Kifo cha CCM kimetimia

Raha ya ndoto,iote usiku,ndoto za mchana utaambulia maruhani na maluweluwe.

Tatizo lene PolCCM mna akili za kupe. Ng'ombe anachinjwa, kupe hana habari, ng'ombe anachunwa, kupe hana habari, ngozi inawambwa, kupe hana habari.... ngozi ikianza kukauka ndo anastuka na inakuwa tooooo lateeee!
 
mhhhheeee. Tusubiri tuone, JK kasema hayuko tayari kukabidhi nchi kwa yeyote isipokuwa ccm, hapo napo vipi? anajua anajeshi la serikali lisilo la wananchi- mtakula mkong'oto nyie mpakaaaaaa- labda tuwe wakomavu kama Misri na Libya, tupo tayari?
 
Nawe, usiwe mbaguzi mh.Mizengo Pinda wa kupindisha issue, ambaye pia ni mwongo (kwa mujibu wa G.Lema) mbona hayumo kwenye orodha yako.

Pia, usisahau polCCM kuanzia igp hadi akina kamhanda wote wa mikoa na wilaya.

Pinda ana ulimi wenye sumu, unaweza mchukia sasa, ukimpa nafasi ya kujieleza anakuwa rafiki yako. kumbuka, Ni Pinda huyuhuyu aliyemaliza mgogoro wa Mtwara juzi, laikini pia, serikali humtumia mahala pale ambapo wamekwisha angukia pua na mara nyingi anafanikiwa.
 
Nawe, usiwe mbaguzi mh.Mizengo Pinda wa kupindisha issue, ambaye pia ni mwongo (kwa mujibu wa G.Lema) mbona hayumo kwenye orodha yako.

Pia, usisahau polCCM kuanzia igp hadi akina kamhanda wote wa mikoa na wilaya.

Hivi yule DCI bado anapumua?
 
Pinda ana ulimi wenye sumu, unaweza mchukia sasa, ukimpa nafasi ya kujieleza anakuwa rafiki yako. kumbuka, Ni Pinda huyuhuyu aliyemaliza mgogoro wa Mtwara juzi, laikini pia, serikali humtumia mahala pale ambapo wamekwisha angukia pua na mara nyingi anafanikiwa.

Ni Waziri mkuu dhaifu kuliko wote ambao Tanzania imepata kuwa nao...
 
Wana bodi,
Katika kila namna, kwa mtu yeyote anayeangalia mambo kwa kina atakubaliana na mimi kuwa kuna anguko kuu la CCM linakuja. Naweka majina ya wanaoratibu anguko hilo na majukumu yao katika kuhakikisha kuwa CCM inapotea kwenye ulimwengu wa siasa.


  1. JK - Akiwa Mwenyeketi wa CCM, ameshindwa kuwaondoa mafisadi kwenye chama (mapacha wawili waliobaki), ameshindwa kurudisha nidhamu ya chama (angalia matusi ya Nchemba na Kigwangwala), ameshindwa kusimamia utendaji mzuri kwa wabunge wa Chama chake (angalia wabunge wa CCM na Spika wao) na mwisho ameshindwa kusimamia utendaji wa mawaziri wa serikali ya chama chake.
  2. Phillip Mangula - Ni mzee hana mawazo mapya. Hata hivyo, alitoswa na JK hapo mwanzo kwa hiyo ni rahisi kuwahujumu.
  3. Kinana - Hana mawazo mapya na anajishughulisha na biashara haramu ya pembe za ndovu.
  4. Mwigulu Nchemba - Hana maono wala busara za uongozi. Kazi yake ni kutoa matusi kwa wapinzani badala ya kutoa hoja za kuelezea mazuri ya chama ili kukirudishia mvuto. Kwa akili yake finyu hajui kuwa anazidi kukimaliza chama. Amegeuka kuwa mwana propaganda za kizamani kazi ambayo ingefanywa na mtu mwingine (zamani Tambwe Hiza).
  5. Nape Nnauye - Ni mropokaji. Hajui kujenga hoja na sio mbunifu. hali hii imekuwa ikimfanya achukiwe na pia amekuwa anakifanya chama kikose kabisa mvuto kwa sababu hakuna jipya analofanya zaidi ya propaganda zilizopitwa na wakati na matusi kwa Dr. Slaa.
  6. Makinda na Ndugai - Wameshindwa kabisa kuendesha mhimili mwingine wa nchi yetu, yaani bunge. Unazi wanaouonyesha bungeni unazidi kuididimiza CCM kwa sababu sasa hivi wananchi wanaona na wameamka wanaweza kuchagua mchele ni upi na pumba ni zipi. Kwa kifupi hawa wanaizika CCM kwa kasi ya ajabu kuliko wengine.

Copy to: Ritz, Wingu & Zomba.
Mimi nawapenda JK, Mangula, Kinana, Makamba na wenzake wote wanasaidia Kuiua CCM. Kumbuka kauli za Makamba wakati ule zilileta mgongano ndani ya CCM na hata alipo ondolewa aliwambia kuwa anakwenda kuwandalia makao!!!
Sasa inaonyesha wewe hupendi CCM ife kwa sababu either ni mshauli wa siri ama unanufaika nayo!!
Nakushauri uwapende watu wote wanaoiua CCM akiwemo JK ili upinzani ushike madaraka!!!
 
Badala ya kuandika kuelewesha watanzania juu ya dhana iliyopo kwa Chama chako ni cha kidini(kikatoliki) na kikanda na ukabila(ukaskazini na uchaga),ambapo hadi leo viongozi wa Chadema wameshindwa kukanusha tuhuma hizi wewe unapoteza muda kwa kuleta ngonjera zisizo eleweka juu ya CCM! Mpuuuuuzi hana fikra siku zote!
 
CCM isipokufa 2015 basi hakitakufa tena kabisa.
LAZIMA KIFE 2015. Kuanzia November 1, 2016 CHAMA CHA MAJAMBAZI KITABAKI HISTORIA NA KUNA WATU WENGI SANA WATAKAOHAMA NCHI HII AKIWEMO WASIRA, LOWASSA, NCHEMBA, KINANA, NAPE, MKAPA na wengine wengi tu.
 
Hata mpumbavu shibuda, alishalonga kuwa ccm itafia mikononi mwa kikwete na kikwete atahakikisha ccm inakufa na kuizika. R.i.p ccm
 
Mnaongelea kuhusu hao Mawakala wa kifo cha ccm?
JK hakika ameisogeza pakubwa sana serikali yake kuelekea kaburini...tunampongeza.

Majuzi nikiwa ofisini kwangu nikaambiwa kuna ugeni. Ghafka nashangaa wameingia watu na makamera makubwa, wanajieleza kuwa wamefika ili kuja kuelezwa mafanikio yoyote ya awamu ya 4 yaliyotokea katika eneo la ofisi yangu...hakyanani nilibadilika sura hadi waligundua.

Hakika ilinichukua kama dakika 15 kupata muafaka na uongozi wa kichwa changu ili kuwapa wanachotaka...!
Huku ndiyo kukosa uhalali alikokusema Nyerere, ambapo sasa serikali ya J K inatumia mabavu kupata uhalali.
My hairs!
 
Badala ya kuandika kuelewesha watanzania juu ya dhana iliyopo kwa Chama chako ni cha kidini(kikatoliki) na kikanda na ukabila(ukaskazini na uchaga),ambapo hadi leo viongozi wa Chadema wameshindwa kukanusha tuhuma hizi wewe unapoteza muda kwa kuleta ngonjera zisizo eleweka juu ya CCM! Mpuuuuuzi hana fikra siku zote!
ebu tufafanulie wewe huo ukanda, ukabila na udini, ina maana zitto ni mkristo(rc) na mchaga?. Je said arfi?. Kweli watz kama wewe ni mburula wa uelewa!
 
CCM isipokufa 2015 basi hakitakufa tena kabisa.
LAZIMA KIFE 2015. Kuanzia November 1, 2016 CHAMA CHA MAJAMBAZI KITABAKI HISTORIA NA KUNA WATU WENGI SANA WATAKAOHAMA NCHI HII AKIWEMO WASIRA, LOWASSA, NCHEMBA, KINANA, NAPE, MKAPA na wengine wengi tu.
ebu nifafanulie maana ya kufa kwa chama mkuu, mimi nadhani ccm mwaka 2015 kitakuwa cha upinzani, na si vinginevyo!
 
Pinda ana ulimi wenye sumu, unaweza mchukia sasa, ukimpa nafasi ya kujieleza anakuwa rafiki yako. kumbuka, Ni Pinda huyuhuyu aliyemaliza mgogoro wa Mtwara juzi, laikini pia, serikali humtumia mahala pale ambapo wamekwisha angukia pua na mara nyingi anafanikiwa.
aliyekudanganya mgogoro wa mtwara umekwisha ni nani?
amesema huwenda walioharibiwa mali zao ktk mgogoro wa gesi juzi wakafidiwa

sasa tandahimba wanasubiri hao walioahidiwa kulipwa, walipwe ili nao wapachimbe,
unakumbuka nao hadi leo hawajafidiwa baada ya maduka, nyumba na magari yao kuchomwa moto na polisi wa ccm? ktk vurugu za mwaka jana
sasa pinda kaenda kumdanganya bosi wake kwamba mgogoro umekwisha.
RIP magamba
 
27 Reactions
Reply
Back
Top Bottom