Mmhhh hyo iko juu sana mkuu hyo ni ya m2 ukiwa usha settleKama mkwanja haujatulia legacy ni nzuri nshawah push iko vyema ,Mark x Ile ya 2015 ndio machine wanauza million35
Yaa hlo nalo nimeliona mkuu ile ki2 ni ngumuGari ni Subaru Legacy, hata body yake ni ngumu tofauti na mark x iko na body laini kama nyanya
Nissan fuga siipendi ilivyoMkuu tafuta Nissan FUGA, habari nyingine hiyo hakuna cha Mark X wala Subaru
Yeah v6 ni kwa mkoa ila apa dsm haifaiV6 mf ukijaza full tank unatembea dar to arusha kama mwendo wako ni speed 100km/hr isizidi 120km/hr
X zimejaa mjini broFanya kununua Mark x sababu zinauzika ukipush walau mwaka unaitoa unachukua ndinga ingne....magari mazuri ni bei kubwa Ila kwa kuanzia tu chukua x sababu Toyota zinauzika kirahisi ata ukiichoka anytime inatoka
Ila X inanitamanisha muundo wake ulivyoFanya kununua Mark x sababu zinauzika ukipush walau mwaka unaitoa unachukua ndinga ingne....magari mazuri ni bei kubwa Ila kwa kuanzia tu chukua x sababu Toyota zinauzika kirahisi ata ukiichoka anytime inatoka
Nissan fuga siipendi ilivyo
Ina muonekano ambao ni rahisi kuisha fation
Yeah naskia fuga iko very confortable than all carsNimeshakua na X nikaachana nayo, nyepesi sana!
NotedFanya kununua Mark x sababu zinauzika ukipush walau mwaka unaitoa unachukua ndinga ingne....magari mazuri ni bei kubwa Ila kwa kuanzia tu chukua x sababu Toyota zinauzika kirahisi ata ukiichoka anytime inatoka
Speed ndo nnSpeed
Naweza kuthibitisha kwa Tanzania ukiwa na gari la 260kph, hakuna wa kukusumbua, nikitambua kuwa gari kama Benz zipo za 300 na kuendelea, ila hatuna barabara hizo.Usichokijua ni kama giza nene. speed 240-260kph hakuna wa kukusumbua? Sababu ya kuzoea kuendesha vigari vya Japan. Uliza uambiwe.
Nimewahi kuendesha Mercedes Benz yenye 300kph. Ndio maana nilikukatalia, ingawaje sikufika hata 220. Niliishia 205Naweza kuthibitisha kwa Tanzania ukiwa na gari la 260kph, hakuna wa kukusumbua, nikitambua kuwa gari kama Benz zipo za 300 na kuendelea, ila hatuna barabara hizo.