Timu yangu Simba, hakuna haja ya kufunguka.
Tutapigwa nyingi.

Hakuna haja ya kufunguka kwa hii timu.

Nyuma wabaki watu watano.

Wakibaki 3 hatutoboi.

Tutachezea goli nyingi hapa.

Ndugu zangu msifunguke
 
Simba Sc ilianza kunogewa na swala la kushambulia , tumefungwa goli jepesi sana.

Ngoja tuone kipindi cha pili.
 
Back
Top Bottom