Home Shopping Centre: How do they do business?

Huyo nasikia kisha wawekesha ndani wa Mahara wenzake kwa kuwaambia tu, "ntawaonesha mimi ni nani na kuwajulisha kuwa Serikali ipo mfukoni mwangu". Hao wamahara nasikia mpaka leo wanasota ndani.
 
Mkuu wangu fanya kazi acha majungu wewe unapakia CBM 2 au 3 halafu unataka wakuonyeshe karatasi za TRA bei pale zipo wazi bero moja la nguo kutoka China mpaka Tanzania ni dola 300 pamoja ushuru...wewe unataka wakuoneshe nini? Kama una ushahidi wanakwepa kodi wapeleke mahakamani mkuu.
 
Kila kitu kina mwisho, ana miaka miwili na nusu ya kufanya upuuzi anaoufanya, Mkuu wa nchi juzi kasema hana share kwenye hiyo kampuni.
 
Ikulu ilikanusha kuhusu mkuu kuhusika na huyu jamaa!
Ila kwa wenye hekima na busara lile kanusho ni ushahidi tosha kuwa mkuu anahusika na hao jamaa ndo maana imemuuma!
Bse of all the scandals kwa nini aliamua kuijibu hii
 
Ikulu ilikanusha kuhusu mkuu kuhusika na huyu jamaa!
Ila kwa wenye hekima na busara lile kanusho ni ushahidi tosha kuwa mkuu anahusika na hao jamaa ndo maana imemuuma!
Bse of all the scandals kwa nini aliamua kuijibu hii


Kwenye ukurasa wa mbele (front page) la Dira leo, leading news ni ya huyu bwana wa Home Shopping Centre, na according to this paper, Luhanjo ndiye aliyemuunganisha na TRA na TPA. Makontena yake hayafunguliwi yanapita kama maji. Na waandishi wa habari walipotaka kuonana na huyu kibosile wa TPA alikataa hadi wawe na kibali cha polisi.

NB: Hawa TPA kwa msaada wa mwenyekiti ya kamati ya miundo mbinu ndio walitaka CCCC ipewe kazi ya kujenga gati kwa mkopo wa takriban Tsh 600m. Kenya wamefanya kitu hicho for just 1/3 ya hiyo bei.
 
Nimefuatilia kwa umakini jinsi boss wa HSC ambavyo anaingiza mizigo bila kulipa kodi. Na imefikia ukitaka kuingiza mzigo na unataka unafuu mtumie huyu jamaa ana kampuni ya clearing and forwarding, unampa yeye pesa mzigo anakuletea bila hata nyaraka moja ya TRA na hakuna hata mmoja wa mabosi wa TRA na TPA ambaye amekuwa tayari kuongelea hii issue. Kwa kweli wana JF pale TRA panatakiwa pachunguzwe vizuri ni sehemu yenye uoza wa kutisha.

Source: Dira ya mtazania ya leo 21/05/2012 na mengine ninayajua mwenyewe kwani na mimi ni mdau wa utoaji mizigo bandarini

Endelea na uzalendo wako ndugu.
 
nchi imeuzwa siku nyiiiiiiiingi,we bado hujajibinafsishia kitengo chako?
 
Kama ilishauzwa naona ni wakati muafaka kupewa receipt tena isiyokuwa na kodi
 
kaka kama unataka kujua habari za huyu jamaa nenda kwa mtu yeyote anayeagiza mizigo kutoka nje nje ya nchi atakuambia habarai za huyu jamaa ni habari amabzo haziitaji kuwa msomi kujua
Umetoa taarifa wapi: je una uhakika?
 
Na huu usemi wa mali ya mkubwa hii umeingia Tz na mbaya zaidi ukikomaa wanapiga kwa mkuu kweli!
Ipo siku ntakuja piga izo namba niprove ila kuna siku nilikomaa faster nikapokea agizo toka kwa bosi kuwa achana na izo gari!
Nika connect dot.
 
uhusiano na ikulu wanao kupitia Riz1 na aliyekuwa CS Luhanjo..hawa jamaa wako kila sekta muhimu ya serikali, bunge, polisi n.k wanavibaraka wengi tu wanaofanya kazi zao, mfano mawaziri ni Sophia Simba, Mustafa mkulo, Abbas Mtemvu, Zungu, Idd Azzan na wengine wengi ukitaka kujua siri za waheshimiwa hawa kawaulize wafanyakazi wa maduka yao ambako wanaenda kuchukua vitu bure watakavyo..kuna kipindi gazeti la raia mwema liliandika kuhusiana na ukwepaji wao kodi na mtandao ambao walikuwa nao kuanzia Tiscan, TRA, bandari na Polisi lkn hakuna kilichofanyika zaidi ya kusimamishwa kazi naibu kamishna wa customs Bateyunga ambaye baadae alirudishwa kazini lakini jamaa hawakuchukuliwa hatua yoyote, vijana wa takukuru walipojaribu kuinglia kati kuchunguza hizi tuhuma wakasimamishwa na Hosea tena kwa mkwara mkubwa.....
ama kuhusu TRA kuiweka TRA mfukoni ni kweli, jamaa hawa kwanza wameshikilia biashara ya clearing and forwarding kwa asilimia 90,wafanyabiashara majority wanapeleka documents kwao sababu ya uhakika wa kulipia mizigo yao ushuru mdogo na uhakika wa usalama wa mizigo yao kwani hiyo mizigo hata waki-underclare/underinvoice jamaa wa fast team hawaikamati hiyo mzigo barabarani.......more 2 follow...who are they dealing with at customs service centre and how much they pay 4 each document....

Je, hili lina uhusiano wowote na huyo "Balozi wa heshima"???
 
ofisi yao iko wapi nikaombe kazi/ajira maana mi ni mpiga debe/salesboy mzuri sana tu sema ndio nmekwama kujikwamua bila kupitia misaada ya wenye mitaji.please jaman napenda kuwafanyia kazi nzuri hawa watu wananifurahisha sana wanavyopiga Kazi
 
ofisi yao iko wapi
nikaombe kazi/ajira maana mi ni mpiga debe/salesboy mzuri sana tu sema
ndio nmekwama kujikwamua bila kupitia misaada ya wenye mitaji.please
jaman napenda kuwafanyia kazi nzuri hawa watu wananifurahisha sana
wanavyopiga Kazi

Gemaga Nyanda!
 
Kwa wale wanaohitaji QUICKBOOKS PRO 2014 (U.S.A) inapatikana sasa kwa laki moja na ishirini tu (120,000 TZS). Kwa walio nje ya Dar es Salaam tunawatumia kwa gharama zetu. Hii ni quickbooks original utapewa CD ikiwa na keys zake. Wasiliana na huyu kwa taarifa zaidi: tonyhaule@hotmail.com
 
Back
Top Bottom