Heaven Sent
JF-Expert Member
- Sep 27, 2013
- 31,974
- 95,475
Mmh daddy angu huwa ana vichambo amazing jamani HahahaHa ha ha dah Umenikumbusha ile thread lol
Mmh daddy angu huwa ana vichambo amazing jamani HahahaHa ha ha dah Umenikumbusha ile thread lol
Hiyo stayle imenivutia,ngoja nami nikajaribu
kweli kabisaaaakasoro mimi.. wanita raugh hair sijui nini nini? wanapakiamo huko na rangi za moto au nyekundu
We na kichwa chako kama mbegu ya ubuyu usinyoe, baki na hilo wigi tu...Wakinyoa taabu, wakisuka taabu, wakivaa mawigi taabu, hivi nyie wanaume mnataka nn haswa?
Go get a life.
Hahahaaaaa! Na lichogo hilooo, acha tu wigi linisitiri aisee!We na kichwa chako kama mbegu ya ubuyu usinyoe, baki na hilo wigi tu...
Na kweli, tena inakuwa rahisi zaidi kulivaaTunanyoa ili tukivaa mawigi yakae vzr
Me mwenyewe huwa nawakubali mno, kama huyo kwenye avatar yangu. Ingawa sijawahi kuwaza kuzilock hivyo za kwanguwanawake wenye dread locks hunivutia sana.
Kumbe mnajua hadi majina yake, teh teh teeeh!Hahha hapo safie best.. kwa bajet hiyo kuna wanyonge lazima wajisogeze!!!
Ule mwendo wa peruvian ulikua noma
We lazima usifie aisee!Huwa zinavutia sanaaaaa......
aiseee! na we unazo!? niambie kwa kupeleka posa.Me mwenyewe huwa nawakubali mno, kama huyo kwenye avatar yangu. Ingawa sijawahi kuwaza kuzilock hivyo za kwangu
mweee me sina bana,aiseee! na we unazo!? niambie kwa kupeleka posa.
Hahha acha tu.... missyrose amenifanya niyajue yote yanayomuhusu!!!Kumbe mnajua hadi majina yake, teh teh teeeh!
Acheni ubahiri bwana.
Kweli tena, we toa tu bila kujiongeza ila ukiishiwa hilo zigo lako mwenyewe(ila bahati yako pacha wangu anajali utu zaidi pesa baadae)Hahha acha tu.... missyrose amenifanya niyajue yote yanayomuhusu!!!
Ubahiri muhim, aukawii kukauka af ukaachwa mwenyewe lol...