Mathematician
JF-Expert Member
- Nov 8, 2009
- 326
- 108
Wenye mitaji midogo tujikwamue na umaskini kupitia hawa jamaa. :happy:Jamani nina kontena zangu ziko China nataka kuingiza bongo sasa naambiwa kuwa nikitaka niwatumie HSC kwani sitolipa ushuru mkubwa huko TRA kwa sababu jamaa wameishikilia vilivyo TRA na Customs, sasa mnanishauriri vipi maana siku za nyuma nilisikia kuwa jamaa mambo si mazuri huko TRA.
Mnasemaje:
Niwape dili hawa waarabu wa HSC au nifanyeje?
Je, niwe makini na yepi?
Je, naweza kusevu kiasi gani?
Na Je, huwa HSC wanafanya nini cha ajabu ambacho wengine hawawezi?