wined
JF-Expert Member
- Nov 1, 2015
- 2,292
- 2,765
Et ndo level zenu hizoSimba wanacheza kishamba sana
Et ndo level zenu hizoSimba wanacheza kishamba sana
Mamaae zake refaRefa alifunika penalt akijua tu hawa jamaa hawatoboii ngoj niwape kaunafuu
Chama Je ?Hawa jamaa wanajua mpira.
Luis anatukaba aingie chillunda badala yake
Umewah cheza mpira?Mimi Huyu mzamiru sijawahi kumuelewa
Kiungo gani unaogopa mpira!!?
Sent from my TECNO CF7 using JamiiForums mobile app
Aibu itoke wapiMuda wa kuliaibisha Taifa
Hamna tuta
Itakuwa una ugomvi na Kiingereza.Favor kwa context hiyo maana yake maamuzi yamekuwa mazuri kwa home team. Ni terminologies tu za utangazaji
Hamna kiungo hapo...kiungo unaogopa mpira kazi kupiga backpassMimi Huyu mzamiru sijawahi kumuelewa
Kiungo gani unaogopa mpira!!?
Sent from my TECNO CF7 using JamiiForums mobile app
😅Mkuu kimetokea nn?