Ili kupata uzoefu zaidi Ridhiwani apewe nafasi gani serikalini?

Tayari ni kijana ambaye anapata uzoefu mbalimbali wa shughuli za kichama na siasa. Naamini kwa ajili ya kuweza kuja kugombea baadaye nafasi "kubwa" nchini anahitaji kupata uzoefu wa mambo ya serikali. Najiuliza ni nafasi gani zinamfaa ili Rais amteua au (chombo kingine cha uteuzi) ili kumpatia Ridhiwani uzoefu wa mambo ya serikali. Nafikiria kama nafasi zifuatazo:

a. Msaidizi wa Rais Ushauri wa Usalama wa Taifa
b. Mshauri wa Rais (Siasa na Vyama vya siasa)- nafasi iliyowahi kushikiliwa na Kingunge
c. Msaidizi Maalum (without portfolio)
d. Mshauri wa Kisheria - Presidential Guards
e. Msaidizi Ofisi ya Katibu Kiongozi - Special Duties
f. Kwenda Monduli Military Academy na kufanya mafunzo ya Ofisa wa JWTZ - hili nalipenda zaidi kwani akitoka anaweza kupewa Brigage au Kikosi chake Maalum kukiongoza..

Au cheo chochote kile labda wengine mnaweza kuwa na mawazo zaidi. Hii itamsaidia Ridhiwani kupata mwanga zaidi wa shughuli za serikali na kuweza kupanua zaidi wigo wa maono yake kuhusu kutawala nchi yetu. Lakini itamsaidia siku moja kama atataka kugombea Ubunge au nafasi nyingine ya juu kuweza kuwa amepata kuwa na uzoefu wa aina mbalimbali.

Aanze na "U-Katibu Tawi kule Msoga" baadae anaweza kutokea pale na kuwa Mbunge iwapo atagombea.
 
Rais ni baba yake kwani hauoni anaweza kumshauri kwanza kama mzazi badala ya kuingia kwenye system moja kwa moja? ushauri wa familia unaruhusiwa ili mradi uwe kwa maslahi ya taifa.
 
kuna mtu anasema hoja za mwanakijiji zimekuwa dhaifu kama hii kwa sababu yuko kwenye payroll maalum
 
a. Msaidizi wa Rais Ushauri wa Usalama wa Taifa
b. Mshauri wa Rais (Siasa na Vyama vya siasa)- nafasi iliyowahi kushikiliwa na Kingunge
c. Msaidizi Maalum (without portfolio)
d. Mshauri wa Kisheria - Presidential Guards
e. Msaidizi Ofisi ya Katibu Kiongozi - Special Duties
f. Kwenda Monduli Military Academy na kufanya mafunzo ya Ofisa wa JWTZ - hili nalipenda zaidi kwani akitoka anaweza kupewa Brigage au Kikosi chake Maalum kukiongoza..
....... in all but name
 
mwanakijiji kwishineiiiiiiiiiiiiii hapo ndio katoa hoja nzito ya kutupotezea muda wetu wa kujadili hoja za maendeleo
 
mzee mwanakijiji umetuchoka sasa?? Me I hate kupewa pewa!!!
Hatakiwi kupewa nafasi ila anatakiwa atafute kazi through competition kama wananchi wengine na aonyeshe interest na professional yake ambayo anaona kama inamfaa kufanya au kutumikia taifa.
Kama ataona haina sababu kufanya kazi serikalini basi afanye biashara kama kina kinje maana utumishi wa umma anatakiwa kujua siyo kazi rahisi lazima uwe umejitolea pia.
 
huu wimbo wa Ridhwan hauna mwisho? hatuwezi kubadili mwingine unaohusu maendeleo yetu mbona kama tunapoteza muda wa vipaumbele vyetu vya taifa
 
Tayari ni kijana ambaye anapata uzoefu mbalimbali wa shughuli za kichama na siasa. Naamini kwa ajili ya kuweza kuja kugombea baadaye nafasi "kubwa" nchini anahitaji kupata uzoefu wa mambo ya serikali. Najiuliza ni nafasi gani zinamfaa ili Rais amteua au (chombo kingine cha uteuzi) ili kumpatia Ridhiwani uzoefu wa mambo ya serikali. Nafikiria kama nafasi zifuatazo:

a. Msaidizi wa Rais Ushauri wa Usalama wa Taifa
b. Mshauri wa Rais (Siasa na Vyama vya siasa)- nafasi iliyowahi kushikiliwa na Kingunge
c. Msaidizi Maalum (without portfolio)
d. Mshauri wa Kisheria - Presidential Guards
e. Msaidizi Ofisi ya Katibu Kiongozi - Special Duties
f. Kwenda Monduli Military Academy na kufanya mafunzo ya Ofisa wa JWTZ - hili nalipenda zaidi kwani akitoka anaweza kupewa Brigage au Kikosi chake Maalum kukiongoza..

Au cheo chochote kile labda wengine mnaweza kuwa na mawazo zaidi. Hii itamsaidia Ridhiwani kupata mwanga zaidi wa shughuli za serikali na kuweza kupanua zaidi wigo wa maono yake kuhusu kutawala nchi yetu. Lakini itamsaidia siku moja kama atataka kugombea Ubunge au nafasi nyingine ya juu kuweza kuwa amepata kuwa na uzoefu wa aina mbalimbali.

Haaaaahahahaa......! nimecheka sana MM! Nimecheka kwa hoja tata uliyoianika hapa, ambayo kwa harakaharaka tunaweza kusema hivi nini kimempata huyu Great Thinker mzee MM?!

Lakini kwa muono wangu binafsi, narudia tena muono wangu binafsi; si kama kweli unampigia debe dogo Riz1, bali umetumia lugha ya sanaa kutufikishia maudhui ya hoja yako. Yaani, huyu dogo unataka kutufikirisha kuwa "who is he?".

Maana kila mahali dogo yupo though zaidi ya kuwa ni mtoto wa Rais hatambuliki kwenye Katiba wala chochote but is everywhere and very influencial! Riz1 is powerful, akikohoa UV-CCM hata uongozi unaweza kubadilishwa! Akienda leo Biharamulo basi ni mchakamchaka kuanzia RPC, RC, RCO na kila anayevuta pumzi atakimbia a if rais ndio amefika!

Kwenye chama yupo, usalama yumo, kwenye uwekezaji ndio usiseme....kajamaa kana nguvu hata ya kusema tender hii asipewe huyu apewe yule!

Anyway, ni maoni yangu nadhani mzee MM has thrown this ball to the great thinkers for assessment and evaluation on what Riz1 is practising kama ni suala la utawala bora au la!

Mzee Mwanakijiji, if I got u wrong then I stand to be corrected!
 
kale kafupi nyundo kanafaa kuwa katibu mwenezi kwenye chama chao sababu ni kagombanishi na kapika majungu kazuri tu.
 
Haaaaahahahaa......! nimecheka sana MM! Nimecheka kwa hoja tata uliyoianika hapa, ambayo kwa harakaharaka tunaweza kusema hivi nini kimempata huyu Great Thinker mzee MM?! lakini kwa muono wangu binafsi, narudia tena muono wangu binafsi; si kama kweli unampigia debe dogo Riz1, bali umetumia lugha ya sanaa kutufikishia maudhui ya hoja yako. Yaani, huyu dogo unataka kutufikirisha kuwa "who is he?". Maana kila mahali dogo yupo though zaidi ya kuwa ni mtoto wa Rais hatambuliki kwenye Katiba wala chochote but is everywhere and very influencial! Riz1 is powerful, akikohoa UV-CCM hata uongozi unaweza kubadilishwa! Akienda leo Biharamulo basi ni mchakamchaka kuanzia RPC, RC, RCO na kila anayevuta pumzi atakimbia a if rais ndio amefika! kwenye chama yupo, usalama yumo, kwenye uwekezaji ndio usiseme....kajamaa kana nguvu hata ya kusema tender hii asipewe huyu apewe yule!

Anyway, ni maoni yangu nadhani mzee MM has thrown this ball to the great thinkers for assessment and evaluation on what Riz1 is practising kama ni suala la utawala bora au la!

Mzee Mwanakijiji, if I got u wrong then I stand to be corrected!

Wachache tumemsoma MM kwa ujumbe ulioko katikati ya mistari ndio maana nimesema "napata shida kuamini kama kijana huyo hana cheo or vyeo hivyo japo informally" lakini wengineo naona wameishia kufoka kwa kutoing'amua sanaa ya lugha iliyotumika..
 
kuna mtu anasema hoja za mwanakijiji zimekuwa dhaifu kama hii kwa sababu yuko kwenye payroll maalum

Mkuu fofofo, kweli unaonekana kuhamanika,,katika thread moja ndani ya dk 10 kuanzia 20:37 hadi 20:47 ushapost/changia mara tano zote ambazo kwa muono wangu ni upupu. Kwanini unakuwa mvivu kufikiri? Inapotokea thread flani hujaielewa bora kuendelea kutafakari kuliko kuropoka ropoka tu, Mwangalie Wanitakiani,, walau anaonekana dhahiri kutumia some time kufikirisha kichwa!!!
 
MM hizo zama za Baba na Mwana hazipo. Na kwanza mpaka hapo alipo Riz 1 hawezi kuja kua kiongozi wa kiserikali aishie huko huko kwenye Chama.
 
Tayari ni kijana ambaye anapata uzoefu mbalimbali wa shughuli za kichama na siasa. Naamini kwa ajili ya kuweza kuja kugombea baadaye nafasi "kubwa" nchini anahitaji kupata uzoefu wa mambo ya serikali. Najiuliza ni nafasi gani zinamfaa ili Rais amteua au (chombo kingine cha uteuzi) ili kumpatia Ridhiwani uzoefu wa mambo ya serikali. Nafikiria kama nafasi zifuatazo:

a. Msaidizi wa Rais Ushauri wa Usalama wa Taifa
b. Mshauri wa Rais (Siasa na Vyama vya siasa)- nafasi iliyowahi kushikiliwa na Kingunge
c. Msaidizi Maalum (without portfolio)
d. Mshauri wa Kisheria - Presidential Guards
e. Msaidizi Ofisi ya Katibu Kiongozi - Special Duties
f. Kwenda Monduli Military Academy na kufanya mafunzo ya Ofisa wa JWTZ - hili nalipenda zaidi kwani akitoka anaweza kupewa Brigage au Kikosi chake Maalum kukiongoza..

Au cheo chochote kile labda wengine mnaweza kuwa na mawazo zaidi. Hii itamsaidia Ridhiwani kupata mwanga zaidi wa shughuli za serikali na kuweza kupanua zaidi wigo wa maono yake kuhusu kutawala nchi yetu. Lakini itamsaidia siku moja kama atataka kugombea Ubunge au nafasi nyingine ya juu kuweza kuwa amepata kuwa na uzoefu wa aina mbalimbali.

weeee!! Weee!! Acha habari zako hizo huyu chalii hafai popote serikalin. Ngoja kwanza tuendelee kumsikilizia msua
 
Kama Nyerere angepatikana hivi!Sijui nasema sijui!Kiongozi anazaliwa akiwa kiongozi sio anapewa mafunzo ya kuja kuongoza!Jamani tunaenda wapi!Au kwa vile siku hz ukiwa na hela au mshua akiwa top na wwe unakuwa kiongozi!Hii sio nchi ya kifalme,mshua wake mwenyewe mnaona jnsi magamba plus mitandao walvyomtight sembuse mwanae!
 
Lakini tukiacha utani binafsi nafikiri angalau angepewa Ukuu wa Wilaya ili kupimwa vizuri ila sasa akiwa Mkuu wa Wilaya si anaweza kuwa na nguvu sana kama mkuu wa mkoa?
 
yanaweza tokea...........he has been prepared and those with eyes n ears cana prove that
 
Back
Top Bottom