Kipengele cha 'DINI' ktk vitambulisho vya taifa



ponda, wewe, na wengine wote wenye akili za kipumbavu na ujinga woooote shenz type

ati unaleta ushabiki ili tu u-prov something

hhuhitaji sensa kujua una waumini wangapi



Ignorant bastard, big headed, Say whatever turns you on plastic girl ... u are opinion doesn't matter anyways !
 
Inasikitisha kuwa wakti watu wanapigia hesabu Uranium iliyoko kwenye mbuga za Selou, mafuta yaliyopo nchini mwetu, ardhi yenye rutuba kwa ajili ya kuwalisha watu wao, kuna watu wanaumizana na kujisumbua eti kujua nani wako wengi.

Wakimaliza hapa wataanza kuulizana kabila gani ni wengi... hii ni sura ya Utumwa ambao kwa hakika tusipopona tutaendelea kuwa watumwa wa watu walio makini na maisha yao. Mungu atusaidie.
 
Wajiulize wanaoa wanawake wawili +, wanazaa sana kwanini hawaongezeki?
 
Kwenye Id kuwa na dini inaweza kuwa suala kawaida kama sia lazima, kwani kitambulisho kitakuwa na personal profile.Na kisheria kinatakiwa kiwe na Id ambayo katik database patakuwa na maelezo ya mwanchi ambayo yataongezeka kadiri anavyo jikutanisha na taasisi za umma, kama polisi, TRA, etc, uhamiaji, etc
 
naamini ujinga unao wewe kwa kushindwa kujua ukweli wa nini ponda alisimamia kwa niaba ya waislam.kwa taarifa yako malengo ya waislam katika zoezi la sensa yamefanikiwa.
 
sisi waislam tuko wengi kwa sababu tunaoa wanawake zaidi ya mmoja hivyo hatujui nyota ya kijani tofauti na wenzetu wanooa mwanamke mmoja mpo hao
 
utakuwa unaumwa, sensa na vitambulisho wapi na wapi, mlijitangazia mko wengi cha ajabu mnapinga vikali kipengele hicho kwa sababu kingewaumbua sasa hivi mnaleta mada za kiabunuasi kuua soo. ninyi kweli mmeishiwa hamna lolote. tangazeni tena mko wengi kuliko wapagani ila kwa waislamu mmenoa.

mashindano ya nani wengi nayasikia yakitangazwa na akina ponda lakini sijapata kusikia watu wengine wakijifaharisha kwa wingi wao! Kwa mfano ikiwa waislamu ni wengi kuliko wakristo ndo kusema makanisa yageuzwe misikiti? mbona sielewielewi hapa?
 
Nchi yetu ikiwa na waislamu wengi itakosa sifa ya watalii kuja kwetu kwa sababu wanajitoa muhanga! Ktk kitabu cha Bible kinasema watakuwa wengi lakini watakuwa kama wanapunda! we hamshangai wanavyo uwana wenyewe shia sunn! Leo hii kwenye dunia hii ni heri nchi yenye ukristo kuna amani kuliko nchi yenye waislam wengi ni hatari Mungu hakika alituumba tofauti wengine roho mbayaaa! Wengine upendooooo!.
 
Kwa sababu wewe unakula nguruwe hutjali kama kuna waislaam wasio kula nguruwe. Sisi wengine ktk maandalizi ya chakula tunahesabu hata wale wasiokula nyama acha nguruwe na huwatayarishia mboga zao hatulazimishi mtu kula tunachokula..get the point!


kwa hiyo mimi nikija kwako napata kiti moto utanipatia? maana hesabu zako zenakwenda mbali zaidi ya kufikiria nafsi yako.
 
sisi waislam tuko wengi kwa sababu tunaoa wanawake zaidi ya mmoja hivyo hatujui nyota ya kijani tofauti na wenzetu wanooa mwanamke mmoja mpo hao
si mara zote kuzaa sana kunaleta effect ya mara moja.Kuna issues nyingi tuu zinapelekea uzazi wa fujo usimaanishe wingi wa hapohapo.
Na mojawapo ya mambo ya mambo yanaongoza ongezeko hilo ni haya hapa.

-Ulinganifu wa idadi ya watu.
Kwa walio wengi wana uwezekano wa kutoa watu wengi wenye uwezo wa kuzaa.

-Idadi ya wenye kuweza kuzaa(fertility) na wenye hiyo nia katika watu waliopo.Idadi ya watu wenye uwezo wa kuzaa na utayari wa kuzaa.Kama ni wengi basi wanahitaji kuzaa idadi ndogo tuu ya watu kulinganisha na wengine ili wabaki kuwa wengi au kuongezeka zaidi.mfano. Kundi A na Kundi B, kundi A=2B, kundi A(wamama) likizaa wastani wa watoto 3,wanakuwa wameingiza mara 6 ya watu wenye uwezo wa kuzaa wa kundi B, kundi B likizaa wastani wa watoto 6, wanakuwa wameongeza watoto sasa na kundi la kwanza.Yaani wamama 8 wa kundi A wakizaa watoto 3 kila mmoja, na akina mama 4 wa kundi B wakizaa 6 jumla ya kila mmoja ni 24.na hivyo kutobadili sana matokeo.Na tz makundi yote watu wanapenda kuzaa ila wanatofutiana idadi.


-Idadi ya wanaopona na kufikia kuwa watu wazima.
Vifo vya utotoni, ambavyo pia vinapunguza idadi na kasi ya ongezeko pia ni kigezo.Suala la vifo vya utoto, hili linaongozwa na huduma za afya sehemu husika, maumbile, lishe, genetics etc.

-Ulinganifu wa idadi ya Vifo katika makundi husika.Kundi gani linakufa zaidi kwa magonjwa kama ukimwi, sukari, na pressure, magonjwa ya kuridhi, vurugu , etc.Zote hizi si sawa kwa waislam na wakristu.Hapa bila kusahau magonjwa ya uzao wa ndugu wa karibu.Kwa wale wanaoingia kwa lengo la kuzaa wanakuwa katik risk ya kuingia kavukavu na hivyo kupata ukimwi ambao pia hupelekea wake wengine,ambao nao kam wanaiba nje kwa watu wa jamii yao basi hujikuta wakiongeza kasi ya kuuana sana.

-Pia tamaduni za makundi husika katika huo ulinganifu.
-Mahusiano ya uzazi kati ya hayo makundi.Kundi linalozaa na lingine kwa wingi na kuchukua uzao huo.

-Kasi ya kuingiza waumini wapya.Idadi ya wakristu wanaoingia kati uislam kama familia inaweza isiwe na madhara kama idadi ya waislam wanaoingia katik ukristu.Yaani familia ya kiislam kuigia ukristu itaingia ikiwa kubwa kuliko kinyume chake.Net effect inaweza ikawa na manufaa kwa wakristu.

-Pia utii/kutotii baadhi ya sheria za dini.Kuna wakristu wanaoishi kijadi au hata kuacha baadhi ya vipengele vya dini.Hawa wamezaa na wanawake kibao nje ya ndoa.Na hawa wanashindana hata na waislam kwa idadi.

Hii pia inaweza kubadilika au kuongezewa na waumini wanaoingia kama mmojammoja.Inategemea dii gani inaigiza na kuweza wabakisa wengi zaidi.

Mwisho.Ni kwamba hizo fators hapo juu na nyingine ambazo sijaziweka kwa pamoja zinaweza kuwa na net effect tofauti sana.Kwa hiyo msiamke haraka haraka kwa vile hawa wapiga domo ,wamekurupuka na upuuzi wao wakidhani ni fact.
 
Mimi naamini watu wenye mawazo na fikra za kuona mbali na wakti wote kuondokana na ile tarbia ya kuhisi jambo bali wanataka reality kila wakti kama Ponda kama watapatikana arobaini tu basi wa Tanganyika mtavuka huo umasikini mlionao. Kumbukeni waTz sio masikini wa mali bali wengi wenu ni masikini wa Akili.

Nia ya Ponda ni kuweka kipengele cha DINI katika dodosp lenu ili.
1. Kujua idadi ya waumini wa kila dini iliyopo Tanzania.
2. Kujua idadi ya dini walizonazo wananchi wa Tz.

Kwani mambo hayo kila siku yanabandikwa kwenye vivutio vyenu vyote vya watalii na hata wawekezaji kuja nchini kwenu.

Labda mjiulize katika dodoso lenu kuna hata idadi ya mifugo na suala la ilmu ilhali kuna wanataka kujua wanaojua kusoma na kuandika kimombo na kiswahili. Je mambo kama haya yana msingi gani ukilinganisha na kujua idadiya dini na waumini wake?

Ndio maana wengi tunasema wanaompinga Ponda ni wale wenye akili za ku copy na ku peste. Boingolala
Kwanini Ponda asiwe na hata na Nursery yake ya kuwaonyesha waislam kwa vitendo kuwa fikra zake zinatekelezeka?Yaani ahesabu waislam wa msikiti wake na majirani zao halafu atumie vyema hiyo misaada anayowezeshwa nayo?

Inawezekana Ponda yupo juu ktk vijiwe vya gahawa.na kila akilala huwa nawaza vitrick vyake vya kutokea kesho kijiweni.Ila hajapiga mahesabu vizuri kuwa hata waislam wakiwa wengi ni ngumu sana kulazimisha kura za maoni ili nchi iamue kama itangia katika sharia , au OIC, au Talibanism, kuna maeneo mengi san aya kuwatawanya waislam au hata kuwapotosha, achilia mbali wale walioonja matunda ya ukafiri, hawatakuwa tayari waone Talibalism haraka hivyo.
 
Mnatukela mno na hizo dini zenu imported zungumzia mambo ya kujenga nchi ambayo ni masikini ya kutupwa, hao wajanja walituletea mambo yakutuvuruga tu.
Angalia watu wanauana ovyo kisa eti wanatofautiana kiimani kinadhalia dini hizo zinaubiri upendo na amani lakini matendo ni kinyume na maubiri.
Huku zilikotokea dini hizo wametulia wanatuangalia wanatucheka na kutuchochea tumalizane wenyewe kwa wenyewe.
Heri yao walioamua kujitenga na propaganda za kigeni.
Ni ngumu kukataa dini kwa nchi hii halafu ukaota kupata huduma kam Elimu, Afya, etc. Imagine watu wangapi wanaweza ukataa Ukritu na yote yaliyokuja nao? Kutoke vijijini kuna watu kibao ambao hawawezi ingia english media wanasoma shule za awali za montesori, compassion, etc.Na wenye uwezo pia wanajikuta shule bora zina mikono ya hao watu.Kuna shule za mafunzo ya stadi za kazi kam ususi,ufumaji, kusindika vyakula, upishi , kilimo cha mbogamboga etc.

Katika familia yenu ni wangapi wanaweza kwepa vituo vya aya vya makanisa kwa asilimia 100%

Wapo wana filosofia walijaribu mtoa Yesu katik dini na kumfanya vilosopha, wakaja kwama,pale waliposhindwa muelewa katika mifano yake ya Uungu na mamlaka.Wakshindwa wamwite Kichaa au mwongo ili wakwepe kumpatia nafasi ya Kiroho.Wakajikuta kuwa kichaa na mwongo hawezi kuwa filosofa.Kwa hiyo wakati unatafuta dini za kienyeji basi ukumbuke unawakati mgumu wa kuzinyima za kigeni umuhimu wake.Na kuzipa basi huwezi kuzipa sawa.Mfano dini iliyojenga mifumo ya kijamiii inayofaidisha wote, na ile dini iliyojenga mifumo ya maangamizi kwa wengine na wafuasiw ake, dini zilizojenga mitazamo ya waumini wanaoalala kuwa wanonewa/kuchezewa faulu huku wao ndio tishio kwa uwepo wa wengine.Dini inayompandikia wassira hisia kuwa wanchezewa rafu,huku wao ndio rafu yenyewe.
 
kwa hiyo unataka kutuambia kuwa mtu akikuibia na wewe uende kumuibia??!!

Haya bwana basi ninyi waisilamu ni wengi! Mm sioni kuwa waislamu/wakristo mkiambiwa mko wengi effect yake ni nini? Kwa hiyo huo wingi ndo unakuondolea amani? mambo mengine hayana mashiko kabisa cjui watu mnatumia masaburi hiyo nayo ni topic ya kubishaniwa? Mm ningekuwa mkurugenzi wa TBC ningewambia watangazaji waimbe na siyo kutangaza tu kuwa waislamu ni wengi
 
Mleta Mada hajui sifa ya mjinga ni yule anaeleta Mada bila ya Kufanya utafiti na kujaza kebehi na kejeli kwa wanaojadiliwa badala ya dondoo (contents).Hakuna shrti lililowekwa humu JF kuwa ili uwe member lazima UANZISHE THREAD unaweza kuonekana even kwa kuchangia hoja za wenzio.

Take my 'Like'
 
Sioni ni kwa nini tunapiga kelele hizi na kugeuza mjadala kuwa malumbano ya kidini au ya wanadini.

Angalia hapa link http://www.ons.gov.uk/ons/guide-met...n-and-return/2011-census-questions/index.html

Questions included those about work, health, national identity, passports held, ethnic background, education, second homes, language, religion and marital status.

Ni usanii mwengine tu wa serikali lakini kipengele cha dini katika dodosi ya sensa si kipengele "nyeti" / au kisichofaa kuwepo. Maelezo ya serikali ya kubabaisha babaisha au kutaka kipengele cha dini kionekane kuwa ni tishio kwa uhai wa taifa ndio ambayo yatapelekea hisia ambazo sasa zinajengeka. (upendeleo,ukilaza, ujinga,sisi wengi, ninyi kidogo).
 
haya ndo matatizo ya kudandia hoja juu bila kuelewa undani wake...
ungetafuta kwanza hoja za msingi za hao watu za kugomea sensa ndio halafu ungekuja hapa na mawazo na mitizamo yako!!
 
...nasema huyo Ponda [ Issa Ponda ] ni 'kichaa'....
Kama ni kusema tu mwingine pia anaweza kusema sio kichaa,pia unaweza kuta anayesema 'fulani'
ni 'kichaa' ana matatizo makubwa kuliko yule anayemsema, yaani unaweza kuta ni 'zaidi ya kichaa'
 
Back
Top Bottom