Magufuli 05
JF-Expert Member
- May 7, 2023
- 943
- 1,989
Kwa kuwa kumekuwa na kilio cha muda mrefu kwamba CHADEMA imekuwa ikihujumiwa na media nyakati zote hasa katika mikutano ya hadhara. Kwamba mikutano huwa haionyeshwi kwasababu ya maelekezo kutoka juu.
Mimi nawakumbusha tu kwa vile najua hata nyinyi mwalijua hili kwamba kuwa na channel yenu ya television kilio hiki kitapungua makali yake.
Ukweli ni kwamba UCHAGUZI ujao wananchi wanahamu Sana na nyinyi na njia mojawapo ya kuwafikia kwa urahisi ni kuhakikisha mnaonekana katika mikutano yenu ya hadhara.
Nawaomba muda ni sasa na si kesho kwani kesho mtakuwa mmechelewa. Hakuna ubishi UCHAGUZI ujao utakuwa na ushindani mkali na Wa tija kulingana na Hali inayopitia nchi kwasasa.
Nimewaandikia Chadema Uzi huu kwasababu katika vyama shindani vilivyopo nawaona nyinyi ndiyo chama pekee chenye mwelekeo na nia njema kwa Taifa.
Nimewaangalia katika maeneo yafuatayo:
1. Coverage. Mpo vizuri
2. Leadership structure. Mpo vizuri.
3. Propaganda. Mpo vizuri.
4. Party cohesiveness.mpo vizuri
5. Inspiration. Mpo vizuri
6. Direction. Mpo vizuri
7. Agenda setting. Mpo vizuri.
8. Political man ouvre .mpo vizuri.
Fanyieni kazi mambo haya.
1. Kabla ya kumpa mtu mic hakikisheni anatembea kwenye content zenu za chama.
2. Kama kuna tofauti kati yenu na makundi mengine kama sauti ya Watanzania msiweke hadharani tofauti hizo. Mnawapa nguvu washindani wenu Sana. Kama kuna wakati Chadema mnahitaji umoja basi ni wakati huu.
3. Kuna wakati Watanzania Wana waamini Sana lakini mnajichanganya wenyewe kwa kumshambulia Magufuli. Chadema hapa mnafeli. Magufuli yupo kwenye mioyo ya Watanzania kama Rais mzalendo. Magufuli hayupo Tena Duniani, acheni kumzungumza kwa mabaya yake kwani hamtashindana naye Tena popote.
Tumieni fursa yake ya kupendwa kutengeneza chama. Hapa msibwatuke tafadhali ni lazima mjue hasa politics is the game of Dynamics. 2025 mkitumia vizuri fursa ya Magufuli nawaona white house.
Over.
Tanzania kwanza, chama baadae
Mimi nawakumbusha tu kwa vile najua hata nyinyi mwalijua hili kwamba kuwa na channel yenu ya television kilio hiki kitapungua makali yake.
Ukweli ni kwamba UCHAGUZI ujao wananchi wanahamu Sana na nyinyi na njia mojawapo ya kuwafikia kwa urahisi ni kuhakikisha mnaonekana katika mikutano yenu ya hadhara.
Nawaomba muda ni sasa na si kesho kwani kesho mtakuwa mmechelewa. Hakuna ubishi UCHAGUZI ujao utakuwa na ushindani mkali na Wa tija kulingana na Hali inayopitia nchi kwasasa.
Nimewaandikia Chadema Uzi huu kwasababu katika vyama shindani vilivyopo nawaona nyinyi ndiyo chama pekee chenye mwelekeo na nia njema kwa Taifa.
Nimewaangalia katika maeneo yafuatayo:
1. Coverage. Mpo vizuri
2. Leadership structure. Mpo vizuri.
3. Propaganda. Mpo vizuri.
4. Party cohesiveness.mpo vizuri
5. Inspiration. Mpo vizuri
6. Direction. Mpo vizuri
7. Agenda setting. Mpo vizuri.
8. Political man ouvre .mpo vizuri.
Fanyieni kazi mambo haya.
1. Kabla ya kumpa mtu mic hakikisheni anatembea kwenye content zenu za chama.
2. Kama kuna tofauti kati yenu na makundi mengine kama sauti ya Watanzania msiweke hadharani tofauti hizo. Mnawapa nguvu washindani wenu Sana. Kama kuna wakati Chadema mnahitaji umoja basi ni wakati huu.
3. Kuna wakati Watanzania Wana waamini Sana lakini mnajichanganya wenyewe kwa kumshambulia Magufuli. Chadema hapa mnafeli. Magufuli yupo kwenye mioyo ya Watanzania kama Rais mzalendo. Magufuli hayupo Tena Duniani, acheni kumzungumza kwa mabaya yake kwani hamtashindana naye Tena popote.
Tumieni fursa yake ya kupendwa kutengeneza chama. Hapa msibwatuke tafadhali ni lazima mjue hasa politics is the game of Dynamics. 2025 mkitumia vizuri fursa ya Magufuli nawaona white house.
Over.
Tanzania kwanza, chama baadae