Kalpana
JF-Expert Member
- Jun 16, 2017
- 26,847
- 50,030
Mtajijua wenyeweeeeeee hamtutishi kabisaaa....yani kwa sasa hamtutishiiii...sisis ndo Simbaa...Simba is the team which is not going anywhere, subiri Yanga akuonyeshe jinsi ya kumfunga Al Ahly nyumbani kwao sio mnakalia draw draw tu mnatoka kizembe
Hata mfikie fainali hamtamfikia mnyama abadanii