Gazeti la Sauti Huru: CHADEMA Asili mbioni kusajiliwa!

Najua watu wengi mtakuwa mmeshtushwa na tittle hapo juu lakini ni challenge kwa wanaCDM na wapenzi wa CDM wote, kama ikitokea hao viongozi vichwa wa CHADEMA wahame wote, Je kweli CDM itasimama? Je watu watajaa tena kwenye mikutano na maandamano ya CDM? Je kutakuwa tena na ujasiri kusema People's power? Au ndio safari ya ukombozi wa 2 wa Tz ndo utakuwa umeishia hapo na 2015 tutaipa tena CCM kura?
Note:
jamani tutafakari kwa makini sub-challenge hiyo na kujichunguza tumejiandaa vipi kwa mabadilko kuelekea 2015 hata kama vikwazo kama hivyo vitatokea katikati mwa safari yetu!

MUNGU IBARIKI TANZANIA.
Shardcole@Tabora1

Relax muungwana, those guys have already sacrificed a lot for this revolution to let it go to the dogs at this juncture; hilo ni sawa na kutarajia Baba mtakatifu Benedict 16 kubadili dini awe mwislamu, hakuna kitu kama hicho, endelea kuongoza mabadiliko kutokea mahali ulipo, manahodha wa meli ya CDM wako imara na hawateteleka kwa lolote.
 
Ukirejea kauli ya mbowe aliposema kuwa amejiandaa kisaikolojia kufa kwa ajili ya kupigania haki na akifa wakati akiwa kwenye mapambano alisema kuwa chukuweni maiti iwekeni pembeni ninyi songene mbele kwani kwenye chama wapiganaji ni wengi.
 
Najua watu wengi mtakuwa mmeshtushwa na tittle hapo juu lakini ni challenge kwa wanaCDM na wapenzi wa CDM wote, kama ikitokea hao viongozi vichwa wa CHADEMA wahame wote, Je kweli CDM itasimama? Je watu watajaa tena kwenye mikutano na maandamano ya CDM? Je kutakuwa tena na ujasiri kusema People's power? Au ndio safari ya ukombozi wa 2 wa Tz ndo utakuwa umeishia hapo na 2015 tutaipa tena CCM kura?
Note:
jamani tutafakari kwa makini sub-challenge hiyo na kujichunguza tumejiandaa vipi kwa mabadilko kuelekea 2015 hata kama vikwazo kama hivyo vitatokea katikati mwa safari yetu!

MUNGU IBARIKI TANZANIA.
Shardcole@Tabora1

Hizi ni ndoto za Alinacha watahamia wapi? alafu ukumbuke kitu kimoja watu wamechoka na the so called CCM hata Slaa akienda CCM makali ya Chadema yataendelea na Slaa ndo utakuwa mwisho wake, usichezee hasira za watu dhidi ya CCM wewe, hivi umewahi kujiuliza Kwanini watu wanaendelea kuichukia CCM japo ina watu kama Magufuli, Mwakyembe nakadhalika
 
mkubwa!mimi ninamapenzi na msimamo wa chama,msimamo wa chama unapokua imara ndio unaweza kuwaona watu kama shibuda,na pia utawaona wale mamruki kama Chitambala(aliyekua mgombea ubunge mbeya vijijini) alikimbia mapema asubuhi.

Kwangu mimi nina mapenzi na chama,hata waondokd wote hao bado chadema itabaki kua chadema.hivi kabla ya mnyika,wenje,lissu kugombea ulikua unawajua?nataka nikwambie wapo vichwa wanakuja si mchezo.kunakichwa kinamyima magufuri usingizi unakijua?
 
Najua watu wengi mtakuwa mmeshtushwa na tittle hapo juu lakini ni challenge kwa wanaCDM na wapenzi wa CDM wote, kama ikitokea hao viongozi vichwa wa CHADEMA wahame wote, Je kweli CDM itasimama? Je watu watajaa tena kwenye mikutano na maandamano ya CDM? Je kutakuwa tena na ujasiri kusema People's power? Au ndio safari ya ukombozi wa 2 wa Tz ndo utakuwa umeishia hapo na 2015 tutaipa tena CCM kura?
Note:
jamani tutafakari kwa makini sub-challenge hiyo na kujichunguza tumejiandaa vipi kwa mabadilko kuelekea 2015 hata kama vikwazo kama hivyo vitatokea katikati mwa safari yetu!

MUNGU IBARIKI TANZANIA.
Shardcole@Tabora1

Tayari CDM imeshajibrand vya kutosha..sasa hivi jina TU linakiuza chama...watu wanahamia cdm sio kwa ajili ya viongozi wake, bali miongozo iliyowekwa na waasisi wake, ambayo ndio dira na mwongozo wa cdm. hata hao wakiohama leo, cdm itashine tu, na kuchukua nchi.
 
images

 
Last edited by a moderator:
CHADEMA itasimama tu, kwani sio chama kinachomilikiwa na mtu, hiyo ni taasisi.
Najua watu wengi mtakuwa mmeshtushwa na tittle hapo juu lakini ni challenge kwa wanaCDM na wapenzi wa CDM wote, kama ikitokea hao viongozi vichwa wa CHADEMA wahame wote, Je kweli CDM itasimama? Je watu watajaa tena kwenye mikutano na maandamano ya CDM? Je kutakuwa tena na ujasiri kusema People's power? Au ndio safari ya ukombozi wa 2 wa Tz ndo utakuwa umeishia hapo na 2015 tutaipa tena CCM kura?
Note:
jamani tutafakari kwa makini sub-challenge hiyo na kujichunguza tumejiandaa vipi kwa mabadilko kuelekea 2015 hata kama vikwazo kama hivyo vitatokea katikati mwa safari yetu!

MUNGU IBARIKI TANZANIA.
Shardcole@Tabora1
 
Wabongo bana? #$@%$#%$%^$^&$ %$%^$^&%^&$^&%^&%%*%^&$%^r*%(^*$%#$%$^$#%$#$@#$%$^&$#%^$&*(^*&)*^^&%%#%$&*%&*%(^#$@#%&*%$%^#%^$%&*%#%(&*^)&*&%#%*(&))_)&%#$#%&*^&*%^&#$#$(*()*&@#$&&*()&^%@#$$%^&_)_(*&@%^&__)(&^#$)(*&^&
Nini sasa hii???? Unaijaza server ya watu pasipo sababu!
 
Najua watu wengi mtakuwa mmeshtushwa na tittle hapo juu lakini ni challenge kwa wanaCDM na wapenzi wa CDM wote, kama ikitokea hao viongozi vichwa wa CHADEMA wahame wote, Je kweli CDM itasimama? Je watu watajaa tena kwenye mikutano na maandamano ya CDM? Je kutakuwa tena na ujasiri kusema People's power? Au ndio safari ya ukombozi wa 2 wa Tz ndo utakuwa umeishia hapo na 2015 tutaipa tena CCM kura?
Note:
jamani tutafakari kwa makini sub-challenge hiyo na kujichunguza tumejiandaa vipi kwa mabadilko kuelekea 2015 hata kama vikwazo kama hivyo vitatokea katikati mwa safari yetu!

MUNGU IBARIKI TANZANIA.
Shardcole@Tabora1

Hii yote ni kwasababu ya pombe za mwisho wa mwezi! Kanywe supu ya paya ndo akili yako itakaa vizuri. Kweli penye riziki hapakosi majungu.
 
Hata wakihama wote, Shibuda yupo na alishasema yeye ndio Rais 2015 kwahiyo usihofu, CDM haitakufa.
 
Najua watu wengi mtakuwa mmeshtushwa na tittle hapo juu lakini ni challenge kwa wanaCDM na wapenzi wa CDM wote, kama ikitokea hao viongozi vichwa wa CHADEMA wahame wote, Je kweli CDM itasimama? Je watu watajaa tena kwenye mikutano na maandamano ya CDM? Je kutakuwa tena na ujasiri kusema People's power? Au ndio safari ya ukombozi wa 2 wa Tz ndo utakuwa umeishia hapo na 2015 tutaipa tena CCM kura?
Note:
jamani tutafakari kwa makini sub-challenge hiyo na kujichunguza tumejiandaa vipi kwa mabadilko kuelekea 2015 hata kama vikwazo kama hivyo vitatokea katikati mwa safari yetu!

MUNGU IBARIKI TANZANIA.
Shardcole@Tabora1

Hee!!Umerudi,si ulikuwa shoe shinner wa Wa Edward Ngoyay Low-hasa,na uliiba fyatu fya mteja,ukafungwa miaka mbili.Na ile malaria sugu umepooza au umepona.
 
Imagine ndo wapo kwenye ndege halafu ikawa Lagos (Mungu aiepushe) ndo tuseme na wewe safari yako ya ukombozi itakuwa imefika mwisho? Ni ukweli kwamba wamefanya kazi nzuri ya kuijenga chama, na watakaofuatia wanaanzia walipofikia
 
sikuona mkuu kama ni "INGEKUWA".
The unseen is illustrated by the seen.
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom