January Makamba anafaa kugombea Urais 2030

Uzalendo wa Kitanzania

JF-Expert Member
Mar 8, 2020
2,209
4,706
#JanuaryMakambaForThePresidency2030

Wadau hamjamboni?

Ukweli lazima usemwe tu haya kama muda wa kuusema haujafika.

Ndiyo January Malamba ndiye chaguo sahihi la Watanzania kuelekea 2030

Naam anazo sifa zote, uchapakazi, weledi, uzoefu wa kutosha kuanzia awamu ya 3 hadi sasa.

Anao uzoefu mkubwa kwenye Serikali akihudumu kwa nafasi mbalimbali kuanzia Msaidizi wa Rais, Naibu Waziri na sasa Waziri kamili. Aidha amehudumu kwenye Chama cha Mapinduzi muda mrefu akiwa kada mahiri

Maeneo yote amehudumu kwa weledi mkubwa

Kwa maoni yangu yeye ndiyo chaguo sahihi la kizazi kipya.

FB_IMG_16912550933876072.jpg
 
Ndo huyu hapa unataka awe raisi?
 
January ni Visionary Sana 2030 naona kama ni mbali ivi, Tunahitaji Rais mwenye Kariba kama ya January Makamba
 
#JanuaryMakambaForThePresidency2030

Wadau hamjamboni?

Ukweli lazima usemwe tu haya kama muda wa kuusema haujafika.

Ndiyo January Malamba ndiye chaguo sahihi la Watanzania kuelekea 2030

Naam anazo sifa zote, uchapakazi, weledi, uzoefu wa kutosha kuanzia awamu ya 3 hadi sasa.

Anao uzoefu mkubwa kwenye Serikali akihudumu kwa nafasi mbalimbali kuanzia Msaidizi wa Rais, Naibu Waziri na sasa Waziri kamili. Aidha amehudumu kwenye Chama cha Mapinduzi muda mrefu akiwa kada mahiri

Maeneo yote amehudumu kwa weledi mkubwa

Kwa maoni yangu yeye ndiyo chaguo sahihi la kizazi kipya.

View attachment 2709491
😂😂😂 Kwanza ncheke.. Ndo amekutuma hivo?
 
Makamba yupo smart sana kwa wajinga tu ila kwa werevu hakuna kitu pale, unfortunately wajinga ndiyo wengi.

BTW: Tayari mgao wa umeme ni rasmi nchini na hivi tunavyoongea mji kama Kahama upo gizani muda huu.
 
Nchi imekuwa ya familia flan zinapokezana tu kuingia ikulu alafu wengne tunapiga domo tu! Hii sio sawa. Nchi hii ni ya watanzania wote na sio hizi royal families
 
Back
Top Bottom