Nyunyu, very unfortunate, kigezo cha kujiunga na hivyo vyuo ulivyovitaja (Harvard/Yale/Oxford) sio uwezo wa kulipa ada!
Anayafanya hayo uliyoyasema kwasabau anakosa uzoefu wa uongozi, kwa hiyo akipewa nafasi ya uongozi kama mm anavyoshauri hayo yatakomaa zaidi au yataachwa.mzee mimi nakuheshimu, lakini kwa hili nadhani unavuka mipaka. Nini kilisababisha Gaddaff akachukiwa na wananchi wake? Mie nijuavyo, gadaf alitaka kurithisha madaraka kwa mwanae. Huyu RIZ1 kama amekutuma, nadhani utapata aibu yako mda si mrefu. Kwanza dogo mwenyewe kwa kutumia IKULU anafanya mambo anavyotaka yeye, sasa wewe unampigia chapuo ateuliwe kuwa fulani?
Riz1 mwizi, ana ukwasi mkubwa mno, na lazima ipo siku atatueleza kaupata wapi mtu ambaye kamaliza shule juzi pale mlimani
mkonomtupu, hizi sio lugha za jf, nikukuripoti kwa mode, unafungiwa, sijakuripoti kutokana na ugeni wako humu. Ustaarabu ni kitu cha bure!aende kuzaa na dada yake salma kwani wote wamekosa uadilifu mavuzi ya mbwa