Ili kupata uzoefu zaidi Ridhiwani apewe nafasi gani serikalini?

Nadhani huyu Mwana wa Mfalme Ridhiwani Jakaya Kikwete apelekwe Royal Military Academy Sandhurst kule Surrey UK, akimaliza apewe Ugeneral na kuwa mkuu wa ulinzi na usalama wa nchi na ukuu wa majeshi. Hii itasaidia kukomaa kwake katika kuchukua nchi kutoka kwa Mfalme Kikwete iwapo chochote kitamtokea.

Mkuu haswaa kwani si unaona kama utawala wa kisultani kila mwana mfalme ana sauti !
 
Tayari ni kijana ambaye anapata uzoefu mbalimbali wa shughuli za kichama na siasa. Naamini kwa ajili ya kuweza kuja kugombea baadaye nafasi "kubwa" nchini anahitaji kupata uzoefu wa mambo ya serikali. Najiuliza ni nafasi gani zinamfaa ili Rais amteua au (chombo kingine cha uteuzi) ili kumpatia Ridhiwani uzoefu wa mambo ya serikali. Nafikiria kama nafasi zifuatazo:

a. Msaidizi wa Rais Ushauri wa Usalama wa Taifa
b. Mshauri wa Rais (Siasa na Vyama vya siasa)- nafasi iliyowahi kushikiliwa na Kingunge
c. Msaidizi Maalum (without portfolio)
d. Mshauri wa Kisheria - Presidential Guards
e. Msaidizi Ofisi ya Katibu Kiongozi - Special Duties
f. Kwenda Monduli Military Academy na kufanya mafunzo ya Ofisa wa JWTZ - hili nalipenda zaidi kwani akitoka anaweza kupewa Brigage au Kikosi chake Maalum kukiongoza..

Au cheo chochote kile labda wengine mnaweza kuwa na mawazo zaidi. Hii itamsaidia Ridhiwani kupata mwanga zaidi wa shughuli za serikali na kuweza kupanua zaidi wigo wa maono yake kuhusu kutawala nchi yetu. Lakini itamsaidia siku moja kama atataka kugombea Ubunge au nafasi nyingine ya juu kuweza kuwa amepata kuwa na uzoefu wa aina mbalimbali.
Naona umeanza majungu siku hizi. Umekuwa si yule mwanakijiji uliekuwa na hoja zenye mashiko, ni blabla tu. Better you change earlier than.
 
Tayari ni kijana ambaye anapata uzoefu mbalimbali wa shughuli za kichama na siasa. Naamini kwa ajili ya kuweza kuja kugombea baadaye nafasi "kubwa" nchini anahitaji kupata uzoefu wa mambo ya serikali. Najiuliza ni nafasi gani zinamfaa ili Rais amteua au (chombo kingine cha uteuzi) ili kumpatia Ridhiwani uzoefu wa mambo ya serikali. Nafikiria kama nafasi zifuatazo:

a. Msaidizi wa Rais Ushauri wa Usalama wa Taifa
b. Mshauri wa Rais (Siasa na Vyama vya siasa)- nafasi iliyowahi kushikiliwa na Kingunge
c. Msaidizi Maalum (without portfolio)
d. Mshauri wa Kisheria - Presidential Guards
e. Msaidizi Ofisi ya Katibu Kiongozi - Special Duties
f. Kwenda Monduli Military Academy na kufanya mafunzo ya Ofisa wa JWTZ - hili nalipenda zaidi kwani akitoka anaweza kupewa Brigage au Kikosi chake Maalum kukiongoza..

Au cheo chochote kile labda wengine mnaweza kuwa na mawazo zaidi. Hii itamsaidia Ridhiwani kupata mwanga zaidi wa shughuli za serikali na kuweza kupanua zaidi wigo wa maono yake kuhusu kutawala nchi yetu. Lakini itamsaidia siku moja kama atataka kugombea Ubunge au nafasi nyingine ya juu kuweza kuwa amepata kuwa na uzoefu wa aina mbalimbali.
Sultan Kikwete and the family!!!
 
Kwani sasa cheo alicho nacho kinaitwaje? Maana naona ana act kama amiri jeshi mkuu wa CCM... akisema matawi yasifunguliwe, hayafunguliwi, alisema kiongozi fulani akamatwe aandike maelezo kwa kunisema, anakamatwa... hivi hicho cheo kinaitwaje vile???

amiri jeshi wa UVCCM
 
Mbona RA anaiongoza serikali kwa remote kwa sababu ya pesa hata huyu riz1 anaandaliwa kwa kupewa uchumi wakutosha akishakua na £bilionea tayari serikali itakuwa mikononi mwake
 
MKJJ,

Kuna ile list ya Pasco, ambayo inadhihirisha essence ya post yako. NAdhani kuna tatizo katika approach ya JK/Riz1 katika kukwea au kurithi siasa hasa ikizingtiwa historia ya ukoo wao. I always admire the way Mzee Ruksa alivyowaandaa watoto wake.

Its not too late to Riz1, namshauri, afanye mpango akasome Post Studies Harvard/Yale/Oxford, arudi kabla baba yake ahajaachia ndo aanze kuandaa mazingira.

KWa stail aliyotumia haitasaidia. Sana sana anajitengenezea maadui wengi zaidi ya kujichanganya. Vyeo unavyopendekeza havitamsaidia maana itakuwa kama kudandia treni kwa mbele...
 
kwanza ilitakiwa apewe somo jinsi ya kuishi kama mtoto wa Rais na kwa hivyo vyeo ulivyovioredhesha sidhani kama ana busara ya kubeba dhamana inayoendana na hizo nafasi..
Nadhani uko sahihi mkuu. Ungekuwepo utaratibu wa kuwapa somo ma First lady na familia nzima ya maraisi jinsi ya ku behave wawapo ndani ya mjengo mkuu. Tumeona toka awamu hii ianze familia inaingilia mambo ya nje ovyo ovyo na wahusika (akiwamo mkuu mwenyewe) hawakemei. Mtoto mara atibue mambo huko UVCCM wanamuacha tuu, mara Yanga pia anaachwa tuu, mama naye anataka ma RCs wamsomee ripoti ya maendeleo mikoa yao bila kusahau kupora dhamana ya chama katika uchaguzi uliopita.
Yote yanafanyika na mwenye nyumba yuko kimya. Jee yana baraka zake? na kama yana baraka zake jee washauri wake wameshamwambia athari za familia yake kujiingiza sana kwenye mambo yaletayo migogoro na jamii?
Ukifatilia kwa makini unaona wazi kuwa Kijana anaonekana kuwa hajijui yuko katika nafasi gani ndani ya jamii pia hana malezi bora zaidi ya kuongozwa na wapambe ambao mwishoni wao hawana la kupoteza
 
Tayari ni kijana ambaye anapata uzoefu mbalimbali wa shughuli za kichama na siasa. Naamini kwa ajili ya kuweza kuja kugombea baadaye nafasi "kubwa" nchini anahitaji kupata uzoefu wa mambo ya serikali. Najiuliza ni nafasi gani zinamfaa ili Rais amteua au (chombo kingine cha uteuzi) ili kumpatia Ridhiwani uzoefu wa mambo ya serikali. Nafikiria kama nafasi zifuatazo:

a. Msaidizi wa Rais Ushauri wa Usalama wa Taifa
b. Mshauri wa Rais (Siasa na Vyama vya siasa)- nafasi iliyowahi kushikiliwa na Kingunge
c. Msaidizi Maalum (without portfolio)
d. Mshauri wa Kisheria - Presidential Guards
e. Msaidizi Ofisi ya Katibu Kiongozi - Special Duties
f. Kwenda Monduli Military Academy na kufanya mafunzo ya Ofisa wa JWTZ - hili nalipenda zaidi kwani akitoka anaweza kupewa Brigage au Kikosi chake Maalum kukiongoza..

Au cheo chochote kile labda wengine mnaweza kuwa na mawazo zaidi. Hii itamsaidia Ridhiwani kupata mwanga zaidi wa shughuli za serikali na kuweza kupanua zaidi wigo wa maono yake kuhusu kutawala nchi yetu. Lakini itamsaidia siku moja kama atataka kugombea Ubunge au nafasi nyingine ya juu kuweza kuwa amepata kuwa na uzoefu wa aina mbalimbali.
Hizo zote anazo except hapo kwenye "f"

Akiongeza bidii tamalizia hapo kwenye kipengele "f"
 
Hivi wewe hata nyakati husomi eeehhhhhee ebu angalia yaliyo mpata ghdafi na wanawe wote chali..sasa unasema huyo riiii apewe nafasi gani, nadhani africa tumechoka na uongozi wa baba mama na watoto wote, usiwashauri vibaya wenzio wakaja ishia shimo la hewa
 
Kwani Ridhiwani ni nani zaidi ya kuwa first born wa Jakaya Kikwete ambaye pia ni Rais wa JMT, bado siamini mtu niliyekuwa namchukulia kuwa miongoni mwa watu makini hapa JF yaani MM ameaanza kuwa anafikiri kama MS! MM ni wewe kweli au ndio walewale kina Salva R....
 
Tayari ni kijana ambaye anapata uzoefu mbalimbali wa shughuli za kichama na siasa. Naamini kwa ajili ya kuweza kuja kugombea baadaye nafasi "kubwa" nchini anahitaji kupata uzoefu wa mambo ya serikali. Najiuliza ni nafasi gani zinamfaa ili Rais amteua au (chombo kingine cha uteuzi) ili kumpatia Ridhiwani uzoefu wa mambo ya serikali. Nafikiria kama nafasi zifuatazo:

a. Msaidizi wa Rais Ushauri wa Usalama wa Taifa
b. Mshauri wa Rais (Siasa na Vyama vya siasa)- nafasi iliyowahi kushikiliwa na Kingunge
c. Msaidizi Maalum (without portfolio)
d. Mshauri wa Kisheria - Presidential Guards
e. Msaidizi Ofisi ya Katibu Kiongozi - Special Duties
f. Kwenda Monduli Military Academy na kufanya mafunzo ya Ofisa wa JWTZ - hili nalipenda zaidi kwani akitoka anaweza kupewa Brigage au Kikosi chake Maalum kukiongoza..

Au cheo chochote kile labda wengine mnaweza kuwa na mawazo zaidi. Hii itamsaidia Ridhiwani kupata mwanga zaidi wa shughuli za serikali na kuweza kupanua zaidi wigo wa maono yake kuhusu kutawala nchi yetu. Lakini itamsaidia siku moja kama atataka kugombea Ubunge au nafasi nyingine ya juu kuweza kuwa amepata kuwa na uzoefu wa aina mbalimbali.

Napendekeza awe mnunuaji wa asset za Tanzania nje ya nchi. Ni kijana ambaye ni genius maana katika kipindi kifupi cha ameweza kujipatia mahela mengi kwa kutumia mbinu za kibiashara. na mapendekezo yangu yanatokana na jamaa kuonyesha kwamba uwezo wake umepitiliza kipimo maana anauwezo wa kununua majumba kule marekani na nchi za mbali ili akapumzike baada ya kazi ngumu ya kufanya siasa za Tanzania.
 
Ajiunge na magereza , polisi au jeshi. Kama mwanasheria atatoa mchango wake kuendeleleza taasisi husika.
 
Nikisoma aliyoyaandika Mwanakijiji na wengi waliochangia hoja hiyo naona jinsi wengi wanavyopwaya katika uchambuzi wa mambo! Sio kweli kuwa mtu anaposema kuwa "Unakula kama mchwa" basi wewe umegeuka mchwa! Hizi ni tamathali za semi kuelezea jinsi kasi ya kula ilivyokuwa.

Jambo la msingi hapa ni kuichambua hoja ya MM. Nini kilichomsukuma kupendekeza hayo yote juu ya Riz1? Kwanini apendekeze apate uzoefu wa kiserikali? Nini nafasi yake katika serikali na maamuzi ya serikali ya sasa? Je, nini nafasi yake katika serikali iliyopo/kimaamuzi/ushawishi japo hana nafasi ya uongozi kiserikali, n.k, n.k.
Kutokana na hayo yote nini athari za yeye katika taifa hili kuwa na utendaji huu ambao hautambulikani kiserikali/kichama? Zaidi, Je atakwenda kwa mwendo wa mdundo huhuu hata baada ya baba yake kubwaga manyanga? Kumbukeni kuwa hata safari ya JK kwenda ikuli ktk ngwe ya pili, kazi ilikuwa mikononi mwa familia ya mzee na kiranja mkuu akiwa Riz1. Nini ilikuwa nafasi yake kiserikali/kichama? Hakuna haja ya kuwa na ........., utajaza!
 
mwanakijiji kwa nini umefikiria kitu kama hiki,je story ya libya imekutisha kidogo?au unatania?au kuna kitu unahisi?
 
JK alishakosea toka mwanzo akamwachia mwanawe kama kuku wa uganga...........angetumia approach aliyoumia Mwinyi kumuandaa Dr Hussein......hivi Mkapa watoto wake vipi mbona hatuwasikii?

Wapo ila wanafisadi kwa uangalifu sana kwani wanajua kilichompata baba yao na Kiwira yake
 
Back
Top Bottom