Pelekaroho
JF-Expert Member
- Sep 15, 2010
- 1,599
- 368
Itoshe kusema mfa maji haachi kutapatapa, kwani huo ndo muendelezo wa mwisho wa magamba
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Duh!...amaaa kweli, ukistaajabu ya Musa......Linamilikiwa na Subash Patel pale MM Integrated, Kijitonyama. Subash wa kashfa ya Chavda, rafiki na Jeetu Patel wa EPA. Jamaa anazo kwelikweli. Alitajwa na Mzee Mengi kuwa kati ya mapapa wa ufisadi.
Ni yule aliyeshirikiana na Lowassa wakauziana jengo la Umoja wa Vijana wa magamba Nape hakuona ngawira zilipitia wapi, ndo akaanza fujo UV magamba mpaka akakosana na rafiki wa marehemu baba yake Mzee Makamba! Kumbukeni msiba wa marehemu mzee Moses Nnauye ulikuwa kwa Makamba jijini.
Ndiye mwenye maghorofa yale mawili pale UV Magamba. Ana kampuni inaitwa Estim inapata tenda nyingi sana serikalini. Inamjengea nyumba mtu mmoja pale magogoni. Ni mwenyekiti wa Mfuko wa maendeleo ya Bagamoyo! nk..nk..nk..nk..kila palipo na pesa kwenye serikali ya magamba, Subash yupo.
Hilo gazeti lilianzishwa kupambana na Mengi, lilipomaliza kazi hiyo ya kumchafua Mengi, likaanza kazi ya kuwafurahisha magamba. Kila siku lina habari za CDM, ni la propaganda kuliko hata Uhuru na Mzalendo.
Mhariri wake aliwahi kukamatwa na rushwa mara kadhaa....
Toleo la 102 June 6 hadi 12 June 2012. Watchout CHADEMA isipokuwa makini M4C inakuwa useless.
Al Nuur limepata mpinzani
Sio rahisi kama unavyofikiria!....coz watz wa leo sio wa enzi zile,ndo maana ccm inapata tabu
Linamilikiwa na Subash Patel pale MM Integrated, Kijitonyama. Subash wa kashfa ya Chavda, rafiki na Jeetu Patel wa EPA. Jamaa anazo kwelikweli. Alitajwa na Mzee Mengi kuwa kati ya mapapa wa ufisadi.
Ni yule aliyeshirikiana na Lowassa wakauziana jengo la Umoja wa Vijana wa magamba
Ndiye mwenye maghorofa yale mawili pale UV Magamba. Ana kampuni inaitwa Estim inapata tenda nyingi sana serikalini. Inamjengea nyumba mtu mmoja pale magogoni. Ni mwenyekiti wa Mfuko wa maendeleo ya Bagamoyo! nk..nk..nk..nk..kila palipo na pesa kwenye serikali ya magamba, Subash yupo.
Kila siku lina habari za CDM, ni la propaganda kuliko hata Uhuru na Mzalendo.
Mhariri wake aliwahi kukamatwa na rushwa mara kadhaa....
Linamilikiwa na Subash Patel pale MM Integrated, Kijitonyama. Subash wa kashfa ya Chavda, rafiki na Jeetu Patel wa EPA. Jamaa anazo kwelikweli. Alitajwa na Mzee Mengi kuwa kati ya mapapa wa ufisadi.
Ni yule aliyeshirikiana na Lowassa wakauziana jengo la Umoja wa Vijana wa magamba Nape hakuona ngawira zilipitia wapi, ndo akaanza fujo UV magamba mpaka akakosana na rafiki wa marehemu baba yake Mzee Makamba! Kumbukeni msiba wa marehemu mzee Moses Nnauye ulikuwa kwa Makamba jijini.
Ndiye mwenye maghorofa yale mawili pale UV Magamba. Ana kampuni inaitwa Estim inapata tenda nyingi sana serikalini. Inamjengea nyumba mtu mmoja pale magogoni. Ni mwenyekiti wa Mfuko wa maendeleo ya Bagamoyo! nk..nk..nk..nk..kila palipo na pesa kwenye serikali ya magamba, Subash yupo.
Hilo gazeti lilianzishwa kupambana na Mengi, lilipomaliza kazi hiyo ya kumchafua Mengi, likaanza kazi ya kuwafurahisha magamba. Kila siku lina habari za CDM, ni la propaganda kuliko hata Uhuru na Mzalendo.
Mhariri wake aliwahi kukamatwa na rushwa mara kadhaa....