Nna swali huku.. Nifanyaje nkitaka sex tu uume unasinyaaa???
Wanaptkna wapii
Post za namna hii huwa zinanipa simanzi kweli
Kwann zkupe smanz
Hahaha ni shda
Vipi unadeleaje...Kunatatizo linanisumbua sana, tatizo lenyewe ni kwamba ninapokuwa na mwanamke, kabla ya kufanya lile tendo mashine huwa inasimama sana lakini pale nikitaka ku Do tu mashine inalala,hii inasababishwa na nini?
Nimeshaulizia kwa madokta lakini wanasema ni phsychological problems, kutokuwa na hisia, lakini mpaka sasa hali hii inaendelea tuu, nakosa raha kabisa naomba mnisaidie juu ya hili, sababu haikuanza muda mrefu lakini imeshajitokeza sana.
Asubuhi jogoo kama kawaida anawika,tatizo nikwamba nikitaka ku doo tu,analala!!
Kuna masuala mengi hapo inatakiwa uyaeleze,
Je , hali hiyo hutokea sababu ume vaa condom, kuna wengi wakiwa wanataka ku do wakiona condom tuu kitu kina lala.
Je , huna haliyetote ya ki bisexual, labda una matamanio zaidi kwa male kiasi cha kushindwa ukiwa na demu.