FirstLady1
JF-Expert Member
- Jul 29, 2009
- 16,792
- 5,375
Mbona Zitto hajaalikwa?
haya sasa majungu kwani kila mtu lazima awepo?
Mbona Zitto hajaalikwa?
<br />sijakuelewa kabisa
<br />Watu hawajui kuchagua wanawake wa kuwaoa? Kweli nimeamini Chadema wote ni vipofu!
Huyu mwanamke unamfahamu vizuri?HUYU ANKASORO GAN? WE UKISEMA WA NINI MWENZIO HALALI ANAMUWAZA ATAMPATAJE!! KIPENDA ROHO HULA HATA MABOX
Mbunge wangu wa Ubungo akiwa amepozi na maharusi
Mpiganaji Lema
Kama kawa ulikuwa mwendo wa kombati jeusi
Mwenzangu pokea pete hii.
Kwa hisani ya Mithupu.
<br />Unajua wanaume wengi awajui umuhimu wa mwanamke mpaka pale mzigo unapoenda kwaheri ya kuoana nimeona kwa kakayangu sisemi kumsifia huyo ddada anijui simjui same to mumewe huyu kaka tulichanga michango mingi sana waakti wa ndoa yake akafunga na huyu dada ..kilichomtatiza kwao wako 5 yeye wa nne na akuna aliewahi kuoa moaka leo wanazeeka kwa kuzaliana majumban wanawake na wanaume kuleta wajukuu kwa wazazi,...sasa alipooa akujua kitendo cha kuoa amechokoza nyuki pengine wazee wa nyuma waliwasemehea wazazi wao ..watoto wao awataoa wala kuolewa alipooa akaanza kumchapa makofi ovyo mwanamke amerudi saa kuminambili anamuuliza kwanini umechelewa mbaya huyu mwanaumeanapita pale faya saa kuminanusu akienda nyumban mkewe anatoka kuminamoja ameshindwa kusubiri nusu saa<br />
ikafika wakati mkee akaweka vikao kadhaa akasema basi..kama mungu akupenda aakaenda kuwamwagia wazee wake wajukuu inarudi ile ile akaanza leo hii ni mbunge wa vitimaalum katika chama kimoja cha siasa yuko na mumewe wametulia wanakula kuku ..aliposiksia hivyo akaanza kutafuta namba ya mumewe bnakuanza kuwasumbua bahati wanaufahamu mkubwa wakampuuzia mi na yeye atuongei kwa ajili ya upuuzi wake..so sisemi vbaya ila pengine dj nerry sasa ndio anajua umuhimu wa huyu mwanmke na atajua zaidi pale anapoendelea kufanikiwa ...<br />
<br />
Nawatakia maisha mema wanaharusi nimeipenda harusi yenu na soon ntaozesha watoto ndan ya magwanda kwakweli
non of our biznec...nice couple!
Kwa wale wote wanaolalama: mlikuwa mnataka ni waoe nyie? katika maisha kila mtu ataishi na ampendae ilimradi atie na kufuata taratibu za kisheria sambamba na kimila......... bila kuathiri uhuru wa mtu......
<br />Kama kweli wewe ni kilewo, <font color="#FF0000">mwanaume wa ukweli habishani</font>! hvi utajibu wangapi? yani ww kila anaekusema vibaya unamjibu....dah ni life lako binafsi lakin unaharibu pia image ya chama langu (CDM)...pls stop that man
Kama kweli wewe ni kilewo, mwanaume wa ukweli habishani! hvi utajibu wangapi? yani ww kila anaekusema vibaya unamjibu....dah ni life lako binafsi lakin unaharibu pia image ya chama langu (CDM)...pls stop that man
<br />
<br />
Ushauri mzuri sana
<br /><span style="font-family: Verdana">The future belongs to those who prepare for it today.</span> be postive
<br />Huyu mwanamke unamfahamu vizuri?<br />
Unajua maisha yake? <br />
Sioni cha ajabu kwani hata Slaa alifanya hivyo hivyo!