Habari wadau.
Kama kichwa cha habari kinavyoeleza billnass amepatia sana kumuoa nandy. Kwa sababu zifuatazo
1. Same Purpose kwenye maisha kati yao billnass na nandy. Wote wana passion na muziki. Billnass anajua kuandika nyimbo na mke wake nandy anajua kuimba. Wameji complete hapa. Nandy haitaji kumkodi mtu wa kumuandikia nyimbo kama wasanii wa kike wenzake kina ruby ama maua sama wenza wao hawawezi waandikia nyimbo. Zuchu ana bahati yupo lebo kubwa wasafi waandishi wapo wengi wa kumuandikia. Nandy kaipata hii kwa mume wake
2. Family background inayoheshimu ndoa. Nandy anatoka familia inayoheshimu ndoa baba yake na mama yake wapo kwenye ndoa miaka zaidi ya 30 pamoja. Billnass na yeye hivyo hivyo nae anatoka familia inayoheshimu ndoa baba na mama yake wapo kwenye ndoa miaka na miaka.
3. Utafutaji wa pesa... wote billnass na nandy ni watafutaji wa pesa kupitia muziki wao na biashara zao. Kila mtu anajua pesa inavyopatikana kwa shida siamini kama kuna mtu ananyonya jasho la mwenzake.
4. Makazi sehemu moja. Ndoa haina kuishi long distance maana wote wamejiajiri. Mke na mume wote wanaishi nyumba moja.. siku ambazo hawawi pamoja ni safari za kikazi tu.
Tofauti na ndoa za vijana wengi waajiriwa. Mke kaajiriwa Crdb mbeya huku mume kaajiriwa Tanesco mwanza.. kukutana mume na mke ama kukaa pamoja mpaka likizo tu.
5. Urafiki kwenye ndoa. Wote wapo same age. Wana vitu vingi wanafanya pamoja maana wanaendana umri.
6. Unaweza ongezea mwenyewe
Kama kichwa cha habari kinavyoeleza billnass amepatia sana kumuoa nandy. Kwa sababu zifuatazo
1. Same Purpose kwenye maisha kati yao billnass na nandy. Wote wana passion na muziki. Billnass anajua kuandika nyimbo na mke wake nandy anajua kuimba. Wameji complete hapa. Nandy haitaji kumkodi mtu wa kumuandikia nyimbo kama wasanii wa kike wenzake kina ruby ama maua sama wenza wao hawawezi waandikia nyimbo. Zuchu ana bahati yupo lebo kubwa wasafi waandishi wapo wengi wa kumuandikia. Nandy kaipata hii kwa mume wake
2. Family background inayoheshimu ndoa. Nandy anatoka familia inayoheshimu ndoa baba yake na mama yake wapo kwenye ndoa miaka zaidi ya 30 pamoja. Billnass na yeye hivyo hivyo nae anatoka familia inayoheshimu ndoa baba na mama yake wapo kwenye ndoa miaka na miaka.
3. Utafutaji wa pesa... wote billnass na nandy ni watafutaji wa pesa kupitia muziki wao na biashara zao. Kila mtu anajua pesa inavyopatikana kwa shida siamini kama kuna mtu ananyonya jasho la mwenzake.
4. Makazi sehemu moja. Ndoa haina kuishi long distance maana wote wamejiajiri. Mke na mume wote wanaishi nyumba moja.. siku ambazo hawawi pamoja ni safari za kikazi tu.
Tofauti na ndoa za vijana wengi waajiriwa. Mke kaajiriwa Crdb mbeya huku mume kaajiriwa Tanesco mwanza.. kukutana mume na mke ama kukaa pamoja mpaka likizo tu.
5. Urafiki kwenye ndoa. Wote wapo same age. Wana vitu vingi wanafanya pamoja maana wanaendana umri.
6. Unaweza ongezea mwenyewe