Nna swali huku.. Nifanyaje nkitaka sex tu uume unasinyaaa???
Erecto ni dawa ya nguvu za kiume ukianza kupiga mchezo ni zaidi masaa nane ngoma itakua chuma tu inauzwa elf mbili tu phamacy
Nna swali huku.. Nifanyaje nkitaka sex tu uume unasinyaaa???
Ushauri wa bure tu wacha kabisa tabia hizi za kuandika manx...sijui xxx...Mwanaume aliekamilika hawezi kuwa na code za kijinga hivi..ni muendelezo wa tiba ya tatizo lako uko na matatizo mengi sana wewe..Ila kwa manx wengne mambo ynakuwaga poa... Xx sjui uume wg wachagua
Hili tatizo naona linazidi kuwa sugu sasa kijana wa 22yrs anatafuta booster? Na jana kuna mwingine alisema amekula hizo mavitu halafu demu hakutokea...
fanya yafuatayo
1.Acha kupiga punyeto
2.acha kula chipsi na kula vyakula asilia
3. acha kutumia viroba au makonyagi na masigara yako hayo
4.Tafuta demu mzuri na msafi wa mwili hadi nguo zake
5.ukifanya hayo na ukishindwa nitafute kwa email hii johnjerryson2015@gmail.com
N.B
Takupa huduma bure ukipona ndiyo unanilipa
Ila umeongeza chumvi mno by theway kuna pia manix cupid antraviron na k-y
K-Y? Pia ipo Kwenye kundi Hilo eeh?
Kijana concentrate kwenye masomo kwanza, haya mambo yapo tu utayajua baadae!!
Ila umeongeza chumvi mno by theway kuna pia manix cupid antraviron na k-y
Chatu si unaeza kula ukakata moto