Hahahaa mkuu hao kwenye red sijawahi wasikia, wapo sehemu gani.................?
Ustadhi Juma na Musoma naye ni pedeshee??
wewe ndo umeanza kunishambulia kwenye thread number kumi (#10),then naona unaendelea na sijakutusi sehemu yeyote ile katika thread zanguunaona sasa akili yako inapoishia.... kuanza kumshambulia mtu kwa kejeli/ kumyusi au kumtania katika hoja kama hii ni moja ya dalili ya kushindwa
na wewe ndio mmoja wa ma GT wa JF
pedeshee baba liz