DR Mambo Jambo
JF-Expert Member
- May 10, 2012
- 8,598
- 17,735
Hili swali hata mimi naomba kuuliza japo nimelikuta mahali.
Naomba kuuliza swali? Kuwa chama tawala kunatokana na kushikilia mhilili wa Serikali, mhimili wa Bunge au vyote viwili?
Mfano;
Chama cha Mapinduzi CCM kikishinda kura za urais na ndio kikaunda serikali..
ila Bungeni CHADEMA ndio ikawa na idadi kubwa zaidi ya wabunge tuchukulie Mfano Chadema ikawa na Wabunge 198 ACT 62 na vyama vingine 20 na Chama cha mapinduzi wakawa ina idadi ya wabunge 110..
kwa maana hiyo Chama cha CCM kitaunda kambi rasmi ya upinzani bungeni?
Au CHADEMA?
Hapo chama tawala ni Chama CHA MAPINDUZI au CHADEMA au CHADEMA na CCM kwa pamoja?
Cred..Thomas Kibwana..
Naomba kuuliza swali? Kuwa chama tawala kunatokana na kushikilia mhilili wa Serikali, mhimili wa Bunge au vyote viwili?
Mfano;
Chama cha Mapinduzi CCM kikishinda kura za urais na ndio kikaunda serikali..
ila Bungeni CHADEMA ndio ikawa na idadi kubwa zaidi ya wabunge tuchukulie Mfano Chadema ikawa na Wabunge 198 ACT 62 na vyama vingine 20 na Chama cha mapinduzi wakawa ina idadi ya wabunge 110..
kwa maana hiyo Chama cha CCM kitaunda kambi rasmi ya upinzani bungeni?
Au CHADEMA?
Hapo chama tawala ni Chama CHA MAPINDUZI au CHADEMA au CHADEMA na CCM kwa pamoja?
Cred..Thomas Kibwana..