ushuru wake kias ganiSijuwi budget yako ikoje, lakini I'd go for a BMW 5 series, any day! Usisahau kukata comprehensive.
Inategemea na mwaka mkuu. Ya 2005 inafika 11,385,893.02 (Full budget ya kodi na ushuru, bila kujumuisha Bima tu). Kwa hiyo jumlisha na CIF yako sasa kutegemea ulivoinunua.ushuru wake kias gani
Hii ndo mashine.Sijuwi budget yako ikoje, lakini I'd go for a BMW 5 series, any day! Usisahau kukata comprehensive.
Duh! Hyo mashineeeHii ndo mashine.
Duh! Hyo mashineee
Bei gan hyo
Sijuwi budget yako ikoje, lakini I'd go for a BMW 5 series, any day! Usisahau kukata comprehensive.
Inategemea na mwaka mkuu. Ya 2005 inafika 11,385,893.02 (Full budget ya kodi na ushuru, bila kujumuisha Bima tu). Kwa hiyo jumlisha na CIF yako sasa kutegemea ulivoinunua.
Sijuwi budget yako ikoje, lakini I'd go for a BMW 5 series, any day! Usisahau kukata comprehensive.
eti mambo ya ajabuAcha kufanisha Subaru na gari za ajabu.
uzuri upi? 5 series za kuanzia Dec 2003 ukiilinganisha na ya 2010 huwezi kuitofautisha kwa macho!BMW series, matoleo mazuri ni kuanzia 2008 mwishoni
ni kweli mkuu, laiti wangetumia enterior kama ya 7 series kwenye 3 series ingependeza sana!Mkuu hapo umenisuuza Sana na huyo mnyama bmw
Uwezo sina lakini Bima naikubali ingawa wananikera sana Na interior design
The real thing the real beast acha kabisaSijuwi budget yako ikoje, lakini I'd go for a BMW 5 series, any day! Usisahau kukata comprehensive.
Asanteni wakuu
Nimechukua legacy b4
mark x speed 180 shaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa!!!!!!!!!!!!!
Year mark x ni luxirius ila subaru ni sporty xo handling na performance ni zaidi ya mark xKwa upande wangu mark X ni zaidi..... Kuanzia comfortability, consumption of fuel, V-engine, ni auto na manual yenye gear 6 na ya 7 reverse, spea zake sio maumivu sana, nzito 1.5 ton,