Mwanajamii
JF-Expert Member
- Mar 5, 2008
- 7,063
- 68
Wewe huna kazi ya kufanya na umeishiwa mawazo/fikra,umeamua kupoteza mda wako apa ili uonekane nawe umepost...kama huna la kuongea kaa kimya,ni busara pia..thread yako ni uchochezi usio na maana.
PascoMzee Mwanakijiji, kumbe siku ukikosa cha kuandika, huwa unaanzisha uchokozi?.
Kuna siasa za kujifunza na siasa za kuzaliwa, yaani kwenye damu ya kisiasa, hivyo kama siasa iko kwenye damu, atakuwa tuu bila kujifunza popote.
Kwani hawa wafuatao walijifunza wapi?.na wengine wote waliofuatiwa na watoto wao, walihitaji uzoefu gani?.
- Laurent Kabila na Joseph Kabila?.
- Abedi Karume na Amani Karume?, Ali Karume anafuata!.
- Ali Hassan Mwinyi na Hussein Mwinyi?
- Jomo Kenyetta na Uhuru Kenyatta?.
- George Bush Sn na George Bush Jnr?
- Fidel Castro na Raul Castro?.
- Fredinand Marcos na Imelda Marcos?.
- Great Leader, Kim Il Sung na Dear Leader, Kim Jong Hill?.
- Marekani ukoo wa Kennedy
- India ukoo wa Indira Gadhi, kuanzia kwa Mahatma akaja Indira, akaja Sunjay hatimaye Sonia na wote wameondokea mlango ule ule!.
JF tupunguze uchokozi wa kuisakama first family!.
sisi wote hapa JF tuna akili sio peke yako una agenda umeificha halafu hautaki kuwa muwazi hovyooooooooooooooooooooo na wewe siku hizi unatumika kuibomoa JF
personally napendekeza 2015 agombee ubungo kwa tiketi ya CCM ili ajionee vijana tunavyompenda tutampa kura za ushindi wa kishindoRidhiwani ukiwa kijana wa kitanzania Msomi wa LLB-UDSM tunajitokeza kukuombea uteuzi wa ujumbe wa LOAN BOARD (HESLB) ili usaidie nyongeza ya bajeti ya mikopo na pia uwe kiongozi wa presidential Guard maana sisi wahitimu wenzio UDSM tunaamini unaweza kuisaidia nchi kwa kuwa hupendi kujikweza na uko kawaida sana tangu ukiwa UDSM, na uteuzi huu utakupa uzoefu wa kazi muhimu kitaifa na UTAACHANA NA BIASHARA UCHWARA ZA BARABARANI na kuanza kujenga heshima yako kwa sasa na baadae.
cheo alichonacho cha mtoto wa rais kinamtosha!!
nikimtazama RIDHIWAN namuona Kikwete Mkweree... mwingine, na kwakua mara kwa mara kijana amekua akirudia kuwa babake ndie role model wake, hii inatoa ishara kuwa hana jipya maana kama failures huyu Bwana Kikwete anaweza kuwa shujaa wako ujue wewe unakasoro katika muundo wa kufikiri.
Ridhiwani ni nyoka mwingine ambae tukimchekea atarejesha mazongezonge ya baba yake hapa Tanzania.
Bado nalaumu sana mtu aliemshauri Kikwete kuwa mwanasiasa, huyu mtu katuletea Tanzania Mateso makubwa.