Uzalendo wa Kitanzania
JF-Expert Member
- Mar 8, 2020
- 2,209
- 4,706
#JanuaryMakambaForThePresidency2030
Wadau hamjamboni?
Ukweli lazima usemwe tu haya kama muda wa kuusema haujafika.
Ndiyo January Malamba ndiye chaguo sahihi la Watanzania kuelekea 2030
Naam anazo sifa zote, uchapakazi, weledi, uzoefu wa kutosha kuanzia awamu ya 3 hadi sasa.
Anao uzoefu mkubwa kwenye Serikali akihudumu kwa nafasi mbalimbali kuanzia Msaidizi wa Rais, Naibu Waziri na sasa Waziri kamili. Aidha amehudumu kwenye Chama cha Mapinduzi muda mrefu akiwa kada mahiri
Maeneo yote amehudumu kwa weledi mkubwa
Kwa maoni yangu yeye ndiyo chaguo sahihi la kizazi kipya.
Wadau hamjamboni?
Ukweli lazima usemwe tu haya kama muda wa kuusema haujafika.
Ndiyo January Malamba ndiye chaguo sahihi la Watanzania kuelekea 2030
Naam anazo sifa zote, uchapakazi, weledi, uzoefu wa kutosha kuanzia awamu ya 3 hadi sasa.
Anao uzoefu mkubwa kwenye Serikali akihudumu kwa nafasi mbalimbali kuanzia Msaidizi wa Rais, Naibu Waziri na sasa Waziri kamili. Aidha amehudumu kwenye Chama cha Mapinduzi muda mrefu akiwa kada mahiri
Maeneo yote amehudumu kwa weledi mkubwa
Kwa maoni yangu yeye ndiyo chaguo sahihi la kizazi kipya.