Friedrich Nietzsche
JF-Expert Member
- Sep 22, 2022
- 1,145
- 1,912
Mnaomiliki hivi vyombo vya moto au madereva au kama una experience Naomba ushauri
Kati ya guta na bajaji ipi
-Inarudisha hela mapema
-Inauhakika wa hela kwa boss
-Ikitokea dharula inauzika
-mzunguko wake hausumbui??
Nimechukua mkopo wenye riba ya 10% lengo ninunulie Guta.Atleast hiyo nimepigiwa story na dereva mmoja anayaendesha anasema ni biashara nzuri.
Leo nimekutana na mwenye bajaji ananiambia nisije jichanganya. sasa naona kila mtu anavutia kwake.
Sasa naomba ushauri kwa wamiliki au wenye utaalamu wa hivi vyombo vya moto.
Ipi nzuri kwa biashara na kurudisha hela mapema
Kati ya guta na bajaji ipi
-Inarudisha hela mapema
-Inauhakika wa hela kwa boss
-Ikitokea dharula inauzika
-mzunguko wake hausumbui??
Nimechukua mkopo wenye riba ya 10% lengo ninunulie Guta.Atleast hiyo nimepigiwa story na dereva mmoja anayaendesha anasema ni biashara nzuri.
Leo nimekutana na mwenye bajaji ananiambia nisije jichanganya. sasa naona kila mtu anavutia kwake.
Sasa naomba ushauri kwa wamiliki au wenye utaalamu wa hivi vyombo vya moto.
Ipi nzuri kwa biashara na kurudisha hela mapema