Mulhat Mpunga
JF-Expert Member
- Oct 28, 2010
- 27,263
- 16,288
Amos Makala naye si ni pedeshee lakini? kama ndivyo basi walau yeye kidogo amesomasoma
Sasa ni muhishimiwa hahahaa hii nji ina mauzauza
Amos Makala naye si ni pedeshee lakini? kama ndivyo basi walau yeye kidogo amesomasoma
Pedeshee Lowassa,kikwete,na Chenge hawa ni viongozi serikalini!!!
Pedesheee Fidel, mutu ya Jeni....kufasi ya tiptop...yeye nalalaga ku-mbezi pa ukweeeli! Mutu ya biya ni biya bora iwe ya baridi!
Wamechoka kma mpira wa karatasi cku hizi utapeli wao umekwisha na bank kupiga imekua ngumu
wapi pedeshee tevez :heh:
Pedeshee Majuto- Muigizaji wa michezo ya kuchekesha
Bila kumsahau Kongolu Mobutu aka Sadam Husein; Jose Kongolo; Tchatcho Mbala.....Kule Kongo wapo kina pdg didi kinuani,kiki toure,fred monsoh,shebedee tabu fatu,merry marou(marehemu),christina kwasa...nk