Bujibuji Simba Nyamaume
JF-Expert Member
- Feb 4, 2009
- 74,894
- 155,914
Nchi hii inaendeshwa na rimoti na watu fulani.
Kila mara inapotokea issue yenye maslahi mapana kwa raia, na washika remote hawataki tuijue au tuijadili basi kwa gharama yoyote ile watatuletea tukio la kutupoteza maboya.
Kipindi cha kasha ya Epa akaibuliwa Babu wa Loliondo, akapewa promo hadi nje ya nchi. Viongozi wazitowazito wakamiminika Loliondo kupiga kikombe.
Kikombe cha ajabu chenye kutibu magonjwa yote. Una unene uliopitiliza, piga kikombe. Una utapiamlo weee piga kikombe.
Nchi hii haishiwi maajabu
Kila mara inapotokea issue yenye maslahi mapana kwa raia, na washika remote hawataki tuijue au tuijadili basi kwa gharama yoyote ile watatuletea tukio la kutupoteza maboya.
Kipindi cha kasha ya Epa akaibuliwa Babu wa Loliondo, akapewa promo hadi nje ya nchi. Viongozi wazitowazito wakamiminika Loliondo kupiga kikombe.
Kikombe cha ajabu chenye kutibu magonjwa yote. Una unene uliopitiliza, piga kikombe. Una utapiamlo weee piga kikombe.
Nchi hii haishiwi maajabu