Je, Bunge bila kambi rasmi ya upinzani ni bunge halali kikatiba au kwa kuwa CCM imeshika mpini?

Sir robby

JF-Expert Member
Jun 22, 2022
2,400
4,074
Wadau nawasalimu naomba wenye uelewa mpaka watujuzi

Tanzania ni nchi huru yenye katiba yake. Katiba ya Tanzania ina sema Tanzania ni nchi ya mfumo wa vyama vingi vya siasa na bunge ni la vyama vingi.

Hivyo kutakuwa na wabunge wa chama tawala na wabunge wa vyama vya upinzani ambao wataunda kambi rasmi ya upinzani bungeni kwa kufanya hivyo litakuwa lipo kikatiba.

Kwa sasa bunge lililopo binafsi naona kama halipo kikatiba kwani kuna mapungufu yafuatayo

1. Bunge halina kambi rasmi ya upinzani
2. Bunge halina kiongozi wa kambi hiyo
3. Bunge halina mnadhimu wa kambi rasmi ya upinzani
4. Bunge halina mawaziri vivuli
5. Bunge halisomi hotuba ya bajeti kuu ya kambi rasmi ya upinzani
6. Bunge halizomi hotuba za mawaziri vivuli

Je, Bunge kutokuwa na kambi rasmi ya upinzani lina uhalali gani kikatiba?
 
Wabunge tukufu wa CCM wakichangia hoja kwa nguvu zote huko Bungeni


 
Wadau nawasalimu naomba wenye uelewa mpaka watujuzi

Tanzania ni nchi huru yenye katiba yake. Katiba ya Tanzania ina sema Tanzania ni nchi ya mfumo wa vyama vingi vya siasa na bunge ni la vyama vingi.

Hivyo kutakuwa na wabunge wa chama tawala na wabunge wa vyama vya upinzani ambao wataunda kambi rasmi ya upinzani bungeni kwa kufanya hivyo litakuwa lipo kikatiba.

Kwa sasa bunge lililopo binafsi naona kama halipo kikatiba kwani kuna mapungufu yafuatayo

1. Bunge halina kambi rasmi ya upinzani
2. Bunge halina kiongozi wa kambi hiyo
3. Bunge halina mnadhimu wa kambi rasmi ya upinzani
4. Bunge halina mawaziri vivuli
5. Bunge halisomi hotuba ya bajeti kuu ya kambi rasmi ya upinzani
6. Bunge halizomi hotuba za mawaziri vivuli

Je, Bunge kutokuwa na kambi rasmi ya upinzani lina uhalali gani kikatiba?
Wabunge hawa wa upinzani hawapo kwa kua CCM waliwachukua au kwasababu CCM ndo wapiga kura za uchaguzi wa wabunge.
 
Back
Top Bottom