Hamad Rashid alikuwa kiongozi wa kambi ya upinzani bungeni ( bunge la tisa) 2005-2010.Kwa wakati huu wa bunge la kumi ambapo Chadema wamepata uhalali wa kikanuni wa kuunda kambi ya upinzani bungeni kwa kufikisha asilimia 12.5% ya wabunge wote bado Hamad Rashid anajaribu kujenga mazingira kwamba ni lazima kambi hiyo iwe ya wote.
Kwamba ule uhalali wa CDM kuunda kambi hiyo sasa unakuwa ni lazima na wengine.
Mwaka 1995 kuelekea 2000 CUF waliunda kambi ya upinzani bungeni wakishirikiana na UDP waliokuwa na wabunge 4 ili kwa kuwahusisha na wa UDP wafikie asilimia 12.5% kama taratibu zinavyosema. Waliwaacha NCCR nje tena NCCR mageuzi walikuwa na wabunge 28.
Ni vizuri CUF wakaelewa kwamba kwa sasa (2005-10) CDM ndio wenye haki ya kuunda kambi ya upinzani bungeni.
Kwamba ule uhalali wa CDM kuunda kambi hiyo sasa unakuwa ni lazima na wengine.
Mwaka 1995 kuelekea 2000 CUF waliunda kambi ya upinzani bungeni wakishirikiana na UDP waliokuwa na wabunge 4 ili kwa kuwahusisha na wa UDP wafikie asilimia 12.5% kama taratibu zinavyosema. Waliwaacha NCCR nje tena NCCR mageuzi walikuwa na wabunge 28.
Ni vizuri CUF wakaelewa kwamba kwa sasa (2005-10) CDM ndio wenye haki ya kuunda kambi ya upinzani bungeni.