Habari zenu wana JF wenzangu.
Leo nimekuja na mada inayohusu mnyama hatari kuliko wanyama wote duniani anaitwa Komodo dragon.
Mnyama huyu ana uwezo wa kuua wanyama wengine hatari kama vile
1) Tiger
2) Simba
3) Leopard, Cheetah (chui)
4) Mamba
5) King cobra, Black mamba nk.
6) Honey badger pamoja na uwezo wa kuishi karibu na wanyama wakali, lakini hawezi kufanya mzaha huo mbele ya Komodo dragon aisee atamezwa yeye na manyoa yake. Jamaa hana masihara na mnyama mwingine yoyote.
Komodo dragon ana venom (sumu kali) kuliko mnyama yoyote hapa duniani. Akiuma mara moja tu inatosha kumaliza mchezo. Hata iwe Tembo, kifaru, kiboko, simba nk hawawezi kufikisha dakika 5 bila kuanguka chini na kupararaizi, kisha Komodo anajivuta taratibu kuja kula nyama. Haijalishi hapo mnyama atakuwa ameshakufa au bado anapumua, Komodo atachofanya ni kuanza kumtafuna mzima mzima huku anayetafunwa anamuona. Kwa vile atakuwa ameshapararaizi basi mshambuliwa hatokuwa na nguvu ya kumfanya chochote Komodo.
Mnyama huyu hata sumu ya koboko haimdhuru kutokana na aina ya uumbwaji wake ulivyo, ila yeye ya kwake inamdhuru koboko kwa sekunde tu, kwanza anaweza kummeza kwa sekundi 10 bila hata kutumia venom (sumu) yake.
Kwa upande wa binadam sometimes unaweza kuumwa na Simba, Tiger, Leopard, Mamba nk ila ukawa jasiri na kufanikiwa kujiokoa na kutoka nduki kuokoa maisha yako.
Ila mzee Komodo yeye akishakupiga jino basi ujue ni bye bye maana kama ukibahatika sana itachukua ni dakika 3 au 5 kuiaga dunia na pengine mzee wa kazi atakuja akutafune ukiwa bado hujafa hadi atakumaliza na kukumeza wewe wote.
Huyu mnyama akishakupiga jino hukaa pembeni umbali kidogo wa ulipo halafu anakusikilizia. So unaweza kutoka nduki ukidhani umepona kumbe dakika mbili au tatu za mbele utaanguka na kuanza kuishiwa nguvu, hapo ndo mzee wa kazi ataanza kukufuata huku akitumia pua yake kunusa kila sehemu uliyokanyaga hadi atakukuta ukiwa hoi na yeye au wao wakumalizie kabisa.
Huyo ndio Komodo dragon mbabe wa wababe wote duniani. Japo wengi huku Afrika hawamjui kutokana na wanyama hao kupatikana zaidi katika bara la Asia.
View attachment 2321342View attachment 2321345
Na huo ndo ukweli mchungu. Hawa wengine hawana loloteMnyama hatari duniani ni binadamu tu asipowekewa mipaka
Wacha tu watoweke mmmh!Ni moja ya viumbe waliohatarini kutoweka duniani kwasasa, wamebaki wachache sana.
Blank mamba ndio hatari ndani ya dakika umeshapoteaHabari zenu wana JF wenzangu.
Leo nimekuja na mada inayohusu mnyama hatari kuliko wanyama wote duniani anaitwa Komodo dragon.
Mnyama huyu ana uwezo wa kuua wanyama wengine hatari kama vile
1) Tiger
2) Simba
3) Leopard, Cheetah (chui)
4) Mamba
5) King cobra, Black mamba nk.
6) Honey badger pamoja na uwezo wa kuishi karibu na wanyama wakali, lakini hawezi kufanya mzaha huo mbele ya Komodo dragon aisee atamezwa yeye na manyoa yake. Jamaa hana masihara na mnyama mwingine yoyote.
Komodo dragon ana venom (sumu kali) kuliko mnyama yoyote hapa duniani. Akiuma mara moja tu inatosha kumaliza mchezo. Hata iwe Tembo, kifaru, kiboko, simba nk hawawezi kufikisha dakika 5 bila kuanguka chini na kupararaizi, kisha Komodo anajivuta taratibu kuja kula nyama.
Haijalishi hapo mnyama atakuwa ameshakufa au bado anapumua, Komodo atachofanya ni kuanza kumtafuna mzima mzima huku anayetafunwa anamuona. Kwa vile atakuwa ameshapararaizi basi mshambuliwa hatokuwa na nguvu ya kumfanya chochote Komodo.
Mnyama huyu hata sumu ya koboko haimdhuru kutokana na aina ya uumbwaji wake ulivyo, ila yeye ya kwake inamdhuru koboko kwa sekunde tu, kwanza anaweza kummeza kwa sekundi 10 bila hata kutumia venom (sumu) yake.
Kwa upande wa binadam sometimes unaweza kuumwa na Simba, Tiger, Leopard, Mamba nk ila ukawa jasiri na kufanikiwa kujiokoa na kutoka nduki kuokoa maisha yako.
Ila mzee Komodo yeye akishakupiga jino basi ujue ni bye bye maana kama ukibahatika sana itachukua ni dakika 3 au 5 kuiaga dunia na pengine mzee wa kazi atakuja akutafune ukiwa bado hujafa hadi atakumaliza na kukumeza wewe wote.
Huyu mnyama akishakupiga jino hukaa pembeni umbali kidogo wa ulipo halafu anakusikilizia. So unaweza kutoka nduki ukidhani umepona kumbe dakika mbili au tatu za mbele utaanguka na kuanza kuishiwa nguvu, hapo ndo mzee wa kazi ataanza kukufuata huku akitumia pua yake kunusa kila sehemu uliyokanyaga hadi atakukuta ukiwa hoi na yeye au wao wakumalizie kabisa.
Huyo ndio Komodo dragon mbabe wa wababe wote duniani. Japo wengi huku Afrika hawamjui kutokana na wanyama hao kupatikana zaidi katika bara la Asia.
View attachment 2321342View attachment 2321345
Naona umemchanganya na 'sorokoto' mzee.Niliwahi mkuta kichakani nikamkimbiza huku mkononi nimeshika ndala moja alitoka baru hadi akaingia shimoni
Naona umemchanganya na 'sorokoto' mzee.
Hahahaha unaambiwa huko walipo huuwa viumbe mbali mbali vibaya sana. Ila ndo hivyo hakuna namna kwa sababu bado nchi hizo zinawatumia wanyama hawa kwa utalii.Ni bora wawe hukouko Asia, Ni wanyama hatari sana na hizi kampeni za utalii wa ndani kuna baadhi ya maeneo viongozi wanahamasisha tu watu kwenda kwenda kutazama mapori nawezajikuta unavagaa balaa hilo!
Huyu nafikiri kaumbwa kwa ajili ya kuuwa tu viumbe wengine wakiwemo wanyama, ndege na binadamu. So kwahiyo akishakutia jino tu basi hakuna namna ya kuendelea kuishi au kupata muda wa kuandika usia kwa watoto.Wanasema mdomoni mwake ana bacteria wengi hatari sana kama akikung'ata huwez kupona hata hakuwahishe hospital unapata septic shock baada ya mda kidogo.
😂😂😂 hii sentesi yako imeniacha hoi sana mkuu.Dah afadhali maana kufa bila kuacha mtoto ni kesi kubwa sana
😅😅😅😅😅😂😂😂😂😂😂 hii sentesi yako imeniacha hoi sana mkuu.
Kenge kwa kizungu anaitwa lizard, huyu anaitwa Komodo dragon.huyu kenge mwenye jina la kizungu ndio unaemfagilia namna hii!?
Mkuu, Nakuomba ukafanye marejeo usije ukatupoteza bila kukusudia!.
Shukran mkuu kwa kuongeza baadhi ya mtazamo.Lakini umempamba sana! Kusema ni hatari kuliko kiumbe yoyote duniani! Uhatari wa kiumbehutegemea yupo katika mazingira gani! Mfano anaweza kumuwahi kumpiga sumu mamba ( african) akwa anaota jua akafanikiwa kumuua, lakini akiwa kwienye maji nadhani mamba anaweza kuwin timing akaliwa komondo,halafu hana sumu mwili wote bhana.
Mfano baharini yupo killer whale.
Yote kwa yote nakubaliana na wewe kwamba kiumbe chenye sumu ni kipengele sana kupambana nacho.
Akikudokoa tu umekwisha.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kiufupi binadamu tumependelewa sana wala haijatokea bahati mbaya.Binadamu tumepewa uwezo wa kutumia silaha za ziada kuwaangamiza wanyama kama vile bunduki, panga, kisu, fimbo au magongo, sumu ya kumuwekea mnyama nk. Wanyama wao wanatumia nguvu zao binafsi kutukabili. Kwahiyo ndio maana tunawaweza. Laiti tusingekuwa tunatumia silaha mbadala ili kukabiliana na wanyama, nina imani sisi ndio tungekuwa tunakimbia badala ya wanyama kutukimbia.
Nimemuelewesha mwamba kwenye post namb #24.Ni hatari kama ajastukizwa
Ya ni kweli kikubwa zaidi tumepewa akili ya kuweza kuitumia kuwadhibiti kinamna fulani.Kiufupi binadamu tumependelewa sana wala haijatokea bahati mbaya.