KATASAN'KAZA
JF-Expert Member
- Jul 24, 2013
- 3,098
- 1,345
Hahha hapo safie best.. kwa bajet hiyo kuna wanyonge lazima wajisogeze!!!Haha bestie weaving nimeacha siku hizi ni nywele zangu tu siongezi kitu,per week 5000 tu kuosha,kwahio ni 20000 kwa mwezi,240,000 kwa mwaka teh #whatwouldmagufulido#
Na kwa miji yenye joto kama Dar hiyo miwig inavyotoa harufu sasa,unakuta mtu automatically hazingatii usafi ndo mpo kwenye public bus wig linavyotoa harufu mbaya utatamani kushuka.Kunyoa raha...tena kichwa inakua safi all the time.. Kama mleta mada unapenda wenye ma weaving na wig bado wapo lkn. Ila binafsi kusuka kero. Mara nywele ziwashe Ka chiz...mara mba ...Mara zipunyuke... Waiiiii .. Sa apo utasema una nywele au kero tu...raha ya nywele ziwe zako halali sio za kushonea....ni mtazamo wangu tuu
Hahahaa hapana majukumu hayajapungua,ni substitution tu,ukiona hivyo ujue kuna sehemu ntakula kichwa,mjini cha bure salam tu bestie...Hahha hapo safie best.. kwa bajet hiyo kuna wanyonge lazima wajisogeze!!!
Ule mwendo wa peruvian ulikua noma
Habari za muda huu wadau? Tangu kuanzia mwishoni mwa mwaka jana nimeona wamama na wadada wanakimbilia kunyoa nywele tofauti na tulikotoka. Wenyewe wanasema wanataka nywele ziote vizuri ila kuna wengine kila wiki mbili wananyoa tena.
Utaratibu huu unashika kasi ni fashion au ni kurudisha ule mtindo wa zamani au ni uchumi?
wakinyoa hivo mnakuwa mnafanana bhana. Mwanamke awe na nywele zake na siyo mawigi yao! Mbona wazungu hawatumii mawigi? Waafrika cjui tukoje?!View attachment 322710View attachment 322711View attachment 322712View attachment 322713hakika wanawake hivi huwa wanatia wazimu mie..!
Kunyoa raha...tena kichwa inakua safi all the time.. Kama mleta mada unapenda wenye ma weaving na wig bado wapo lkn. Ila binafsi kusuka kero. Mara nywele ziwashe Ka chiz...mara mba ...Mara zipunyuke... Waiiiii .. Sa apo utasema una nywele au kero tu...raha ya nywele ziwe zako halali sio za kushonea....ni mtazamo wangu tuu
"...wananyoa kwasababu, Mabwana zao tumechoka mizinga ya Saluni, hivyo ana nyoa pesa ikipatikana ana suka tena... simple tu"Habari za muda huu wadau? Tangu kuanzia mwishoni mwa mwaka jana nimeona wamama na wadada wanakimbilia kunyoa nywele tofauti na tulikotoka. Wenyewe wanasema wanataka nywele ziote vizuri ila kuna wengine kila wiki mbili wananyoa tena.
Utaratibu huu unashika kasi ni fashion au ni kurudisha ule mtindo wa zamani au ni uchumi?
Hakika ni mtazamo wako tuuWala tatizo sio mba wala kuwasha,tatizo uchumi.
Mtazamo wangu tu.
Hakika ni mtazamo wako tuu
"haa aa naona unaelekea kwenye ukweli sasa"isije ikahamia kwa mchepuko hiyo pesa ya kusuka kwakuwa mamaa kanyoa.
Hivi lile wigi lako lisilofata direction ya kichwa bado unalo, nije nigongeapo kwenye valentine tehTunanyoa ili tukivaa mawigi yakae vzr
Ha ha ha dah Umenikumbusha ile thread lolHivi lile wigi lako lisilofata direction ya kichwa bado unalo, nije nigongeapo kwenye valentine teh