Gazeti la Sauti Huru: CHADEMA Asili mbioni kusajiliwa!

Hee!!Umerudi,si ulikuwa shoe shinner wa Wa Edward Ngoyay Low-hasa,na uliiba fyatu fya mteja,ukafungwa miaka mbili.Na ile malaria sugu umepooza au umepona.

Ngoja aje IGWE wacha nisepe
 
Last edited by a moderator:
Mbona ujui ata kuandika title? Ume soma shule gani? Kwani title yako isiwe hivi
"itakuwaje kama mbowe,slaa,mnyika wakihama cdm? " kinyume na hapo umefanya utoto ambao sikutegemea, yan nilidhan na soma gazeti la sani kumbe jf!
Tafadhali jifunze kwa wenzio.

NB:This is home of great thinkers
 
Tatizo CDM tuna baadhi ya wanachama ambao ni wapumbavu na wamelewa na mahaba mazito hata wanashindwa kutoa mawazo yenye changamoto ili kuandaa watu kuwa tayar kwa mabadiliko na nimesema haya kwa sababu ni mwanabadiliko wa kweli na sio wapuuzi ambao mnashabikia tu pasipo kutoa mawazo yenu...... Period
 
Mbona ujui ata kuandika title? Ume soma shule gani? Kwani title yako isiwe hivi
"itakuwaje kama mbowe,slaa,mnyika wakihama cdm? " kinyume na hapo umefanya utoto ambao sikutegemea, yan nilidhan na soma gazeti la sani kumbe jf!
Tafadhali jifunze kwa wenzio.

NB:This is home of great thinkers

hauna tofauti na mpumbavu.
 
mmiliki wake ni edward lowasa, gazeti hili pamoja na lile la jamhuri
 
Nimelisoma leo eti limeandika CHADEMA imenunua kadi za MAGAMBA 3000 hapa MTWARA..

Yaani, halina tofauti na gazeti la Udaku....

Gazeti linatumiwa na mmoja wa wajumbe wa Magamba, kueneza sera za kuvuruga wananchi waliohamasika kukikimbia chama cha Magamba.

KWA STAHILI HII, HALITAFIKA MBALI....

Tokea nimeanza kufuatilia michakato ya CHADEMA, Raia wengi wananunua gazeti lenye kuhusu habari nzuri za CHADEMA.

Hakika CHADEMA,.. NDIYO CHAMA KIKUBWA KWA SASA...
 
Linamilikiwa na Subash Patel pale MM Integrated, Kijitonyama. Subash wa kashfa ya Chavda, rafiki na Jeetu Patel wa EPA. Jamaa anazo kwelikweli. Alitajwa na Mzee Mengi kuwa kati ya mapapa wa ufisadi.

Ni yule aliyeshirikiana na Lowassa wakauziana jengo la Umoja wa Vijana wa magamba Nape hakuona ngawira zilipitia wapi, ndo akaanza fujo UV magamba mpaka akakosana na rafiki wa marehemu baba yake Mzee Makamba! Kumbukeni msiba wa marehemu mzee Moses Nnauye ulikuwa kwa Makamba jijini.

Ndiye mwenye maghorofa yale mawili pale UV Magamba. Ana kampuni inaitwa Estim inapata tenda nyingi sana serikalini. Inamjengea nyumba mtu mmoja pale magogoni. Ni mwenyekiti wa Mfuko wa maendeleo ya Bagamoyo! nk..nk..nk..nk..kila palipo na pesa kwenye serikali ya magamba, Subash yupo.

Hilo gazeti lilianzishwa kupambana na Mengi, lilipomaliza kazi hiyo ya kumchafua Mengi, likaanza kazi ya kuwafurahisha magamba. Kila siku lina habari za CDM, ni la propaganda kuliko hata Uhuru na Mzalendo.

Mhariri wake aliwahi kukamatwa na rushwa mara kadhaa....

Kama kweli WAONGO wataenda MOTONI basi wewe utaanza.
 
Tatizo CDM tuna baadhi ya wanachama ambao ni wapumbavu na wamelewa na mahaba mazito hata wanashindwa kutoa mawazo yenye changamoto ili kuandaa watu kuwa tayar kwa mabadiliko na nimesema haya kwa sababu ni mwanabadiliko wa kweli na sio wapuuzi ambao mnashabikia tu pasipo kutoa mawazo yenu...... Period
Na bado utabaki mwenywe uchagani,sisi wasukuma tuko na shibuda.
 
kweli kuna haja ya ile chadema asili iliyokuwepo enzi za uchaguzi 1995. Hapo namkumbuka enzi hizo dr kabour alikuwa tishio kubwa pale kwetu kg alikuwa president. Kweli zitto irudisheni ile

kaa kimya gamba wewe!!!
 
Magamba yanatafuta kila njia ya kuivuruga CDM ili uchaguzi wa 2015 waweze ku survive! mmeimba udini, ukabila ukanda sasa mmeanzisha single mpya ya chadema asili! Mmechelewa 2015 ndio anguko lenu kuu hata mfanye je hakuna anayewasikiliza tena mnapoteza muda!!
 
Halafu utakuta mwandishi na aliemtuma kuandika hii katuni wanakaa jioni baa kupongezana kwa kazi hii kweli TZ kiboko.
 
Hakuna mtu mwenye akili timamu anaweza kuamini ujinga kama huu. CCM mtakukuruka sana lakini hamtoki watanganyika wamewachoka mno.


Tumewachoka siku nyingi, mafisadi papa endeleeni kuiba mkijiaminisha/danganya na kinga za muda, mkijenga majumba na mali nyingine zisizohamishika itakuwa vizuri maana tutazirejesha zote mikononi mwetu
 
Back
Top Bottom