Mackanackyyy
JF-Expert Member
- Mar 26, 2019
- 2,338
- 5,263
Nafikiri Mama Samia anapaswa kuwaondoa hawa kutoka Baraza la Mawaziri na asitishe pia kazi walizoelekezwa na Hayati Magufuli kuzifanya.
Tunafahamu msukumo wa kutaka Sheria ziandikwe Kiswahili ni kwa sababu Lugha ya Kiingereza ilikuwa ni kama Mama Mkwe kwa Magufuli, na hivyo pengine ilikuwa ikimpa stress za kutosha kuelewa Sheria mbalimbali, naye tunafahamu ni mtu aliyetaka kupambana na kila kundi.
Pia tunafahamu alitaka Mtaala wa Somo la Historia uandikwe upya bila kutaja sababu za msingi au kubainisha mapungufu yaliyopo kwenye Mtaala wa sasa; na kimsingi ni mradi usiyo na mantiki yoyote Ile kwa sababu Kuna somo la Civics/Uraia ambalo linafundisha mambo mengi tu.
Kwa hiyo nirudi kwenye swali langu, hawa mabwana waendelee na kazi zao hizo? Mawazo yangu wakome, na wasiwepo pia kwenye Baraza la Mawaziri la Mama Samia, Fyekerea mbari (hiiiiiii).
Tunafahamu msukumo wa kutaka Sheria ziandikwe Kiswahili ni kwa sababu Lugha ya Kiingereza ilikuwa ni kama Mama Mkwe kwa Magufuli, na hivyo pengine ilikuwa ikimpa stress za kutosha kuelewa Sheria mbalimbali, naye tunafahamu ni mtu aliyetaka kupambana na kila kundi.
Pia tunafahamu alitaka Mtaala wa Somo la Historia uandikwe upya bila kutaja sababu za msingi au kubainisha mapungufu yaliyopo kwenye Mtaala wa sasa; na kimsingi ni mradi usiyo na mantiki yoyote Ile kwa sababu Kuna somo la Civics/Uraia ambalo linafundisha mambo mengi tu.
Kwa hiyo nirudi kwenye swali langu, hawa mabwana waendelee na kazi zao hizo? Mawazo yangu wakome, na wasiwepo pia kwenye Baraza la Mawaziri la Mama Samia, Fyekerea mbari (hiiiiiii).