Ili kupata uzoefu zaidi Ridhiwani apewe nafasi gani serikalini?

Tayari ni kijana ambaye anapata uzoefu mbalimbali wa shughuli za kichama na siasa. Naamini kwa ajili ya kuweza kuja kugombea baadaye nafasi "kubwa" nchini anahitaji kupata uzoefu wa mambo ya serikali. Najiuliza ni nafasi gani zinamfaa ili Rais amteua au (chombo kingine cha uteuzi) ili kumpatia Ridhiwani uzoefu wa mambo ya serikali. Nafikiria kama nafasi zifuatazo:

a. Msaidizi wa Rais Ushauri wa Usalama wa Taifa
b. Mshauri wa Rais (Siasa na Vyama vya siasa)- nafasi iliyowahi kushikiliwa na Kingunge
c. Msaidizi Maalum (without portfolio)
d. Mshauri wa Kisheria - Presidential Guards
e. Msaidizi Ofisi ya Katibu Kiongozi - Special Duties
f. Kwenda Monduli Military Academy na kufanya mafunzo ya Ofisa wa JWTZ - hili nalipenda zaidi kwani akitoka anaweza kupewa Brigage au Kikosi chake Maalum kukiongoza..

Au cheo chochote kile labda wengine mnaweza kuwa na mawazo zaidi. Hii itamsaidia Ridhiwani kupata mwanga zaidi wa shughuli za serikali na kuweza kupanua zaidi wigo wa maono yake kuhusu kutawala nchi yetu. Lakini itamsaidia siku moja kama atataka kugombea Ubunge au nafasi nyingine ya juu kuweza kuwa amepata kuwa na uzoefu wa aina mbalimbali.
Mzee Mwanakijiji, kumbe siku ukikosa cha kuandika, huwa unaanzisha uchokozi?.

Kuna siasa za kujifunza na siasa za kuzaliwa, yaani kwenye damu ya kisiasa, hivyo kama siasa iko kwenye damu, atakuwa tuu bila kujifunza popote.

Kwani hawa wafuatao walijifunza wapi?.
  1. Laurent Kabila na Joseph Kabila?.
  2. Abedi Karume na Amani Karume?, Ali Karume anafuata!.
  3. Ali Hassan Mwinyi na Hussein Mwinyi?
  4. Jomo Kenyetta na Uhuru Kenyatta?.
  5. George Bush Sn na George Bush Jnr?
  6. Fidel Castro na Raul Castro?.
  7. Fredinand Marcos na Imelda Marcos?.
  8. Great Leader, Kim Il Sung na Dear Leader, Kim Jong Hill?.
  9. Marekani ukoo wa Kennedy
  10. India ukoo wa Indira Gadhi, kuanzia kwa Mahatma akaja Indira, akaja Sunjay hatimaye Sonia na wote wameondokea mlango ule ule!.
na wengine wote waliofuatiwa na watoto wao, walihitaji uzoefu gani?.

JF tupunguze uchokozi wa kuisakama first family!.
 
Pasco, Hao wote uliowataja walifanyiwa kile ambacho ninakipendekeza mimi. Kwa kuwataja hao unathibitisha kuwa hoja yangu yafaa maana hapo hujawaweka kina Seif al Islam Gaddafi au Al Saada al Gaddafi...


Mkuu hao lazima awapotezee na ukizingatia maiti za baba na kaka zimeanikwa kwenye cold room ya sokoni kama sangara na matendo ya huyu riz1 ni kama saaif al islaam hivi.
 
uwaziri wa mambo ya ndani au ulinzi utamfaa zaidi maana so far amekuwa akiwasiliana nao saana na wamekuwa wanyenyekevu kwake akipiga simu tu Afwande Mwema anajamba kitini, chupi inambana na kijasho kinamtoka! sikilizia akiamuru fulani akamatwe au azuiwe kofia hata kiatu humchomoka na kuitikia kwa vibwagizo vya ndio Mheshimiwa kama sio kupiga salute ilhali anaongea na simu..
 
Ww kweli una akiri nusu,iweje tumpe nafasi mtu aliyetuibia kodi zetu kujitajilisha katika kipindi kifupi. Je! akikamata nchi itakuwaje?.
Acha bangi zako,hustuletee upupu hapa.nyie ndo mnaosababisha tuciendee miaka yote!
 
Nafasi inayomfaa Ridhiwan ni Segerea Ukonga au Isanga. Laiti kungekuwa na kipute kama cha Libya basi ningependekeza kimkute kilichomkuta Mutassim Gaddafi ambaye alipigwa hadi kufa hata alipokana jina lake kabla ya baba yake kumalizwa kwa aibu. Ridhiwan is but a mere bloodsucker who needs to be kicked in the as...... after his da.... has been butchered like a chicken thief. Samahani mie hasira ikipanda huwa naongea kidhungu.
 
Tayari ni kijana ambaye anapata uzoefu mbalimbali wa shughuli za kichama na siasa. Naamini kwa ajili ya kuweza kuja kugombea baadaye nafasi "kubwa" nchini anahitaji kupata uzoefu wa mambo ya serikali. Najiuliza ni nafasi gani zinamfaa ili Rais amteua au (chombo kingine cha uteuzi) ili kumpatia Ridhiwani uzoefu wa mambo ya serikali. Nafikiria kama nafasi zifuatazo:

a. Msaidizi wa Rais Ushauri wa Usalama wa Taifa
b. Mshauri wa Rais (Siasa na Vyama vya siasa)- nafasi iliyowahi kushikiliwa na Kingunge
c. Msaidizi Maalum (without portfolio)
d. Mshauri wa Kisheria - Presidential Guards
e. Msaidizi Ofisi ya Katibu Kiongozi - Special Duties
f. Kwenda Monduli Military Academy na kufanya mafunzo ya Ofisa wa JWTZ - hili nalipenda zaidi kwani akitoka anaweza kupewa Brigage au Kikosi chake Maalum kukiongoza..

Au cheo chochote kile labda wengine mnaweza kuwa na mawazo zaidi. Hii itamsaidia Ridhiwani kupata mwanga zaidi wa shughuli za serikali na kuweza kupanua zaidi wigo wa maono yake kuhusu kutawala nchi yetu. Lakini itamsaidia siku moja kama atataka kugombea Ubunge au nafasi nyingine ya juu kuweza kuwa amepata kuwa na uzoefu wa aina mbalimbali.

Aisee MM hili tusi kwa Riz1 na baba yake ni la kufunga mwaka!

umemaliza kabisa mkuu, hiki kitoto kingetayarishwa mapema basi, at least kingepewa uongozi wowote na sio vituko anavyofanya sasa.

I know one day ridhwan will come to his senses but it will be too late
 
MM naona kama unajaribu kufikisha ujumbe kwa baba riz kwa mafumbo! The problem is they are too dumb to understand you clearly. Ni mawazo yangu tu lakini.
 
Mzee mwanakijii mbona siku hizi unaishia hoja nini kimekupata enzi zako ulikuwa tishio
Hata mimi nilidhani hivyo na mada hii nikaiita 'uchokozi' dhidi ya first family lakini, ukichwa wa Mzee Mwanakijiji unaelekea kuvuka mipaka, kama hauna kiwango fulani cha uelewa, utatoka kapa kama mimi, ila ukimsoma in between the lines post zake zilizofuatia, utamwelewa na usipo mwelewa, endelea sana kumsoma nawe utakuja kufikia kiwango cha u great thinker na utamwelewa.
 
Tayari ni kijana ambaye anapata uzoefu mbalimbali wa shughuli za kichama na siasa. Naamini kwa ajili ya kuweza kuja kugombea baadaye nafasi "kubwa" nchini anahitaji kupata uzoefu wa mambo ya serikali. Najiuliza ni nafasi gani zinamfaa ili Rais amteua au (chombo kingine cha uteuzi) ili kumpatia Ridhiwani uzoefu wa mambo ya serikali. Nafikiria kama nafasi zifuatazo:

a. Msaidizi wa Rais Ushauri wa Usalama wa Taifa
b. Mshauri wa Rais (Siasa na Vyama vya siasa)- nafasi iliyowahi kushikiliwa na Kingunge
c. Msaidizi Maalum (without portfolio)
d. Mshauri wa Kisheria - Presidential Guards
e. Msaidizi Ofisi ya Katibu Kiongozi - Special Duties
f. Kwenda Monduli Military Academy na kufanya mafunzo ya Ofisa wa JWTZ - hili nalipenda zaidi kwani akitoka anaweza kupewa Brigage au Kikosi chake Maalum kukiongoza..

Au cheo chochote kile labda wengine mnaweza kuwa na mawazo zaidi. Hii itamsaidia Ridhiwani kupata mwanga zaidi wa shughuli za serikali na kuweza kupanua zaidi wigo wa maono yake kuhusu kutawala nchi yetu. Lakini itamsaidia siku moja kama atataka kugombea Ubunge au nafasi nyingine ya juu kuweza kuwa amepata kuwa na uzoefu wa aina mbalimbali.

mzee mimi nakuheshimu, lakini kwa hili nadhani unavuka mipaka. Nini kilisababisha Gaddaff akachukiwa na wananchi wake? Mie nijuavyo, gadaf alitaka kurithisha madaraka kwa mwanae. Huyu RIZ1 kama amekutuma, nadhani utapata aibu yako mda si mrefu. Kwanza dogo mwenyewe kwa kutumia IKULU anafanya mambo anavyotaka yeye, sasa wewe unampigia chapuo ateuliwe kuwa fulani?

Riz1 mwizi, ana ukwasi mkubwa mno, na lazima ipo siku atatueleza kaupata wapi mtu ambaye kamaliza shule juzi pale mlimani
 
Pasco, Hao wote uliowataja walifanyiwa kile ambacho ninakipendekeza mimi. Kwa kuwataja hao unathibitisha kuwa hoja yangu yafaa maana hapo hujawaweka kina Seif al Islam Gaddafi au Al Saada al Gaddafi...

naomba niachane na thread yako kwakusema, leo umekuja kimasaburi zaidi. over
 
Hata mimi nilidhani hivyo na mada hii nikaiita 'uchokozi' dhidi ya first family lakini, ukichwa wa Mzee Mwanakijiji unaelekea kuvuka mipaka, kama hauna kiwango fulani cha uelewa, utatoka kapa kama mimi, ila ukimsoma in between the lines post zake zilizofuatia, utamwelewa na usipo mwelewa, endelea sana kumsoma nawe utakuja kufikia kiwango cha u great thinker na utamwelewa.
Kweli mkuu,ndio maana nimemchokoza MM ili aandike walau post moja tu na baada ya kumsoma nimekiri hapa wenzangu na mimi lazima waingie kichwakichwa! Ila ni kipimo kizuri cha kufikiri na kuwajua Ma great thinker!
 
Ridhiwani anatakiwa aongoze presidential guard au awe msaidizi wa rais (mahusiano ya jamii) ili ajiweke vizuri kugombea ubunge chalinze.
 
Tayari ni kijana ambaye anapata uzoefu mbalimbali wa shughuli za kichama na siasa. Naamini kwa ajili ya kuweza kuja kugombea baadaye nafasi "kubwa" nchini anahitaji kupata uzoefu wa mambo ya serikali. Najiuliza ni nafasi gani zinamfaa ili Rais amteua au (chombo kingine cha uteuzi) ili kumpatia Ridhiwani uzoefu wa mambo ya serikali. Nafikiria kama nafasi zifuatazo:

a. Msaidizi wa Rais Ushauri wa Usalama wa Taifa
b. Mshauri wa Rais (Siasa na Vyama vya siasa)- nafasi iliyowahi kushikiliwa na Kingunge
c. Msaidizi Maalum (without portfolio)
d. Mshauri wa Kisheria - Presidential Guards
e. Msaidizi Ofisi ya Katibu Kiongozi - Special Duties
f. Kwenda Monduli Military Academy na kufanya mafunzo ya Ofisa wa JWTZ - hili nalipenda zaidi kwani akitoka anaweza kupewa Brigage au Kikosi chake Maalum kukiongoza..

Au cheo chochote kile labda wengine mnaweza kuwa na mawazo zaidi. Hii itamsaidia Ridhiwani kupata mwanga zaidi wa shughuli za serikali na kuweza kupanua zaidi wigo wa maono yake kuhusu kutawala nchi yetu. Lakini itamsaidia siku moja kama atataka kugombea Ubunge au nafasi nyingine ya juu kuweza kuwa amepata kuwa na uzoefu wa aina mbalimbali.
Mkuu Mwanakijiji mbona hizo kazi huyu jamaa alishazianza sikunyingi, anasubiri kuwa aproved and then be introdused through massmedia. Tanzania hii utawala wa Kifalme ni wakufikia.
 
Back
Top Bottom