FT| NBC | Namungo 1-1 Simba Sc | Majaliwa Stadium | Mei 3, 2023

24'
Namungo wanajaribu kufanya shambulizi lakini linazimwa na golikipa Ally Salim
 
27'

Mpira wa adhabu kuelekea Namungo

Saido amechezewa faulo na Hasaan Kibailo
 
Goool,Simba 1-0 Namungo
IMG_4041.jpg
 
Ni mpira uliopigwa na Saido Ntibazokiza kwenye freekick na Baleke kafunga kwa header
 
Simba na MARUMO gallants ni ndugu
Kila la kheri simba
BAHLABANE BA NTWA🔥🔥🔥🇿🇦🇿🇦🇹🇿🇹🇿
 
Back
Top Bottom