Mnamsiginia kunguni mdomoni?Potelea pote, uchawi haumpati msela Maja!😂😂😂😂Maja noma
Umevimbiwa kiporo Sasa asubuhi yote hii umekuja kujambajamba JF.Naona yale yale ya BABU wa LOLIONDO yamejirudia tena.BABU alitupiga kwa KIKOMBE na Sasa KIJANA MAJALIWA katupiga kwa KUFUNGUA MLANGO wa NDEGE kwa NJE.
Watanzania TUNAROGEKA kirahisi kabisa.View attachment 2417079View attachment 2417080View attachment 2417083
Kakuudhi kipi hapo?Umevimbiwa kiporo Sasa asubuhi yote hii umekuja kujambajamba JF.
Majaliwa akafanyika kuwa Simeon Petro Bar Jonah, akawavua watuWavuvi ni wakombozi, hata Yesu alitumia wavuvi kuukomboa ulimwengu.
Wanaomuonea gere ni wapotofu wa shukrani.Ukimsikiliza Majaliwa anaonekana ni kijana muadilifu halafu ni mzito katika kuongea.Ni bahati yake ile.Mambo ya wivu watu waache.Wivu ni wa shetani.ila kwenye hili la majaliwa wanaJF tumeonesha udhaifu mkubwa, kwanini kumuonea wivu kijana wa watu aliebahatika kupitia hili tukio? sasa kama hakuwepo pale mpaka akaumia na kuzimia hospital alifikaje au ndio kondakta wa ile ndege?.
hii ni tabia mbaya sana na ina akisi aina ya jamii tunayoishi nayo, husda wivu na chuki zisizo na msingi.Haya yote yanafanyika kwasababu wameona amefanikiwa.Wanaomuonea gere ni wapotofu wa shukrani.Ukimsikiliza Majaliwa anaonekana ni kijana muadilifu halafu ni mzito katika kuongea.Ni bahati yake ile.Mambo ya wivu watu waache.Wivu ni wa shetani.
Halafu,tu-assume,hakufungua mlango Ila ulijifungua.Sasa itakuwaje?Mama SSH afute kamisheni aliyompa Maja?Bahati ya mtu huja kwa njia hata za ajabuajabu.Watu waache roho mbaya!hii ni tabia mbaya sana na ina akisi aina ya jamii tunayoishi nayo, husda wivu na chuki zisizo na msingi.Haya yote yanafanyika kwasababu wameona amefanikiwa.
kabisa mkuu, okay sawa tuassume hakufungua mlango je kule tu kuwa sehemu ya first responders na kule tu kuwa karibu na sehemu ya uokoaji haitoshi kumpa zawadi kwa wema wake na ujasiri?.Halafu,tu-assume,hakufungua mlango Ila ulijifungua.Sasa itakuwaje?Mama SSH afute kamisheni aliyompa Maja?Bahati ya mtu huja kwa njia hata za ajabuajabu.Watu waache roho mbaya!
hakuna kulogwa mkuu tumeonesha wivu na roho mbaya, okay hakufungua mlango sasa ndio afukuzwe kazi na zawadi aliyopewa apokonywe sio?.Ukisoma maoni utaamini Kweli tunarogeka kirahisi
Uchoyo na ubinafsi unaisumbua sehemu kubwa(siyo jamii yote)ya jamii yetu.Ingawa ni hulka ya binadamu kuwa mdadisi Ila tunapitiliza na kuonekana wachawi.kabisa mkuu, okay sawa tuassume hakufungua mlango je kule tu kuwa sehemu ya first responders na kule tu kuwa karibu na sehemu ya uokoaji haitoshi kumpa zawadi kwa wema wake na ujasiri?.
Ila itavuma baadae itatulia tumtakie majaliwa kila la kheri kwenye mafanikio yake, kwa wivu huu nadhani kuna watu humu wanatamani wangekuwa kwenye ile ajali ili walipwe na bima.Uchoyo na ubinafsi unaisumbua sehemu kubwa(siyo jamii yote)ya jamii yetu.Ingawa ni hulka ya binadamu kuwa mdadisi Ila tunapitiliza na kuonekana wachawi.