Manyanza
JF-Expert Member
- Nov 4, 2010
- 9,543
- 14,479
Mkuu ukianza kumwangalia PJ hapa hautafika maana huyu jamaa mpaka Dr Ndodi alikuwa anamtetea na hili tatizo limeshatokea na linaendelea kutafuna pesa za watu maana mpaka leo raia wanatia timu Loliondo, na roho za watu zinayeyuka kama mishumaa,
Serikali ije na majibu juu ya hili jambo na kama iliteleza iombe msamaha.....
Serikali ije na majibu juu ya hili jambo na kama iliteleza iombe msamaha.....
we ndio unatoka nje ya mada, ishu ni ushahidi uletwe(rea btn the lines), na PJ alipromic atatuletea, ngoja tumsubirie!!
Watu wengi washasema hapa ndugu zao wamekufa lakini kwa wale waliodai ndugu zao wamepona hawajaleta ushahidic
wa mwanzo na baada ya kwenda samunge, ndo hapo sasa watu wanahoji!!