Mtoto halali na hela
JF-Expert Member
- Aug 10, 2012
- 48,700
- 42,566
Waletee waletee hao timu ya muokoaji Majaliwa
Hilo ni dharuraVipi kuhusu umeme hautazimika wakati mechi ikipigwa?
Hata leo itakuwa dharura pengineHilo ni dharura
Wanakuja. Wapo kumalizia kuandaa majedwali mbalimbali ya kuwatambishia mashabiki wa Yanga.
Angejaribu tuu yeye mwenyewe...Saido alikuwa kwenye njia kwenda kufunga bao lakini safu ya ulinzi ya timu ya Namungo ilikaa imara na kufanikiwa kumzuia
Umeona ujisemeshe japo negative...sasa hapo zaiid ya baleke joash na saidoo nani mwingine??Ila wachezaji wa simba wanatumikishwa aisee! Kila mechi asilimia zaidi ya 80 ya wachezaji wanaoanza, unakuta ni wale wale!
Watu bado tuna vibe la ki moroco morocoHii mechi haina kabisa mzuka kutoka kwa mashabiki wa simba. Sijui ni kwa sababu matokeo tayari yanafahamika!!!
Kwahiyo huu uzi mmeukopi huko na kuuleta huku sio..!!?Mechi ni saa 1 usiku
Kuna mabadiliko makubwa kwenye kikosi cha leo na kile cha mwisho kilichocheza kule Morroco
Pamoja na hoja ya kuwapumzisha wachezaji lakini mtu kama Moses Phiri kukosekana hata benchi kunaongeza maswali.
Kibu D naye mechi hii kaikosa.
View attachment 2608631
Kikosi cha Namungo View attachment 2608634
Ma mods haoKwahiyo huu uzi mmeukopi huko na kuuleta huku sio..!!?