yalivyo magumu; anahisi me napata hela nyingi huku kazini.

Hali hio ni ya kawaida kweli kwa mke kusaidiana kupika na kuosha vyombo na mpangaji mwenzake wa pekee na umri wa mke ni miaka 18.
Ana maisha ya kuungaunga. Lini mtaacha dharau nyie?
watu mliofanikiwa mna dharau sana
 
Mwanzoni wakati naanza life Kuna single maza alianza ukaribu na wife namba hiyo Ila mwishoni waligombana,mchunguze huyo rafiki yake Kama Ana Tania njema mwendelee na ujirani Ila Kama Ni kicheche achana nao uhamie mahali ambapo mtakaa peke yenu
 
Wewe huna akili tena bwabwa bwabwa kwasababu kama umekubalina na hali yanini kuja hapa kulalamika na kuomba ushauri unatak ushauri gan?
Hujaelewa...yaani sio mara zote utapata kazi za site sometimes unapigwa benchi mwezi hujatoka ndo kipindi umenasa hula hela na vyakula vimeisha changamoto za maisha si unazijua so nalalamikia kile kipindi kweli nimefulia kabisa au n8na madeni ya kulipa.
 
Hujaelewa...yaani sio mara zote utapata kazi za site sometimes unapigwa benchi mwezi hujatoka ndo kipindi umenasa hula hela na vyakula vimeisha changamoto za maisha si unazijua so nalalamikia kile kipindi kweli nimefulia kabisa au n8na madeni ya kulipa.

Mtajuana wenyew bhna wewe kama mwanaume unakosa msimamo kwenye nyumba yako hilo tatizo kubwa sana mwanamke anakuendesha
 
Back
Top Bottom