Mnaoupinga Ushoga mbona kwa wanawake mko kimya?

Allen Kilewella

JF-Expert Member
Sep 30, 2011
18,305
33,924
Nimeamua kuandika mada hii kutokana na utafiti wangu mdogo niliofanya kupitia hapa JF na mahala kwingine. Na bandiko hili linasimama kuitaka jamii yetu ya watanzania isimame kwenye kile inachoamini kwa kujenga juu ya kweli na siyo hisia.

Suala la Ushoga hapa JF na Tanzania linatumika kisiasa zaidi na pia katika mlengo wa vita dhidi ya Marekani na Ulaya. Kisiasa suala hili linahusishwa kiuongo uongo na CHADEMA. Na kwa Marekani inatengenezwa picha kwamba Marekani pekee ndiko kuna mashoga na Marekani wanataka kulazimisha dunia nzima wawe mashoga.

Lakini mada hii inahusu zaidi mitizamo ya watanzania kuhusu kitendo chenyewe cha kishoga. Watu wengi wanachukia sana mashoga na ushoga, lakini watu hao hao huoni wala kusikia wakitumia nguvu kubwa kusema hadharani kwamba kitendo cha kumuingilia kinyume cha maumbile mwanamke ni makosa.

Kama ushoga ni jambo baya ni kwa nini basi hatuoni harakati pia za kupiga vita wanaume kuwaingilia kinyume cha maumbile wanawake? Jee wanawake wao ni sawa tu kufanya ngono kwa mtindo huu ila tatizo ni kwa wanaume kwa wanaume? Maana kwenye mada hata humu JF utaona kuna mashabiki wengi sana wa tabia hiyo dhidi ya wanawake na hakuna mtu anayesema watu hao ni CHADEMA au ni CCM!!

Sera yetu kuhusu mwanamke kuingiliwa kinyume cha maumbile ikoje? Nimeona watu wanasema akija Haris Kamala Makamu Rais wa Marekani, aambiwe kwamba hatutaki ushoga. Jee ataambiwa pia kwamba hatutaki wanawake kuingiliwa kinyume cha maumbile?
 
Watu wengi wanachukia sana mashoga na ushoga, lakini watu hao hao huoni wala kusikia wakitumia nguvu kubwa kusema hadharani kwamba kitendo cha kumuingilia kinyume cha maumbile mwanamke ni makosa.
Tatizo ni kwamba, hao wanawake wanaofanyiwa hawajawahi kuomba iwe haki na hawana chama chao kama ilivyo kwa mashoga.

Hawa wanaomba kutambuliwa na dunia ione kama ni jambo la kawaida.

Au umewahi kukuta hamasa ya wazi ya kuruhusu wanawake kuingiziwa kinyume na maumbile?

Lakini hamasa za kutaka wanaume kwa wanaume kuoana au wanawake kwa wanawake,zinafanyika kwa nguvu zote. Hii si sawa. Hata kama wanafanya, wasingetafuta kukubaliwa kwa kile wanachofanya!
 
Nimeamua kuandika mada hii kutokana na utafiti wangu mdogo niliofanya kupitia hapa JF na mahala kwingine. Na bandiko hili linasimama kuitaka jamii yetu ya watanzania isimame kwenye kile inachoamini kwa kujenga juu ya kweli na siyo hisia.

Suala la Ushoga hapa JF na Tanzania linatumika kisiasa zaidi na pia katika mlengo wa vita dhidi ya Marekani na Ulaya. Kisiasa suala hili linahusishwa kiuongo uongo na CHADEMA. Na kwa Marekani inatengenezwa picha kwamba Marekani pekee ndiko kuna mashoga na Marekani wanataka kulazimisha dunia nzima wawe mashoga.

Lakini mada hii inahusu zaidi mitizamo ya watanzania kuhusu kitendo chenyewe cha kishoga. Watu wengi wanachukia sana mashoga na ushoga, lakini watu hao hao huoni wala kusikia wakitumia nguvu kubwa kusema hadharani kwamba kitendo cha kumuingilia kinyume cha maumbile mwanamke ni makosa.

Kama ushoga ni jambo baya ni kwa nini basi hatuoni harakati pia za kupiga vita wanaume kuwaingilia kinyume cha maumbile wanawake? Jee wanawake wao ni sawa tu kufanya ngono kwa mtindo huu ila tatizo ni kwa wanaume kwa wanaume? Maana kwenye mada hata humu JF utaona kuna mashabiki wengi sana wa tabia hiyo dhidi ya wanawake na hakuna mtu anayesema watu hao ni CHADEMA au ni CCM!!

Sera yetu kuhusu mwanamke kuingiliwa kinyume cha maumbile ikoje? Nimeona watu wanasema akija Haris Kamala Makamu Rais wa Marekani, aambiwe kwamba hatutaki ushoga. Jee ataambiwa pia kwamba hatutaki wanawake kuingiliwa kinyume cha maumbile?
vita ni dhidi ya mapenzi ya jinsi moja, lakini mapenzi ya jinsi mbili tofauti ni ruksa sasa wakiingia vyumbani ni juu yao kufanya mapenzi ya kinyume
 
Au umewahi kukuta hamasa ya wazi ya kuruhusu wanawake kuingiziwa kinyume na maumbile
Mbona miziki yetu inahamasisha, Kuna vigodoro, n.k. in fact imeonekana ni suala la kawaida kabisa. Ila sijaona likipingwa kwa nguvu kama alivyosema mtoa mada.

Naona kama Kuna unafiki mahali tunafanya kama taifa. Takwimu tu za Mewata zinasema 1/3 ya wanawake wanageuzwa na waume zao. Sasa is it any better than tunachopinga??
 
Nadhani mashoga wanachopigania ni wao kuoana. Ila hata wao wanafanya kwa siri pia.
Basi wakubali upinzani toka kwa wasiokubaliana nao. Wasitafute huruma za watu kwa kuhamasisha dunia ione kama ni jambo la kawaida!

Wakianza kutafuta huruma za watu kwa kuhalalisha haramu kuwa halali, basi hata wezi na wachawi wataanza kutafuta haki zao za kuruhusiwa kuiba au kuwaroga wenzao!
 
Back
Top Bottom