Huyo mrembo yupo ndoa ya ngapi?
Ye ni mwendo wa kuolewa tu
Jamani watu kumbe wanajifagiliaga wenyewe
Unaona wivu?Huyo mrembo yupo ndoa ya ngapi?
Ye ni mwendo wa kuolewa tu
Ndio,nami nataka nioeUnaona wivu?
Alimfilisi bibie na cheating za kijinga juuMsela alikua anategemea pesa za ubunge alipokosa bibie akaona hawezi kuendelea kufuga marioo. Fukuzia mbali
Mambo yao tuwaachie wenyewe 🤣Cha kusikitisha zaidi hapa ni CHADEMA kujihusisha na huyu mtu. Afya yake kichwani ina walakini, his character stinks, na mengineyo mengi. Kina Mbowe waliona nini kwa huyu jamaa hadi kuwa karibu naye?