Mr Dudumizi
JF-Expert Member
- Sep 9, 2020
- 6,975
- 12,438
- Thread starter
- #61
Ya ni kweli mkuu, ila uhatari unatofautiana kulingana na aina ya mnyama.KILA mnyama ni hatari kwa timing.
Ya ni kweli mkuu, ila uhatari unatofautiana kulingana na aina ya mnyama.KILA mnyama ni hatari kwa timing.
Eti kia lake 1😁😁Huyu mdusu haangaiki kukupiga jino kwanza ana kupa kia lake 1 tu unakuwa FINYANGO FINYANGO,halafu anaweza akakuacha na hutoboi lazima uondoke si kiumbe mzuri
Ahsante sanaHuyu asili yake huinda wanyama, lkn ikitokea bahati mbaya binadamu ameingia anga zake basi hapo ndo kinakuwa kifo chake. Hili dubwasha halina mswalie mtume. Na wanapatikana katika bara la Asia.
AhsanteBinadamu ni ultimate predator,sababu ya uwezo WA akili tukiamua tuwauwe Simba wote tunaweza ,pahala popote binadam akiweka makazi wanyama wanakula Kona,habari yeti wanayo
Mkuu Tsh , kila mnyama hapa duniani hukamata windo lake kwa timing. Hata Tiger, Simba, Mamba, Chatu na wengine wa aina hiyo huvizia pale muwindwa anapokuwa hana hili wala lile na kumvamia ghafla (ambush) kisha kuanza kumshambulia na hatimae kummaliza.Ni mnyama coward na mviziaji. Anachofanya anavizia ukiwa huna hili wala lile, anakung'ata halafu anakimbia kama kafumaniwa usije mdhuru, anakuacha akisubiri sumu isambae mwilini udondoke aanze kunusa nusa ulipopita ndo ale nyama ya mwili wako. Hata hivyo huwa anamuavoid binadamu.
View attachment 2321528
Akijitokeza kwa Hadzabe huku Lake Eyasi analiwa na sumu yake tena msosi fresh kabisaHabari zenu wana JF wenzangu.
Leo nimekuja na mada inayohusu mnyama hatari kuliko wanyama wote duniani anaitwa Komodo dragon.
Mnyama huyu ana uwezo wa kuua wanyama wengine hatari kama vile
1) Tiger
2) Simba
3) Leopard, Cheetah (chui)
4) Mamba
5) King cobra, Black mamba nk.
6) Honey badger pamoja na uwezo wa kuishi karibu na wanyama wakali, lakini hawezi kufanya mzaha huo mbele ya Komodo dragon aisee atamezwa yeye na manyoa yake. Jamaa hana masihara na mnyama mwingine yoyote.
Komodo dragon ana venom (sumu kali) kuliko mnyama yoyote hapa duniani. Akiuma mara moja tu inatosha kumaliza mchezo. Hata iwe Tembo, kifaru, kiboko, simba nk hawawezi kufikisha dakika 5 bila kuanguka chini na kupararaizi, kisha Komodo anajivuta taratibu kuja kula nyama.
Haijalishi hapo mnyama atakuwa ameshakufa au bado anapumua, Komodo atachofanya ni kuanza kumtafuna mzima mzima huku anayetafunwa anamuona. Kwa vile atakuwa ameshapararaizi basi mshambuliwa hatokuwa na nguvu ya kumfanya chochote Komodo.
Mnyama huyu hata sumu ya koboko haimdhuru kutokana na aina ya uumbwaji wake ulivyo, ila yeye ya kwake inamdhuru koboko kwa sekunde tu, kwanza anaweza kummeza kwa sekundi 10 bila hata kutumia venom (sumu) yake.
Kwa upande wa binadam sometimes unaweza kuumwa na Simba, Tiger, Leopard, Mamba nk ila ukawa jasiri na kufanikiwa kujiokoa na kutoka nduki kuokoa maisha yako.
Ila mzee Komodo yeye akishakupiga jino basi ujue ni bye bye maana kama ukibahatika sana itachukua ni dakika 3 au 5 kuiaga dunia na pengine mzee wa kazi atakuja akutafune ukiwa bado hujafa hadi atakumaliza na kukumeza wewe wote.
Huyu mnyama akishakupiga jino hukaa pembeni umbali kidogo wa ulipo halafu anakusikilizia. So unaweza kutoka nduki ukidhani umepona kumbe dakika mbili au tatu za mbele utaanguka na kuanza kuishiwa nguvu, hapo ndo mzee wa kazi ataanza kukufuata huku akitumia pua yake kunusa kila sehemu uliyokanyaga hadi atakukuta ukiwa hoi na yeye au wao wakumalizie kabisa.
Huyo ndio Komodo dragon mbabe wa wababe wote duniani. Japo wengi huku Afrika hawamjui kutokana na wanyama hao kupatikana zaidi katika bara la Asia.
View attachment 2321342View attachment 2321345
Kenge peke yake kumkimbiza shughuli, ije kuwa dubwasha kama hili lisilojulikana kama ni mamba, kenge, nyoka, mjusi au mnyama wa aina gani?Niliwahi mkuta kichakani nikamkimbiza huku mkononi nimeshika ndala moja alitoka baru hadi akaingia shimoni
Kweli kabisa mkuu, dubwasha halina mswalie mtume. Yeyote linalokutana nalo linapitia tu.Kabisa maana anaweza kuua viumbe vyote duniani
😂😂😂 Kwann unapenda watoweke mkuu? Acha tu waendelee kuishi mkuu, na wao ni viumbe.. wanastahili haki ya kuishi.Wacha tu watoweke mmmh!
Black mamba ni hatari kwa binadam tu, ila kuna baadhi ya viumbe mfano wale aina ya nguchiro huwa wanamtafuna black mamba vizuri, ila hili dubwasha linaweza kumtafuna huyo nguchiro na black mamba wake kwa pamoj na hakuna madhara yoyote linalalopata zaidi ya kushiba na kutafuta mahali pa kujipumzisha tu.Blank mamba ndio hatari ndani ya dakika umeshapotea
Kijana anazungumzia mjusi kafili huyo. He have no idea about this dubwasha hatari zaidi duniani.Naona umemchanganya na 'sorokoto' mzee.
Miaka zaidi ya 30 bila mtoto, hiyo lazima ilete mashaka ndani ya familia aisee.😅😅😅😅😅😂😂😂
Kikwetu kwetu mtu mzima 25+yrs kufa bila kuacha mtoto ni kama laana.
unazikwa na kusahauliwa, huna hata alama kama ulikuwepo
😂😂😂 mkuu hili dubwasha ulione hivi hivi pichani. Usimbe livamie kijiji, litauwa wanyama, mifugo na wanaofuga wote kwa pamoja.Akijitokeza kwa Hadzabe huku Lake Eyasi analiwa na sumu yake tena msosi fresh kabisa
😂😂😂 kwani hii kauli ya kia lake umeichukuliaje mkuu, mbona imekuchekesha sana?Eti kia lake 1😁😁
Aisee hiyo documentary ni nzuri sana mkuu 😂😂😂🤣🤣Kuna documentary Moja nilisoma,
Kwamba sehemu nzur na salama ya kukimbilia endapo zile movie hollywood za mazombie zitakuja kua kweli
Kua Ni comodo island,
Kisiwa wanakolatikana comodo dragons
Kwamba wao mizoga kama mazobi ndo sukari yao, mazombi yote yataliwa na Dunia itabaki salama
Hivyo hivyo wala hujakosea mkuu. Ubarikiwe sana kwa ufafanuzi wako.Huyu mnyama akihakikisha amekuchubua na meno yake, basi anakuacha na kusepa. Anajua tu muda si mrefu utapoteza fahamu au kufa kabisa then anakurudia kukumaliza kabisa.
Na anaweza kula windo lake likiwa hai kabisa (alive)