Bahati Risiki
JF-Expert Member
- Jun 20, 2012
- 530
- 93
Wewe unampa mfu miaka kumi na tano ya kuishi? Hiyo harufu ni nani ataivumulia. CCM is dead full stop!
Kadri siku zinavykwenda naona dalili zote za CCM kuanguka. Hakuna atakayeweza kuiokoa chama hiki kongwe. Naona anguko hilo litatokea ndani ya miaka kumi na tano (15). Watakaokingusha CCM ni wana CCM wenyewe, si vyama vya upinzani.
Zifuatazo ni dalili ya kuanguka kwa CCM
1. Upendo kati ya wanachama umekwisha, ni ugomvi usiokwisha ( Sitta camp Vs Rostam camp)
2. Fedha ni kipaumbele siyo Sera au hoja.
3. Wasemaji wa chama ni wapayukaji ( makamba, Hiza Tambwe, Sofia simba)
4. Wazee wenye busara wamesusa chama ( Warioba, Salim, Butiku, Sumaye)
5. Familia ya viongozi wamekiteka chama ( Makamba's, JK's, )
6. Kampeni zimebadilika kuwa concert ( wanamuziki kibao)
7. Kununua wapinzani
8. Kukataa midahalo ( mchakato majimboni- TBC)
9. Ahadi nyingi wakati huu wakati za mwaka 2005 hazijatekelezwa ( Mikopo ya wanafunzi maisha bora kwa kila mtz n.k)
10. Chama kujadili issue binafsi zaidi badala ya maslahi ya wananchi.
CCM kwa sasa ina uwoga sana kuliko cha chama chochote hapa nchini. Wanaelewa wanakoelekea.
CCm ilisha anguka muda mrefu uliopita!!
bado kiduchu, ngoja 2014.CCm ilisha anguka muda mrefu uliopita!!
Busara alikuwa nayo Kambarage tu ambaye mambo yalipokuwa yakienda vibaya alikuwa anawashukia live. Sio hawa waliokaa kimya nchi ikiuzwa kwa familia ya Kikwete.