Subaru ndiyo habari ya mjini. Iko comfortable, speed 240-260 hakuna yeyote anaweza kukusumbua barabarani.Subaru b4 haili mafuta kivile
Hata Mark X nayo iko poa. Ila kubadilisha ladha nakushauri chukua Legacy mkuu, gari la mashindano hilo
Subaru ndiyo habari ya mjini. Iko comfortable, speed 240-260 hakuna yeyote anaweza kukusumbua barabarani.Subaru b4 haili mafuta kivile
Kwenye speedometer wameweka speed 180 mwishoSubaru ndiyo habari ya mjini. Iko comfortable, speed 240-260 hakuna yeyote anaweza kukusumbua barabarani.
Hata Mark X nayo iko poa. Ila kubadilisha ladha nakushauri chukua Legacy mkuu, gari la mashindano hilo
Isiyo na Turbo utaijuaje?kweli tafuta isiyo na turbo, autajutia pesa yako
Basi itakua nimechanganya na mnyama mmoja ameandikwa WRX.Huyo ni Subaru hatari, speed yake hatari tupu. Huwez kuonewa. Analo jamaa yangu mlio mzito kama wa Simba. Ila lile naamini litakua na undugu na Mafuta kwa vyovyoteKwenye speedometer wameweka speed 180 mwisho
Inafikaje uko mkuu??(240 au260)
HahahahahaBasi itakua nimechanganya na mnyama mmoja ameandikwa WRX.Huyo ni Subaru hatari, speed yake hatari tupu. Huwez kuonewa. Analo jamaa yangu mlio mzito kama wa Simba. Ila lile naamini litakua na undugu na Mafuta kwa vyovyote
Yenye tundu ina turboIsiyo na Turbo utaijuaje?
Napenda sana Subaru. Nmeshaendesha hizi gari za Toyota zimenichosha. Mimi nataka Subaru Forester ya 2006 au 2007-2008.Ila naona zinaTurbo, sasa sijajua utazijuaje, ingawa inaonyesha zile zenye uwaz kwenye bonet ndiyo Turbo.
Ni umaskini tu lakini gari yenye turbo inapanda mlima kitonga kama mteremo vile.
kwa mfano kwa foresta vito x20 na xt. xt ni turbo na x20 ni non turbo. alafu utaona tungu mbele ya bonetIsiyo na Turbo utaijuaje?
Napenda sana Subaru. Nmeshaendesha hizi gari za Toyota zimenichosha. Mimi nataka Subaru Forester ya 2006 au 2007-2008.Ila naona zinaTurbo, sasa sijajua utazijuaje, ingawa inaonyesha zile zenye uwaz kwenye bonet ndiyo Turbo.
Ni umaskini tu lakini gari yenye turbo inapanda mlima kitonga kama mteremo vile.
Mkuu, sijaelewa hiyo xt na vito zina utofauti gani? Hayo majina yapo kwenye Engine au wapi? Maana naona tu Engine CC 1990 (20J)kwa mfano kwa foresta vito x20 na xt. xt ni turbo na x20 ni non turbo. alafu utaona tungu mbele ya bonet
Ok kwa hiyo ukiona x20 hiyo haina turbo, kama nimeelewa. Naona kule nyuma kuna neno xt, lakini x20 sijawahi kulionakwa mfano kwa foresta vito x20 na xt. xt ni turbo na x20 ni non turbo. alafu utaona tungu mbele ya bonet
Ok kwa hiyo ukiona x20 hiyo haina turbo, kama nimeelewa. Naona kule nyuma kuna neno xt, lakini x20 sijawahi kulionakwa mfano kwa foresta vito x20 na xt. xt ni turbo na x20 ni non turbo. alafu utaona tungu mbele ya bonet
Barbara zetu ndy zinaharibu hayo magari!watu wamezowea wakitaka kununua gari ilo kuwa sio toyota waulize spare tatizo sio spare maana hununui gari mbovu ila toyota ni gari mbovu ndio maana spare nyingi kila mara ina haribika kwa kibiashara mwenye duka ndio ataweka spare za toyota kwa wingi anajua ndio zinazo nunuliwa sana hizo gari kabila nyengine zinakuwa imara na pia sifikirii kama kuna company ya magari inayo kubali kutengeneza magaari mabovu ili wale hasara na wasiingie kwenye ushindani wa biaashara
Hyo c bei kubwa mkuu mixer spare na maintainance yake ni ghali sanaChukua bmw 5series kwa ladha zote unazihitaji kwa sedan cars. ...dashboard 260km/hr iko very comfortable
Hyo juu sana mkuu na mafta inakunywa kama kichaaMill 26 apo kila kitu umeshalipia
Subaru ndiyo habari ya mjini. Iko comfortable, speed 240-260 hakuna yeyote anaweza kukusumbua barabarani.
Hata Mark X nayo iko poa. Ila kubadilisha ladha nakushauri chukua Legacy mkuu, gari la mashindano hilo